Namna ya kutambua kama umeokoka au wewe ni Mkristo

Hata walio okoka wanateleza na kutenda dhambi ndio maana kuna msalaba na kuomba toba kila siku.

Warumi 3:23-25

Jambo la pili tukifuata biblia hayo uliyo yasema ni mambo mazuri kufanywa lakini mtu hawezi kuokolewa kwa matendo peke yake (mfano unasema mimi nina vituo vya watoto yatima vingi so hiyo ndo price yangu ya kununua wokovu)

Kulea yatima na kusaidia watu ni jambo zuri lakini wokovu tunaupata kwa neema na kujinyenyekeza katika Jina lipitalo majina yote
Naam, Daudi alimchukua mke wa Uria, Musa alikuwa na hasira, Samsoni alijichanganya na Delila...karibu Kila mteule kuna udhaifu wa kibinadamu ulionekana..
 
Hii ni kwa mujibu wa wawalokole ongezea apo na kunena kwa lugha.
Ah..ah...kuna kitu wamekiongeza sijui kinatokea wapi " sinners prayer" hakuna mahali Yesu alifanya tunaona akiwaambia tu akina Yohana na wenzake nifuateni " kuwa wafuasi"
 
Wasikilize watumishi na manabii utagundua hilo,Kuna mmoja anasema mfalme Suleiman yupo kuzim!

Labda ndio maana anahusishwa kuwa Baba was wajenzi huru hao Freemasons!!!!

We wasikilize utajua tu!!
Mmmh... Kuna mambo ya ajabu sana leo Mkuu..Nina hakika Kwa aina ya misimamo ya kilokole ya leo karibu Kila mteule aliyeandokwa kwenye Biblia ataambiwa ni muasi.
Ukweli ni kwamba, kuna mengi hatuyaelewi kuhusi wokovu.
 
Kuokoka kunashikamana na misingi ya maisha " principles of life". Kama msingi wa maisha wa kiroho haupo wokovu haupo. Mfano yapo maisha yanayoandaliwa mtu kuwa mwanajeshi, Mwalimu daktari n.k, ni sisi tu ambao tunaamini tunaweza kuishi bila kuwa wafuasi "disciples" Yani kuishi bila kuandaliwa hivyo.

Mshangao mkubwa mbinguni ni huu " wale tunaofikiri wanaoweza kuwa mbinguni tunaweza tusiwaone tukaona wengine".
Hatuokoki kwa kuhubiri au kuomba vizuri. Ndani ya hazina nzuri hutoka mazuri.

Moyo wa mtu haiwezi kuwa na mabaya ukatoa mazuri, tatizo tunaigiza sana, mtu anafanya dhambi halafu anawaambia watu Mungu anajua na siyo dhamira yake. Mfano unakuka mtu anakamatwa kweupe anaiba halafu anajitetea Kwa kusema " katika maisha yangu yote sijawahi kuiba Mungu anafahamu" .

Ukweli ni kwamba, Tangu mwanzo Mungu aliweka sheria za maadili " moral laws" ndani ya mioyo ya wanadamu tatizo letu tunapokosea tunatafuta faraja Kwa watu lakini dhamiri zetu zinatusuta.
 
Mungu

Alishachagua watu wake was Kila upande!

Refer yeremia kwamba alishamjua tangu misingi ya ulimwengu haijawekwa!!

Kuna wale walishafanywa kuwa wa kuzimu na moto mapema kabla hata hawajazaliwa!Kwa mungu hakuna kubahatisha bahatisha Kila kitu ni planed no suprises!!

Chunguza wewe mwenyewe Binafsi jione ndani ya moyo wako hata kama no WA maombi kiasi gani utajua kabisa kama ni Mbinguni au kuzimu!!

Yaani nafsi yako inasema TU yenyewe hasta kama hujatenda dhambi hujazini,hujaiba,hujachukua Cha mtu lakini bado fate unaiona ndani ya nafsi yako!!

Kushika dini,kuomba sana,kushika ibada sana hakukupi uhakika was kesho Yako zaidi ya Ile uliyoandikiwa kabla!!

UNAWEZA KUAMINI MFALME SULEIMAN YUPO KUZIMU NA MBINGUNI HAYUPO!!?MUSA ALIEIKAIDI SAUTI YA MUNGU BADO MBINGUNI YUPO NI KANAANI PEKEE HAKUFIKA!!!

HATMA YA MAISHA YA MTU NI FUMBO KUBWA SANA AMBALO MUNGU PEKEE NDIO ANAJUA!!
Hapa kuna hekima ya kujifunza, asante " Mungu huutangaza mwisho tangu mwanzo"
 
Kuokoka ni kuamini kuwa kuna Mungu mmoja tu na kumkiri mwanae wa pekee Yesu kristo kuwa Bwana na mwokozi wa ulimwengu aliye na mamlaka Duniani na Mbinguni, kubatizwa kwa maji mengi na kuishi kwa maisha yenye kuzitii na kutozivunja amri 10 za Mungu (hili ni la muhimu sana maana amri 10 za Mungu zilitoka kwake mwenyewe)

Wengi wameokoka kutokea dhambini hivyo wanamkiri Yesu huku bado wanavutwa na shetani ndio maana utakuta kuna baadhi ya vitu wanaviacha na vingine vinawashinda japo taratibu wanajitahidi kufanya hivyo

Imani hujengwa taratibu ndio maana wanasisitizwa kutoliacha kanisa na kujibidiisha katika kulisoma neno lake na kujumuika na wenzao katika ibada ili kuijenga imani na ujasiri wa kiroho kuishinda nguvu ya shetani, hii haijawahi kuwa rahisi lakini ukiweka nia baada ya muda unafanikiwa.

Bwana Yesu asifiwe
Amen!.
 
Kuokoka kunashikamana na misingi ya maisha " principles of life". Kama msingi wa maisha wa kiroho haupo wokovu haupo. Mfano yapo maisha yanayoandaliwa mtu kuwa mwanajeshi, Mwalimu daktari n.k, ni sisi tu ambao tunaamini tunaweza kuishi bila kuwa wafuasi "disciples" Yani kuishi bila kuandaliwa hivyo.

Mshangao mkubwa mbinguni ni huu " wale tunaofikiri wanaoweza kuwa mbinguni tunaweza tusiwaone tukaona wengine".
Hatuokoki kwa kuhubiri au kuomba vizuri. Ndani ya hazina nzuri hutoka mazuri.

Moyo wa mtu haiwezi kuwa na mabaya ukatoa mazuri, tatizo tunaigiza sana, mtu anafanya dhambi halafu anawaambia watu Mungu anajua na siyo dhamira yake. Mfano unakuka mtu anakamatwa kweupe anaiba halafu anajitetea Kwa kusema " katika maisha yangu yote sijawahi kuiba Mungu anafahamu" .

Ukweli ni kwamba, Tangu mwanzo Mungu aliweka sheria za maadili " moral laws" ndani ya mioyo ya wanadamu tatizo letu tunapokosea tunatafuta faraja Kwa watu lakini dhamiri zetu zinatusuta.
Mkuu siku hiz una meditate ? Au nmekufananisha?
 
Siwezi acha kufanya meditation, hujanifananisha hata kidogo
1705137699879.jpg
 
Back
Top Bottom