cartura
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,026
- 788
nikamueleza how i feel, alichojibu ni kuwa kwa sasa anamtu anatoka nae na ni kweli, ila hana malengo nae yoyote in future
kwa kifupi huyo jamaa yako hajatulia na ni player.... next time, roles zita-change..... wewe ndiye utakayeshushwa daraja na kuonekana jamaa hana malengo na wewe