Namna ya kumkamata mwanaume!!

Namna ya kumkamata mwanaume!!

Songíto;3812440 said:
Vijana wa siku hizi hawana formula ya kuishi nao... unaweza ukamfanyia yote haya na mengine ya ziada na bado akakata kamba kutafuta "something" (kimada). tena ukimfanyia haya anajiona kuwa kumbe unampenda kupitiliza na ataanza kukudengulia na kukufanyia ndivyo sivyo... ni bora kupenda ila kutoonyesha kwa asilimia zote.... bakisha kiasi kwa ajili yako!!

Nakubaliana na wewe Songíto,

Kwenye mahusiano especially mapya, mtu hana sababu ya kujipinda eti anataka mwenzi wako akukubali....Just play your part mdogo mdogo. Na kama watu wangejua, basi wangeangalia vitu basics kama alivyoshauri Mama Ashrati badala ya kuwa obsessed kwa kuhangaishwa na vitu petty ambavyo mchango wake si mkubwa ki hivyo.

Babu DC!!
 
I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka baba Ashrat sawa na mpaka leo hii sijawahi kuhisi wala kugundua kwamba anatoka nje ya ndoa yetu, japo matatizo ya hapa na pale hayakosekani ila tumedumu na bado tunaendelea na safari.

Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu unaweza ukampa mwongozo/sababu mpaka mwenyewe akajikuta anakupenda kuliko ambavyo angeweza kutarajia kwamba angewahi kupenda. Ndio maana hata wale waitwao 'bad girls/boys' hua wanajikuta wamenaswa na kunasika at some point.

1. Usiigize.
Maigizo waachie wasanii wetu, kuwa vile ulivyo kweli kimaisha/kitabia (isiwe mbaya)/mazoea n.k

2. Don't move too fast/act desperate.
Usitumie ule muda wa mwanzo kabisa wa mahusiano yenu kutaka kujua "una malengo gani na mie?" "utanioa?" "Kanitambulishe/nataka nikakutambulishe." n.k Mpe nafasi ya kukusoma na kupata kujua wewe ni mtu wa aina gani, je unafanania na mwanamke ambae angependa kuwa nae kwa muda mrefu, possibly hata ndoani? Na wewe nawe tumia muda huo kufanya kitu hicho hicho.

3.Don't be too demanding.
Huyo sio baba yako wala sio mume just yet, hivyo chochote atakachokufanyia kinatokana na yeye kutaka/kupenda kufanya hivyo na sio kwakulazimika. Haki hiyo hauna.

4. Kuwa na shukurani.
Learn to appreciate all that he does for you, that way ataona umuhimu wa hayo anayokufanyia, yawe makubwa au madogo.

5. Be real.
Badala ya kufika kwake na kuanza kushangaa anaishije bila ya mfanyakazi wa ndani huku ukitamba kuwa wewe huwezi, shangaa anawezaje weka nyumba yake katika hali nzuri mwenyewe bila ya msaada. Hii itaonyesha fika wewe utakua mke wa aina gani hapo baadae, kama ni wale wakukaa miguu juu huku wakiagiza hata maji waliyoombwa na mume au la.

6. Learn to cook if you don't know how to.
Waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea. Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi hua wanajali ladha. Hiyo ndio hua inawaongezea hamu ya kula na kuwarudisha nyumbani mapema pia kuwafanya wakumiss pale inaposhindikana kula chakula chako . Kwakumwonyesha mwanaume kwamba hata tumbo lake unaweza kuliridhisha unamwongezea sababu za kukuweka kwenye maisha yake.

7. Mheshimu.
Mpe heshima yake kama mwanaume wako ila usimwogope. Wengine wote usiwape nafasi kumfanya ajisikie kwamba haheshimiki.

8. Kuwa ngao yake.
Inapotokea anakumbwa na matatizo yoyote yale onyesha utayari wa wewe kuwa pamoja naye kwa hali na mali mpaka yatakapoisha. Pia usikose kumjali kumpa moyo pale unapoona inahitajika.

9. Kuwa muwazi.
Kama kuna mambo ambayo unajua moja kwa moja yatakuwa sehemu ya mahusiano yenu (watoto/X mkorofi .nk) mweleze mapema ili aamue kama yuko tayari kudeal nayo au la.

