Hiyo dawa uliyoisahau ni kidonge cha ASPIRIN.....
Panadotumia maji, sabuni na brash.
usitumie dawa/vidonge mana pasi haina ugonjwa.
Mwanzo nilikua natumia panadol lkn moshi wake ulikua unanisababishiaSijajua mnaosema panadol au paracetamol mmefanya utafiti wa madhara ya moshi utoakanao na kuungua kwa kemikali hiyo ikiingia kwenye mapafu ina madhara gani? halafu kwa pasi zenye matundu ya kutolea maji chini uchafu ukishayeyushwa na kidonge hicho unajificha kwenye matundu hayo je inasaidia?
Haaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....chizi wetumia maji, sabuni na brash.
usitumie dawa/vidonge mana pasi haina ugonjwa.
Habari wana JF
Nimekumbwa na changamoto moja ya kupasi nguo zangu mwenyewe zoezi nililoliacha miaka thelathini iliyopita, nimeshika pasi naona ni chafu sana. Huko zamani kuna dawa tulikua tunaiweka alafu uchafu unatoka na yenyewe inatoa moshi mkali, sijui ni panadol au septrin ila nimesahau na ni muda mrefu. Naomba kujuzwa njia nyepesi ili nisiunguze nguo zangu na kuzichafua, Asanteni.
Kamati ya roho mbaya mpaka jf.kweli viwanda ni vya watoto vya chuma na mambo mengine tuwachie wachina[emoji3] [emoji3]We washa pasi yako weka moto mpaka mwisho then anza kuisafisha na ulimi mbona dakika tu itakuwa mbuya!!!
hii nilikuwa naijua kitambo ila nimefanya hivyo leo zimedunda nikaacha....hana solvent hivi?tumia vidonge vya panadol sugua sehemu yenye weusi unaisha ila kaa nje maana utakohoa hatari
okey but how?pasi ikiwa ya moto au?mkaa nautwanga ama namna gani?pleaseKama panadol imegoma sugua na mkaa..
Labda unahitaji kununua nyingine, kama panadol zimegomaokey but how?pasi ikiwa ya moto au?mkaa nautwanga ama namna gani?please