Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Hahahaha! Utakuwa unajipotezea muda maana tayari yeye yupo na id yake naifahamu.
Hako ka utani ka jana tu kamenikosesha mke! mimina wanawake wa Dar es salaam basi itabidi nirudi tu kure kwetu niwatafute akina Nyasatu, Nyaswi, Nyanjiga, Nyamweko, Nyafungo n.k.
 
Back
Top Bottom