10. Usiwe na chuki.
Kikifika kipindi cha yeye kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake onyesha ushirikiano. Usionyeshe chuki wala kujiona kana kwamba wewe ndio wewe.

11. Give your all.
Kama na nyie mtaamua kuonjeshana tunda kabla (kama ambavyo wengi wanafanya karne hii) basi kuwa mbunifu, mtundu na usiwe mvivu.

12.Pendeza.
Vaa/onekana vizuri unapokuwa nje hata ndani pia. Usisahau kuzingatia/jali hisia zake kuhusu mavazi yako.

13. Onyesha interest kwa yale ayapendayo yeye.
Usiwe mbinafsi kila siku unataka kusikilizwa wewe tu na story/mambo utakayo wewe. Uliza/jua kuhusu yale anayopenda yeye mf. mpira/siasa.

14.Kuwa mtulivu.
Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana.

15.Usimzonge.
Usiwe mmoja wa wale watu wanaofuatilia wenzi wao masaa yote wanapokuwa hawapo pamoja. Mpe nafasi ya kuwa na marafiki zake bila kuhitaji kuzima simu ama ku-ignore simu/text zako.

16. Mfurahishe/chekeshe.
Joke around sio muda wote yeye ndio awe wakukufurahisha wewe.

17. Jifunze kusamehe.
Mambo madogo madogo yanapoombewa msamaha samehe na uache yapite.

18. Mshirikishe Mungu wako.
Ukishaona kwamba huyo ndie basi mshirikishe yule unayemwamini ili upate mwongozo wa kiroho.

Mama Ashrat.
Hapo nakabidhi moyo wangu ukae nao kabisa mama angu.
Good lesson.
 
.....kwangu mie, wangu kafaulu yote na sasa yumo katika 'final exam' ya haya mawili....

Labda niongezee neno la akiba.....mara nyingi kwenye hatua hizi za mwisho kuna kina dada/mama ambao huamua "kuubeba" ujauzito kama '-guarantee-' ya kumkamata vizuri (assurance) huyo mwanaume (asijemkimbia) ambayo kwa tafsiri yangu hilo pia linaangukia kwenye category ya kumkamata 'pembe' huyo mwanaume.

Mnalizungumziaje hili? (....Kumradhi wazee wa 'msiikurubie zinaa,' na wahamasishaji wa nyota ya kijani)

Mbu

Kwanza hongera kwa bibie maana wengi hata hua hawajihangaishi, achilia mbali kukaribia kufaulu mtihani. Hongera na wewe pia kwa kumwezesha kuendelea kukufanyia hayo mazuri maana ungekua sio kitu angeshakata tamaa mapema.

Hehehehehe hivi unajua hata vijana siku hizi wanatumia mimba kushinikiza ndoa? Sema wao wanaitumia pale wazazi wanapoonyesha ugumu wa kumkubalia binti yao kuolewa na kijana husika. Tofauti ni kwamba hili lina-support-iwa na wengi kuliko la mabinti.

Back to the topic. . .
Binafsi naona kwamba sio sahihi mtu kujishikisha mimba ili kumkamata mwanaume maana kwanza unakua umeshikiniza ndoa/mahusiano (sioni furaha hapo), pili anakua hajampa kijana nafasi ya kusema/onyesha kwamba wewe ndie angependa kushea kitu kama hicho with (kujua kunatoa furaha ya aina yake), tatu na kubwa kabisa ni kuwa zamani wanaweza kuwa walikua wanakamatika kwa style hiyo ila siku hizi mambo yamebadilika. Mtu anasema kabisa "mi mtoto ntalea but that is as far as you and me go". Kwahiyo mtu anakua amejibebesha u'single mother' kitu ambacho pengine hawezi ki-handle. Kwa lugha nyingine mtu anaetaka kumkamata mwenzie kwa style hiyo anatumia matope na sio akili kufikiri. Maana hamna guarantees, anaweza akishia kubeba mzigo ambao sio sawa yake.

Na ikitokea bila janja ya binti basi nashauri sana huyo binti asishinikize mahusiano kwa sababu hiyo. Ampe kijana nafasi ya kusema mwenyewe "sasa bwana mi naona/nataka tufanye kweli maana tayari tunatarajia". Hapo kila mmoja ataamua kwa nafasi yake kama kweli anataka ku-settle na mwenzake au la.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mama Ashrat

Ubarikiwe sana Shosti..naprint na mie nikamkamate wangu!

