Nampenda lakini meseji zake za mkato

Nampenda lakini meseji zake za mkato

Sepa haraka sana hakuna penzi hapo wala mke, STUKA!
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Oa ili uchangie na wenzako.
 
hongera kwa kushinda dhambi ya uasherati pia watoto wa kike wana mambo mengi sana kama unampenda usimfutia kila hatua utaumia bure ladba ni kweli au pia si kweli mambo huwa yanajifunua yenyewe cha msingi ni kuandaa moyo na akili usimpende saaana ..na usiweke malengo 100% kuachana ni jambo la mwisho kabisa sababu wanawake huwa wanafanana unaweza ruka mkojo ukaangukia m**i
Thank you brother......wazo zuri sana.
 
Mwendelezo..... Nilijaribu kufuta hadi namba yake na mim nikawa simtafuti kilichofuatia akawa ananitafuta kila asubuhi na jioni kwa kunihimiza amka uende kazini jioni anapiga simu anasema pole na kazi . .. kukata tamaa kunaisha naanza upya tena......inafkkia kipindi nikakata tamaa na kumuuliza pia hebu niambie nina changu au sina mim nianze mambo mengine "akanambia bwana inaonekana unaharaka tafuta mwingine" nikaamua ngoja niachane nae sitaki tena ....baadae usiku ananiambia jamani naona umechukia hadi naogopa nilitaka nije kwako lakin naogopa unanichukia....mim nikamwambia mim ni civilized karibu niko normal....basi nikawa simtafuti muda mwingi akawa ananitafuta yeye kwa kuwa nampenda moyo tena unarudia kukaza buti hebu ngoja niendelee naye tu labda ndio tabia yake.....yaani kwa sasa nimekuwa mtu wa kukata tamaa na kurudia tena .....ndio maisha ninayoishi....hivo naomba mnishauri the right way .... how to completely solve this equation.
 
Mwendelezo..... Nilijaribu kufuta hadi namba yake na mim nikawa simtafuti kilichofuatia akawa ananitafuta kila asubuhi na jioni kwa kunihimiza amka uende kazini jioni anapiga simu anasema pole na kazi . .. kukata tamaa kunaisha naanza upya tena......inafkkia kipindi nikakata tamaa na kumuuliza pia hebu niambie nina changu au sina mim nianze mambo mengine "akanambia bwana inaonekana unaharaka tafuta mwingine" nikaamua ngoja niachane nae sitaki tena ....baadae usiku ananiambia jamani naona umechukia hadi naogopa nilitaka nije kwako lakin naogopa unanichukia....mim nikamwambia mim ni civilized karibu niko normal....basi nikawa simtafuti muda mwingi akawa ananitafuta yeye kwa kuwa nampenda moyo tena unarudia kukaza buti hebu ngoja niendelee naye tu labda ndio tabia yake.....yaani kwa sasa nimekuwa mtu wa kukata tamaa na kurudia tena .....ndio maisha ninayoishi....hivo naomba mnishauri the right way .... how to completely solve this equation.
Jiulize do u need this kind of relationship? Why ww tu kuumia moyoni au umuonyeshe kumpenda tuu na kumjali yy asionyeshe? Love is two way traffic. Usiwe mjinga wa mapenzi and kupenda kusikufanye mpofu usione picha inavyoenda. Make a right decision.... Anayekupenda kwa dhati hawezi act hivyo
 
Mwendelezo..... Nilijaribu kufuta hadi namba yake na mim nikawa simtafuti kilichofuatia akawa ananitafuta kila asubuhi na jioni kwa kunihimiza amka uende kazini jioni anapiga simu anasema pole na kazi . .. kukata tamaa kunaisha naanza upya tena......inafkkia kipindi nikakata tamaa na kumuuliza pia hebu niambie nina changu au sina mim nianze mambo mengine "akanambia bwana inaonekana unaharaka tafuta mwingine" nikaamua ngoja niachane nae sitaki tena ....baadae usiku ananiambia jamani naona umechukia hadi naogopa nilitaka nije kwako lakin naogopa unanichukia....mim nikamwambia mim ni civilized karibu niko normal....basi nikawa simtafuti muda mwingi akawa ananitafuta yeye kwa kuwa nampenda moyo tena unarudia kukaza buti hebu ngoja niendelee naye tu labda ndio tabia yake.....yaani kwa sasa nimekuwa mtu wa kukata tamaa na kurudia tena .....ndio maisha ninayoishi....hivo naomba mnishauri the right way .... how to completely solve this equation.
Huyu binti hajazoea kukutana na type yako. Anataka u -do- naye...
Kabla hamjarukia kwenye ndoa.

Kimsingi ana ku-feel ila ana pretend as if hakukubali cause hujamjua bado na pia ili kukutia hamasa u do naye fasta.

Mambo ya kusubiri sijui mpaka ndoa yamekua hekaya za abunuasi kwa kizazi cha dot.com. jipange

Ukijifanya mpaka ndoa wengine wanakula na chumvi.
 
huwa inauma sana kutuma SMS jitu linajibu kama kalazinishwa,anyway kwa sisi wadada tukifanyaga hivyo jua hakuna mapenzi were kaa kimya week akikuuliza VIP mjibu short 'Niko bize' then kimyaaa ndo utajua yote yalojificha
 
Mkuu huyo ana wake wa moyoni wewe kakufanya spare tire achana naye kaza moyo pambana yote maisha ipo siku utampata akupendaye kwa dhati achana na jipu hilo.
 
Kwanza mkuu huyo sio dadayako unamuitaje dada halafu unatakiwa utest kama yenyewe kama vipi piga chini hakuitaj huyo atakusumbua ww na familia yako na hata jf atatusumbua kwa malalamiko yako kuhusu yeye mkuu
 
Nina msichana ambae nategemea kumuoa badae, sijawahi shiriki naye tendo na ahadi yangu kwake ni kumuoa kihalali.

Sasa huyu dada ukimtumia ujumbe wa maneno huwaga anajibu kifupi mfano "UMEAKAJE MPENZI ANAJIBU SALAMA" anakaa kimya na wala haulizii hali yangu na hawezi kunitafuta mpaka mimi nimuanze kumtafuta.

Alafu meseji hujibu baada ya hata lisaa lizima au zaidi. Nakumbuka leo nilikuwa nachati nae kuanzia saa mbili akawa ananijibu kwa wakati lakini imefika saa tatu akawa anajibu baada hata ya dk 20.Sasa mimi nikamuuliza kulikoni ama una usingizi? kanijibu ndio kwa kifupi baadae mimi nikamwambia basi usiku mwema akajibu baada ya dk 10 nawe pia.

Sasa nimekaa kama dk 5 kumpigia simu yake ikawa busy anaongea, nimepiga mpaka roho ikaniuma simu iko busy.

Wadau nifanye maamuzi gani sahihi kwa huyu dada?

Lakini nampenda sana.
Hahaha duniani Kuna mambo
 
huwa inauma sana kutuma SMS jitu linajibu kama kalazinishwa,anyway kwa sisi wadada tukifanyaga hivyo jua hakuna mapenzi were kaa kimya week akikuuliza VIP mjibu short 'Niko bize' then kimyaaa ndo utajua yote yalojificha
Haha
 
Back
Top Bottom