Habari za asubuhi. kuna kaka aliniapproach ukweli sikumfeel kwa muda ule. lakini muda umepita tukiendelea kuwasiliana kwa simu na sasa najiona nimetokea kumpenda kidhati kabisa. nikamueleza how i feel, alichojibu ni kuwa kwa sasa anamtu anatoka nae na ni kweli, ila hana malengo nae yoyote in future. ameniomba nimpe muda aweze kusolve issue na huyo wa sasa. mimi huku ndo nazidi kuumia je nimpe muda kweli ama ndo story tu nichape lapa? ushauri wowote unapokelewa.