BAK, Soulmate na Babu DC mmesomeka katika hii thread. (Thread ya kwanza kuona BAK kaandika, na kuandiiiiika)

Wachangiaji wengine wote big up sana kwa michango yenu maridhawa...haya wadada shime tukakamate! lol
Hahahaha!!Asante MwanajamiiOne kwakunipa furaha na hiyo "wadada hima tukakamate".

Hapo nakabidhi moyo wangu ukae nao kabisa mama angu.
Good lesson.

manuu
Ningekua na pakuuweka ningepokea. Embu angaza angaza macho usikute bahati yako ipo karibu ila hujajua tu.

Sooth asante sana mpendwa kwa experience. Mengi sana wadada hua wanajiharibia wenyewe, wanakua na haraka kupitiliza, matakwa ya kutisha wakidhani kwamba ndio watapata makubwa. Kumbe mazuri yanahitaji uvumilivu na utaratibu kwenye kuyatafuta.

Mama ashrat, nakuvisha taji la heshma...wambie bwana habarii za ndoa za siku mbili baada la kukutana sio ishu tushachoka sie
Hahaha. Asante mwaya.
 
Last edited by a moderator:
Soulmate hili la kina mama 'kuamua' kubeba mimba ndipo hasa wengi wetu tunapokosea. Wanawake wengi huwa tunaitumia hii silaha kama silaha ya kukumaliza kabisa kumbe dndo tunajimaliza. Kubeba mimba si 'uamuzi' wa mmoja, tena mwanamke pekee ni maamuzi ya pamoja na ambayo hujenga zaidi kuliko yakiamuliwa na mmoja. Ingawa pia sometimes kuna kujisahau kati ya wapenzi ambao sasa wameshaanza kujifeel 'confortable' to each other, ambapo utakuta hata kama walikuwa wanatumia kinga basi zinawekwa kando na hakuna wa kumwuliza mwenzie la vipi mbona??

Pili ukimya nao unachangia ni vema kama mnaanza kuwa pamoja na hamtuimii kinga basi kuwekane wazi kuwa hamna mpango wa watoto hivi karibuni kuliko kukaa kimya ukiassume kuwa mwenzangu ana 'ukubwa' wa kutosha kuelewa kuwa hatujaoana so hatutakiwi kuleta viumbe duniani kwanza.

Lakini la tatu na kubwa zaidi ni kuwa WOTE wawili mchukue tahadhari! Mkaka jua mzunguko wa mpenzio, kuwa makini katika utumiaji kinga kila mara, ukimwachia mdada peke yake kama ndo anazo hizo evil minds za kukushika pembe basi utakuwa umempa funguo mwenyewe!

.....umeiweka vyema mpenzi ila nahisi umeacha kunitafsiri kwenye kipengele cha 'nia' ya mwanadada kujibebesha mimba.

MwanajamiiOne, .....mtu akitaka lake hashindwi. Mfano, hata mke wa ndoa kuna kipindi mume unapoteza hesabu lini aliingia mwezini, sembuse couples wanaoishi miles apart?

Sina tabia ya ku prove kweli tampoons zimelowa damu yake, ndio maana nikasema....'mrembo' akiwa na nia yake hata mzunguko wake ataurefusha/ufupisha ili kunivurugia hesabu ya danger days, na hapo bdo hajaongezea fertility injections za Dr Shafiq...

Kufumba na kufumbua unaambiwa "....nishapoteza miezi miwili, na mimba sitoi"....it's like being blackmailed jamani....
 
Last edited by a moderator:
Mbu

Kwanza hongera kwa bibie maana wengi hata hua hawajihangaishi, achilia mbali kukaribia kufaulu mtihani. Hongera na wewe pia kwa kumwezesha kuendelea kukufanyia hayo mazuri maana ungekua sio kitu angeshakata tamaa mapema.

Hehehehehe hivi unajua hata vijana siku hizi wanatumia mimba kushinikiza ndoa? Sema wao wanaitumia pale wazazi wanapoonyesha ugumu wa kumkubalia binti yao kuolewa na kijana husika. Tofauti ni kwamba hili lina-support-iwa na wengi kuliko la mabinti.

