Kuna jamaa yangu anapitia hali hiyo na ameshatoa mahari, unamshaurije mtu kama huyuHata kama mapenzi Ni upofu we kaka umezidi..endelea Tu kushika mapembe wenzio wana kamua maziwa..
unaonekana Ni mpole na unajua kuheshimu mwanamke ILA huyu hutamuweza atakuumiza mwachie pasua kichwa wenzie,
tafuta unaye endana naye, sawaee