Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Songíto;3812440 said:Vijana wa siku hizi hawana formula ya kuishi nao... unaweza ukamfanyia yote haya na mengine ya ziada na bado akakata kamba kutafuta "something" (kimada). tena ukimfanyia haya anajiona kuwa kumbe unampenda kupitiliza na ataanza kukudengulia na kukufanyia ndivyo sivyo... ni bora kupenda ila kutoonyesha kwa asilimia zote.... bakisha kiasi kwa ajili yako!!
Nakubaliana na wewe Songíto,
Kwenye mahusiano especially mapya, mtu hana sababu ya kujipinda eti anataka mwenzi wako akukubali....Just play your part mdogo mdogo. Na kama watu wangejua, basi wangeangalia vitu basics kama alivyoshauri Mama Ashrati badala ya kuwa obsessed kwa kuhangaishwa na vitu petty ambavyo mchango wake si mkubwa ki hivyo.
Babu DC!!