niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,671
- 5,471
jaribu kutumia coka soda.
sawa asanteLabda unahitaji kununua nyingine, kama panadol zimegoma
Wengi tunajua umuhimu wa pasi,pasi yangu ya umeme imechafuka sana kwenye kitako cha kunyooshea nguo, imekua nyeusi sana kiasi ikipata moto ule weusi unaungua na huwezi tena kunyoosha nguo,inaungua!je,kuna dawa yoyote ya kusafishia kuutoa?zawani nilikuwa natumia vidonge vya panadol kuuyeyusha uchafu huo kisha kuifuta ila kwa sasa imedunda....
sawa,lkn naifanyaje?jaribu kutumia coka soda.
poa...chupi pia ni muhimu kuinyoosha,usibeze!tulisoma zamani,tulijifunza ktk sayansi kimuItakuwa huwa unainyooshea chupi, anyway Tumia panadol uilowanishe kidogo au mkaa ikishindikana tumia mchanga laini
Panadol hazijawah kudunda, usizionee huruma tumia kama zote. Hakikisha pasi inapata moto wa kutosha.hii nilikuwa naijua kitambo ila nimefanya hivyo leo zimedunda nikaacha....hana solvent hivi?
duh,sawa nitanunua za kumwaga basi ila dah,moshi wake hatariPanadol hazijawah kudunda, usizionee huruma tumia kama zote. Hakikisha pasi inapata moto wa kutosha.
dah,nimekuelewa vzr sana.....sijawahi kujua chumvi inahusika ktk hili,nitafanya jioni au kesho then nitaleta ushuhuda...shukranChumvi ndo kiboko yake. Weka moto wa pasi mpaka maximum, chukua chumvi kiasi na uweke kwenye karatasi ama gazeti juu ya meza ya kunyooshea. Anza kunyoosha juu ya hiyo chumvi, uchavu wote utaondoka. Mimi natumia njia hiyo.
Panadol tena !! Maumivu yakizidi muone daktari 😕 😕tumia vidonge vya panadol sugua sehemu yenye weusi unaisha ila kaa nje maana utakohoa hatari
Tumia asprinWengi tunajua umuhimu wa pasi,pasi yangu ya umeme imechafuka sana kwenye kitako cha kunyooshea nguo, imekua nyeusi sana kiasi ikipata moto ule weusi unaungua na huwezi tena kunyoosha nguo,inaungua!je,kuna dawa yoyote ya kusafishia kuutoa?zawani nilikuwa natumia vidonge vya panadol kuuyeyusha uchafu huo kisha kuifuta ila kwa sasa imedunda....
Afadhali umempa tahadhari. Unaweza ukohoe hadi unye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tumia vidonge vya panadol sugua sehemu yenye weusi unaisha ila kaa nje maana utakohoa hatari
poa,ila naufanyaje?Tumia mshumaa