Back to the topic. . .
Binafsi naona kwamba sio sahihi mtu kujishikisha mimba ili kumkamata mwanaume maana kwanza unakua umeshikiniza ndoa/mahusiano (sioni furaha hapo), pili anakua hajampa kijana nafasi ya kusema/onyesha kwamba wewe ndie angependa kushea kitu kama hicho with (kujua kunatoa furaha ya aina yake), tatu na kubwa kabisa ni kuwa zamani wanaweza kuwa walikua wanakamatika kwa style hiyo ila siku hizi mambo yamebadilika. Mtu anasema kabisa "mi mtoto ntalea but that is as far as you and me go". Kwahiyo mtu anakua amejibebesha u'single mother' kitu ambacho pengine hawezi ki-handle. Kwa lugha nyingine mtu anaetaka kumkamata mwenzie kwa style hiyo anatumia matope na sio akili kufikiri. Maana hamna guarantees, anaweza akishia kubeba mzigo ambao sio sawa yake.

Na ikitokea bila janja ya binti basi nashauri sana huyo binti asishinikize mahusiano kwa sababu hiyo. Ampe kijana nafasi ya kusema mwenyewe "sasa bwana mi naona/nataka tufanye kweli maana tayari tunatarajia". Hapo kila mmoja ataamua kwa nafasi yake kama kweli anataka ku-settle na mwenzake au la.

.... Mama Ashrat umeiweka vyema, ....i hope kina dada wengi wamejifunza mapenzi na ndoa ni hiari, si kwa hila na kulazimishana.

Miaka fulani Unguja kuna kipindi ilifikia binti anapanga na wa kwao 'akamatiwe' kwa mwanaume alom target.....yaani anajileta kwa mwanaume, within minutes mnagongewa na umati wa watu akiwemo shk,...mnapigwa ndoa ya mkeka!
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda sana hii topic, ni kweli wadada wanaponzwa na kauli hii ya kutaka kuolewa mapema.
 
I was single once, but now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka baba Ashrat sawa na mpaka leo hii sijawahi kuhisi wala kugundua kwamba anatoka nje ya ndoa yetu, japo matatizo ya hapa na pale hayakosekani ila tumedumu na bado tunaendelea na safari.

Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu unaweza ukampa mwongozo/sababu mpaka mwenyewe akajikuta anakupenda kuliko ambavyo angeweza kutarajia kwamba angewahi kupenda. Ndio maana hata wale waitwao 'bad girls/boys' hua wanajikuta wamenaswa na kunasika at some point.

1. Usiigize.
Maigizo waachie wasanii wetu, kuwa vile ulivyo kweli kimaisha/kitabia (isiwe mbaya)/mazoea n.k

2. Don't move too fast/act desperate.
Usitumie ule muda wa mwanzo kabisa wa mahusiano yenu kutaka kujua "una malengo gani na mie?" "utanioa?" "Kanitambulishe/nataka nikakutambulishe." n.k Mpe nafasi ya kukusoma na kupata kujua wewe ni mtu wa aina gani, je unafanania na mwanamke ambae angependa kuwa nae kwa muda mrefu, possibly hata ndoani? Na wewe nawe tumia muda huo kufanya kitu hicho hicho.

3.Don't be too demanding.
Huyo sio baba yako wala sio mume just yet, hivyo chochote atakachokufanyia kinatokana na yeye kutaka/kupenda kufanya hivyo na sio kwakulazimika. Haki hiyo hauna.

4. Kuwa na shukurani.
Learn to appreciate all that he does for you, that way ataona umuhimu wa hayo anayokufanyia, yawe makubwa au madogo.

5. Be real.
Badala ya kufika kwake na kuanza kushangaa anaishije bila ya mfanyakazi wa ndani huku ukitamba kuwa wewe huwezi, shangaa anawezaje weka nyumba yake katika hali nzuri mwenyewe bila ya msaada. Hii itaonyesha fika wewe utakua mke wa aina gani hapo baadae, kama ni wale wakukaa miguu juu huku wakiagiza hata maji waliyoombwa na mume au la.

6. Learn to cook if you don't know how to.
Waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea. Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi hua wanajali ladha. Hiyo ndio hua inawaongezea hamu ya kula na kuwarudisha nyumbani mapema pia kuwafanya wakumiss pale inaposhindikana kula chakula chako . Kwakumwonyesha mwanaume kwamba hata tumbo lake unaweza kuliridhisha unamwongezea sababu za kukuweka kwenye maisha yake.

