Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,578
- 3,485
- Thread starter
- #101
Rom3:23Imeandikwa, wanadamu wote wamepungukiwa na utukufu wa Mungu, wote wametenda dhambi, kwa hoja yako hakuna atakayeingia mbinguni.
Rom3:23Imeandikwa, wanadamu wote wamepungukiwa na utukufu wa Mungu, wote wametenda dhambi, kwa hoja yako hakuna atakayeingia mbinguni.
Tutajie watu waliokoka kwenye Biblia?Utapoteza mwili na roho, usifanye masihara, Iko siku utaukumbuka Uzi huu
Hata walio okoka wanateleza na kutenda dhambi ndio maana kuna msalaba na kuomba toba kila siku.
Warumi 3:23-25
Jambo la pili tukifuata biblia hayo uliyo yasema ni mambo mazuri kufanywa lakini mtu hawezi kuokolewa kwa matendo peke yake (mfano unasema mimi nina vituo vya watoto yatima vingi so hiyo ndo price yangu ya kununua wokovu)
Kulea yatima na kusaidia watu ni jambo zuri lakini wokovu tunaupata kwa neema na kujinyenyekeza katika Jina lipitalo majina yote
MayundaKama wanamkiri, wameokoka. Ufuasi - matendo na tabia njema ni matunda ya wokovu. Tabia njema au matendo mema havimwokoi mtu.
AminaWrite your reply...WENGI HAWAJUI WOKOVU WANAJUA NIKUKEMEA PEPO TU.INJILI YA YESU MATHAYO SURA YA 5 NDYO ILIYOBEBA SURA NZMA YA WOKOVU
Amen mtumishi napokeaWewe utakua muhubiri mzuri sana