WeedLiquorz
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 3,754
- 6,410
Yah maama walookoka wenyewe watabisha ila hata mimi ninaona kama wewe.Maoni tu, linaweza kuwa jibu inategemea mtu analipokea vip?
Yah maama walookoka wenyewe watabisha ila hata mimi ninaona kama wewe.Maoni tu, linaweza kuwa jibu inategemea mtu analipokea vip?
🤣🤣🤣Yah maama walookoka wenyewe watabisha ila hata mimi ninaona kama wewe.
Umekosea kuniquote au ulinikusudia mimi?Mwongo mkubwa. Makosa ni dhambi. Hakuna mtu mwenye mwili wa nyama asiyetenda dhambi, waliookoka wanatenda dhambi pia.
Naam, Daudi alimchukua mke wa Uria, Musa alikuwa na hasira, Samsoni alijichanganya na Delila...karibu Kila mteule kuna udhaifu wa kibinadamu ulionekana..Hata walio okoka wanateleza na kutenda dhambi ndio maana kuna msalaba na kuomba toba kila siku.
Warumi 3:23-25
Jambo la pili tukifuata biblia hayo uliyo yasema ni mambo mazuri kufanywa lakini mtu hawezi kuokolewa kwa matendo peke yake (mfano unasema mimi nina vituo vya watoto yatima vingi so hiyo ndo price yangu ya kununua wokovu)
Kulea yatima na kusaidia watu ni jambo zuri lakini wokovu tunaupata kwa neema na kujinyenyekeza katika Jina lipitalo majina yote
Ah..ah...kuna kitu wamekiongeza sijui kinatokea wapi " sinners prayer" hakuna mahali Yesu alifanya tunaona akiwaambia tu akina Yohana na wenzake nifuateni " kuwa wafuasi"Hii ni kwa mujibu wa wawalokole ongezea apo na kunena kwa lugha.
Mmmh... Kuna mambo ya ajabu sana leo Mkuu..Nina hakika Kwa aina ya misimamo ya kilokole ya leo karibu Kila mteule aliyeandokwa kwenye Biblia ataambiwa ni muasi.Wasikilize watumishi na manabii utagundua hilo,Kuna mmoja anasema mfalme Suleiman yupo kuzim!
Labda ndio maana anahusishwa kuwa Baba was wajenzi huru hao Freemasons!!!!
We wasikilize utajua tu!!
Wewe huelewi wokovu ni nini.
Hapa kuna hekima ya kujifunza, asante " Mungu huutangaza mwisho tangu mwanzo"Mungu
Alishachagua watu wake was Kila upande!
Refer yeremia kwamba alishamjua tangu misingi ya ulimwengu haijawekwa!!
Kuna wale walishafanywa kuwa wa kuzimu na moto mapema kabla hata hawajazaliwa!Kwa mungu hakuna kubahatisha bahatisha Kila kitu ni planed no suprises!!
Chunguza wewe mwenyewe Binafsi jione ndani ya moyo wako hata kama no WA maombi kiasi gani utajua kabisa kama ni Mbinguni au kuzimu!!
Yaani nafsi yako inasema TU yenyewe hasta kama hujatenda dhambi hujazini,hujaiba,hujachukua Cha mtu lakini bado fate unaiona ndani ya nafsi yako!!
Kushika dini,kuomba sana,kushika ibada sana hakukupi uhakika was kesho Yako zaidi ya Ile uliyoandikiwa kabla!!
UNAWEZA KUAMINI MFALME SULEIMAN YUPO KUZIMU NA MBINGUNI HAYUPO!!?MUSA ALIEIKAIDI SAUTI YA MUNGU BADO MBINGUNI YUPO NI KANAANI PEKEE HAKUFIKA!!!
HATMA YA MAISHA YA MTU NI FUMBO KUBWA SANA AMBALO MUNGU PEKEE NDIO ANAJUA!!
Saa ya wokovu ni Sasa Mkuu.Mda ni lini kila siku watu wanakufa na kuliwa vichwa na siafu?🤔🤔🤔
Salvation is by Grace through Faith. Christ Died as Our Redeemer and Substitute (on our behalf). By His death, He removed the barrier/sin that separates mankind from God.Kinachomwokoa mtu ni kitu gani
Amen!.Kuokoka ni kuamini kuwa kuna Mungu mmoja tu na kumkiri mwanae wa pekee Yesu kristo kuwa Bwana na mwokozi wa ulimwengu aliye na mamlaka Duniani na Mbinguni, kubatizwa kwa maji mengi na kuishi kwa maisha yenye kuzitii na kutozivunja amri 10 za Mungu (hili ni la muhimu sana maana amri 10 za Mungu zilitoka kwake mwenyewe)
Wengi wameokoka kutokea dhambini hivyo wanamkiri Yesu huku bado wanavutwa na shetani ndio maana utakuta kuna baadhi ya vitu wanaviacha na vingine vinawashinda japo taratibu wanajitahidi kufanya hivyo
Imani hujengwa taratibu ndio maana wanasisitizwa kutoliacha kanisa na kujibidiisha katika kulisoma neno lake na kujumuika na wenzao katika ibada ili kuijenga imani na ujasiri wa kiroho kuishinda nguvu ya shetani, hii haijawahi kuwa rahisi lakini ukiweka nia baada ya muda unafanikiwa.
Bwana Yesu asifiwe
Mkuu siku hiz una meditate ? Au nmekufananisha?Kuokoka kunashikamana na misingi ya maisha " principles of life". Kama msingi wa maisha wa kiroho haupo wokovu haupo. Mfano yapo maisha yanayoandaliwa mtu kuwa mwanajeshi, Mwalimu daktari n.k, ni sisi tu ambao tunaamini tunaweza kuishi bila kuwa wafuasi "disciples" Yani kuishi bila kuandaliwa hivyo.
Mshangao mkubwa mbinguni ni huu " wale tunaofikiri wanaoweza kuwa mbinguni tunaweza tusiwaone tukaona wengine".
Hatuokoki kwa kuhubiri au kuomba vizuri. Ndani ya hazina nzuri hutoka mazuri.
Moyo wa mtu haiwezi kuwa na mabaya ukatoa mazuri, tatizo tunaigiza sana, mtu anafanya dhambi halafu anawaambia watu Mungu anajua na siyo dhamira yake. Mfano unakuka mtu anakamatwa kweupe anaiba halafu anajitetea Kwa kusema " katika maisha yangu yote sijawahi kuiba Mungu anafahamu" .
Ukweli ni kwamba, Tangu mwanzo Mungu aliweka sheria za maadili " moral laws" ndani ya mioyo ya wanadamu tatizo letu tunapokosea tunatafuta faraja Kwa watu lakini dhamiri zetu zinatusuta.
Hapa kuna hekima ya kujifunza, asante
Siwezi acha kufanya meditation, hujanifananisha hata kidogoMkuu siku hiz una meditate ? Au nmekufananisha?
Siwezi acha kufanya meditation, hujanifananisha hata kidogo
Sadhguru nafuatilia sana Mkuu,Komaa mpka ujipate hizi nyingne ni propaganda tu
SureSadhguru nafuatilia sana Mkuu,
Huyu jamaa ni zaidi ya mystic figure Kwa mtazamo wangu.
Wkt mwingine kukaa kimya ni hekima km huna Cha kuchangia. Unamjua anaekufanya upumue na kuongeza hivyo?Twende kufanyeje huko?
Hizi bia tumuachie nani?
Umeokoka vp na bado upo duniani?
Au umeokoka kupigwa pumbu?