7. Mheshimu.
Mpe heshima yake kama mwanaume wako ila usimwogope. Wengine wote usiwape nafasi kumfanya ajisikie kwamba haheshimiki.

8. Kuwa ngao yake.
Inapotokea anakumbwa na matatizo yoyote yale onyesha utayari wa wewe kuwa pamoja naye kwa hali na mali mpaka yatakapoisha. Pia usikose kumjali kumpa moyo pale unapoona inahitajika.

9. Kuwa muwazi.
Kama kuna mambo ambayo unajua moja kwa moja yatakuwa sehemu ya mahusiano yenu (watoto/X mkorofi .nk) mweleze mapema ili aamue kama yuko tayari kudeal nayo au la.

10. Usiwe na chuki.
Kikifika kipindi cha yeye kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake onyesha ushirikiano. Usionyeshe chuki wala kujiona kana kwamba wewe ndio wewe.

11. Give your all.
Kama na nyie mtaamua kuonjeshana tunda kabla (kama ambavyo wengi wanafanya karne hii) basi kuwa mbunifu, mtundu na usiwe mvivu.

12.Pendeza.
Vaa/onekana vizuri unapokuwa nje hata ndani pia. Usisahau kuzingatia/jali hisia zake kuhusu mavazi yako.

13. Onyesha interest kwa yale ayapendayo yeye.
Usiwe mbinafsi kila siku unataka kusikilizwa wewe tu na story/mambo utakayo wewe. Uliza/jua kuhusu yale anayopenda yeye mf. mpira/siasa.

14.Kuwa mtulivu.
Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana.

15.Usimzonge.
Usiwe mmoja wa wale watu wanaofuatilia wenzi wao masaa yote wanapokuwa hawapo pamoja. Mpe nafasi ya kuwa na marafiki zake bila kuhitaji kuzima simu ama ku-ignore simu/text zako.

16. Mfurahishe/chekeshe.
Joke around sio muda wote yeye ndio awe wakukufurahisha wewe.

17. Jifunze kusamehe.
Mambo madogo madogo yanapoombewa msamaha samehe na uache yapite.

18. Mshirikishe Mungu wako.
Ukishaona kwamba huyo ndie basi mshirikishe yule unayemwamini ili upate mwongozo wa kiroho.

Mama Ashrat.
duh hyo namba 2 imenigusa mpaka najisikia vibaya.
 
u nailed it 100% for sure ,i think this was the best article of 2012 in JF
 
mkuuuuuuuuuuuuuu upoooooooooooooooooo so silent pande zipi?
Mkuu nipo, wakati mwingine tunazungukia majukwaa mengine kwa zamu ili na wale wasio na funguo za kuingia huku wapate fursa ya kutuona.

Vipi majukumu ya ujenzi wa taifa yanaendeleaje?
 
Nmeipenda in everyway....safi sana mama ashrat,ahsante
af nyie mnao'quote thread lote na kureply mistari miwili MNABOAAA..Si mreply tu directly
 
I was single once, but
now i'm a wife and a mother. Nimekaa nikaona sio vibaya iwapo nta-share
tips kadhaa zilizonisaidia kumuweka baba Ashrat sawa na mpaka leo hii
sijawahi kuhisi wala kugundua kwamba anatoka nje ya ndoa yetu, japo
matatizo ya hapa na pale hayakosekani ila tumedumu na bado tunaendelea
na safari.

Unapokutana na mwanaume akakutongoza/mwanamke akakukubalia kuna
uwezekano mkubwa kuwa amevutiwa na wewe kweli au kakutamani tu. Kitu
ambacho watu hua wanasahau ni kwamba hata mtu aliyekutamani tu unaweza
ukampa mwongozo/sababu mpaka mwenyewe akajikuta anakupenda kuliko
ambavyo angeweza kutarajia kwamba angewahi kupenda. Ndio maana hata wale
waitwao 'bad girls/boys' hua wanajikuta wamenaswa na kunasika at some
point.

