Nampenda huyu Mume

Mkuu kumbuka ana watoto, miili yetu hubadilika pindi tunapo beba mimba. Na hata baada ya kujifungua hatuna guarantee miili yetu kurudia hali ya kawaida. Sio kama mtu anafurahia kuwa hivyo.
usemacho kweli nikikumbuka mama luhekelo alivyokuwa slimu, nw utazania amemeza mtungi wa gas??
 
anapatikana kwenye movies tu mdogowangu

uhalisia itachukua miak 30 ya ndoa kumtengeneza
 
Siwez date na mwanamke bongee hata siku 1 labda kuwe kuna vya ziada navyovipata
 
dah mapenzi ya siku hz yana sharia kibao more than zile za traffic
 
Wanawake wenye maumbo hayo huwa wana utulivu Sana moyoni,hawana fireworks nyingi home, so bickering wives, na hicho ndio wanaume makini wanachokitaka.
 
Tehe!, nimetoa tu mfano kama mwanaume wa kuigwa jamani.
Mwanaume anayevutia kiasi hicho kuwa na mwanamke kama 'Jazzy' si rahisi sana.
Mbona hata huyo bibiye anavutia pia?
 
True, kutegemea na mazingira.
Hakuna cha mazingira hapo naongea kutokana na uzoefu. Huyo binti yuko vizuri tu tatizo lake hajiamini anadhani anapendelewa tu kwa kupendwa na huyo jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…