Nampenda lakini meseji zake za mkato

Nampenda lakini meseji zake za mkato

duuuh..pole kaka yangu staili za meseji za huyo zinafanana na za kijamaa changu cha zamani...kalikuwa hivohivo..wew unahangaika kumjulia hali kumbe mwenzio hana hata interest na wew..yeuwiii nilichoka nikaamua kumove on..sitamani tena kupendwa jamani..
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Huyo hakupendi na yuko busy na mambo yako. Kama mtu anakupenda kila wakati atataka awasiliane na wewe. Na ukiona kila wakati wewe ndiyo ni lazima uanze mawasiliano ya siku jua pia kuna tatizo ni lazima uanze kulifanyia kazi mapema sana. Kwa dalili ulizosema na kwa uzoefu wangu wa miaka kadhaa ya mahusiano huyu mwanamke ana mtu mwingine ambaye anakupima naye katika mizani na inaelekea mzani unaelemea upande ule wa pili zaidi kuliko kwako. Kwa ushauri mwepesi sana ninaomba tulia anza taratibu kupunguza mawasiliano naye. Ninajua huwa inauma sana ila ni bora maumivu haya kuliko kusubiri maumivu yatakuwa makubwa zaidi baadaye. Tena ninakushauri kama una namba zake za simu hebu zifute katika simu yako ili usiweweseke kumchungulia huko whatsApp, instagram, twitter, n.k. Yaani iwe ni kumjibu tu pale atakaposhtuka kukutafuta. Hebu anza taratibu na ndani ya wiki mbili utaanza kupona maumivu na ikifika mwezi unaanza kupata uponyaji na miezi mitatu unapona unaachana naye.
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Unamegewa mkuu
 
mwambie , kuwa anavyofanya sio sawa na akiendelea utavunja uchumba.
 
Mimi niliona taratibu mipango mlipanga haitekelezwi na visingizio kibao, mara usinitafute niko busy kazini!!!! Mara hili mara lile. Nikaona isiwe kazi nikaamua kutangaza kufutilia mbali. Ukweli nilimpenda sana na nilipogundua kupitia integeligensia zangu kuwa amepata mtu mwingine ila hataki kusema basi nikaamua kufumua kila kitu. Ukweli moyo uliniuma sana kwa kuwa nilimpenda kwa dhadi na nilijitoa sana kwa mawazo na kila kitu. Wanaume 90% wanachoandika kwa keyboard za simu au kutamka mdomoni inabidi uende ukae utafakari kila sentensi na kila neno. Na kama nisingekuwa mwangalifu na mfuatiliaji ningeingia chaka kinene sana. God is Good all the times. I am healed kabisa and very happy with my life.
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Pole mkuu,sio dalili nzuri sana kwako.Mara nyingi mahusiano mwanzoni lazima yawe active zaidi ,kama ndoa bado anaweza kufanya hivyo fikiri baada ya kumuoa mawasiliano yatakuaje?

Unaweza kufanya uchunguzi ukafahamu nini kiko nyuma ya hiyo tabia.
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Siku hizi ni very risk kutokumnaniiliu mtu mapema, huenda yeye ana hamu halafu wewe unamletea uromborombo!!
 
mh,km mapema hii anamletea kiburi na ameshindwa kumkanya akiingia kwenye ndoa atamuweza kweli..au bidada hajampenda jamaa ndo kalazimisha

km mapema hii anamchukulia poa akiingia kwenye ndoa si atakua hashikiki
Unamshaurije sasa
 
mh,km mapema hii anamletea kiburi na ameshindwa kumkanya akiingia kwenye ndoa atamuweza kweli..au bidada hajampenda jamaa ndo kalazimisha

km mapema hii anamchukulia poa akiingia kwenye ndoa si atakua hashikiki
Unamshaurije sasa
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
STUKA braza... Acha kungojea Meli Airport..[emoji34]
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Sijui umri wako ila hizo ishu ni za kawaida kwa mademu hasa ambao hawana mpango na wewe..
Cha kufanya hapo ni kuamua moja either uendelee kumchombeza hivohivo bila kuhesabu response toka kwake
Au umpige chini kwa sababu ukizidi kuendelea hivo atakuumiza maana moyo wako nao unataka kupendwa.

Mi binafsi sinaga kifua kabisa kwa mademu wanaodengua yaan nikiona ananidengulia sijui nini sjui nini hapohapo naachana nae na namba nafuta.
Ila nawasifu mamen wenzangu wenye vifua vya kuwafukuzia mademu hadi mwaka na bado ana imani ONE DAY yes..!!
 
Jipange baba,
Kwa jinsi mademu wa siku iz wanavozitafuta ndoa...! Mkuu huyo demu hakutaki , chukua 50 zako ,
Labda cha kukusaidia ni kwamba , wewe niPm namba yake alaf nitajarib kuongea nae kuhusu suala lako.. Naamin ataelewa tu.. Fanya hima nipate hiyo namba
Hatakm ukiongea nae,km hamtaki si hamtaki tu?kwan itabadilisha nn,km kusoma hujui hata picha hulioni??
 
Hatakm ukiongea nae,km hamtaki si hamtaki tu?kwan itabadilisha nn,km kusoma hujui hata picha hulioni??
Punguza speed ndugu utajikwaa.. Kunywa maji kidogo....

Kila mtu ana kipaji chake katika usuluhishi na ushawishi ndo mana hata wewe ulivogombana na kijiex chako uliomba watu wakusaidie kukushawishi kikuelewe...
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? Kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Mkuu inawezekana huyo mdada hajakuzoea sana kwa hiyo inakuwa ni vigumu kwa yeye kutambua wewe hua unapendelea stori zipi ndo maana ukimtumia message anajifikiria sana cha kukujibu mwisho wa siku anakosa cha kukujibu mwishoe anakujibu kwa ufupi au ndo hivyo anakulia bati.

Sababu nyingine inaweza kuwa anatingwa na kazi na wateja wanaomzunguka.

Kwa hiyo suluhisho ni kuonana nae uso kwa uso ili mtengeneze ukaribu, ukiona bado miyeyusho achana nae.
 
Huyo hakupendi na yuko busy na mambo yako. Kama mtu anakupenda kila wakati atataka awasiliane na wewe. Na ukiona kila wakati wewe ndiyo ni lazima uanze mawasiliano ya siku jua pia kuna tatizo ni lazima uanze kulifanyia kazi mapema sana. Kwa dalili ulizosema na kwa uzoefu wangu wa miaka kadhaa ya mahusiano huyu mwanamke ana mtu mwingine ambaye anakupima naye katika mizani na inaelekea mzani unaelemea upande ule wa pili zaidi kuliko kwako. Kwa ushauri mwepesi sana ninaomba tulia anza taratibu kupunguza mawasiliano naye. Ninajua huwa inauma sana ila ni bora maumivu haya kuliko kusubiri maumivu yatakuwa makubwa zaidi baadaye. Tena ninakushauri kama una namba zake za simu hebu zifute katika simu yako ili usiweweseke kumchungulia huko whatsApp, instagram, twitter, n.k. Yaani iwe ni kumjibu tu pale atakaposhtuka kukutafuta. Hebu anza taratibu na ndani ya wiki mbili utaanza kupona maumivu na ikifika mwezi unaanza kupata uponyaji na miezi mitatu unapona unaachana naye.

Kanjia kazuri sana hako ka kufuta namba. I did it once and it worked. Nilimfuta mshkaji for good. Futa namba, picha na kila kitu kinachomuhusu. Then live ur life
 
Back
Top Bottom