1. Usiigize.
Maigizo waachie wasanii wetu, kuwa vile ulivyo kweli kimaisha/kitabia
(isiwe mbaya)/mazoea n.k

2. Don't move too fast/act desperate.
Usitumie ule muda wa mwanzo kabisa wa mahusiano yenu kutaka kujua "una
malengo gani na mie?" "utanioa?" "Kanitambulishe/nataka
nikakutambulishe." n.k Mpe nafasi ya kukusoma na kupata kujua wewe ni
mtu wa aina gani, je unafanania na mwanamke ambae angependa kuwa nae kwa
muda mrefu, possibly hata ndoani? Na wewe nawe tumia muda huo kufanya
kitu hicho hicho.

3.Don't be too demanding.
Huyo sio baba yako wala sio mume just yet, hivyo chochote
atakachokufanyia kinatokana na yeye kutaka/kupenda kufanya hivyo na sio
kwakulazimika. Haki hiyo hauna.

4. Kuwa na shukurani.
Learn to appreciate all that he does for you, that way ataona umuhimu wa
hayo anayokufanyia, yawe makubwa au madogo.

5. Be real.
Badala ya kufika kwake na kuanza kushangaa anaishije bila ya mfanyakazi
wa ndani huku ukitamba kuwa wewe huwezi, shangaa anawezaje weka nyumba
yake katika hali nzuri mwenyewe bila ya msaada. Hii itaonyesha fika wewe
utakua mke wa aina gani hapo baadae, kama ni wale wakukaa miguu juu
huku wakiagiza hata maji waliyoombwa na mume au la.

6. Learn to cook if you don't know how to.
Waliosema "the way to a man's heart is through his stomach" hawakukosea.
Ukiachilia mbali wale watu wachache wanaokula ili kushiba wengi hua
wanajali ladha. Hiyo ndio hua inawaongezea hamu ya kula na kuwarudisha
nyumbani mapema pia kuwafanya wakumiss pale inaposhindikana kula chakula
chako . Kwakumwonyesha mwanaume kwamba hata tumbo lake unaweza
kuliridhisha unamwongezea sababu za kukuweka kwenye maisha yake.

7. Mheshimu.
Mpe heshima yake kama mwanaume wako ila usimwogope. Wengine wote usiwape
nafasi kumfanya ajisikie kwamba haheshimiki.

8. Kuwa ngao yake.
Inapotokea anakumbwa na matatizo yoyote yale onyesha utayari wa wewe
kuwa pamoja naye kwa hali na mali mpaka yatakapoisha. Pia usikose
kumjali kumpa moyo pale unapoona inahitajika.

9. Kuwa muwazi.
Kama kuna mambo ambayo unajua moja kwa moja yatakuwa sehemu ya mahusiano
yenu (watoto/X mkorofi .nk) mweleze mapema ili aamue kama yuko tayari
kudeal nayo au la.

10. Usiwe na chuki.
Kikifika kipindi cha yeye kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake
onyesha ushirikiano. Usionyeshe chuki wala kujiona kana kwamba wewe ndio
wewe.

11. Give your all.
Kama na nyie mtaamua kuonjeshana tunda kabla (kama ambavyo wengi
wanafanya karne hii) basi kuwa mbunifu, mtundu na usiwe mvivu.

12.Pendeza.
Vaa/onekana vizuri unapokuwa nje hata ndani pia. Usisahau
kuzingatia/jali hisia zake kuhusu mavazi yako.

13. Onyesha interest kwa yale ayapendayo yeye.
Usiwe mbinafsi kila siku unataka kusikilizwa wewe tu na story/mambo
utakayo wewe. Uliza/jua kuhusu yale anayopenda yeye mf. mpira/siasa.

14.Kuwa mtulivu.
Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu
wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana.

15.Usimzonge.
Usiwe mmoja wa wale watu wanaofuatilia wenzi wao masaa yote wanapokuwa
hawapo pamoja. Mpe nafasi ya kuwa na marafiki zake bila kuhitaji kuzima
simu ama ku-ignore simu/text zako.

16. Mfurahishe/chekeshe.
Joke around sio muda wote yeye ndio awe wakukufurahisha wewe.

17. Jifunze kusamehe.
Mambo madogo madogo yanapoombewa msamaha samehe na uache yapite.

18. Mshirikishe Mungu wako.
Ukishaona kwamba huyo ndie basi mshirikishe yule unayemwamini ili upate
mwongozo wa kiroho.

Mama Ashrat.

Nimefundika!shukran mama
 
Back
Top Bottom