Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Leo nataka kushirikiana na wana JF kuhusu namna ya kula embe dodo vizuri.
Kwanza tambua kuwa ili uweze kulila embe lazima uliandae kwanza. Likiwa kwenye mti lazima uende ukalichume -liangalie kama limeiva vizuri au limeharibika.
-Andaa kinywa chako na meno vizuri (sukutua meno na kinywa ) kwaajiri ya kula embe dodo.
-Kamahilo embe limeiva basi lioshe vizuri tena taratibu bila kutumia nguvu maana unaweza ukalibonyeza.
-Kama unanjaa sana usiwe mlafi punguza presha turia kidogo
-Tumia ulimi na midomo yako kulilainisha.
-Toa maganda yake kwa kutumia meno, ulimi na midomo yako.
-Limenye taratibu bila papara si unajua tena embe dodo usipotumia kisu na ukatumia meno unaweza chafua nguo.
-Andaa sahani iliyosaafi laza embe lako pale.
-Zima taa za umeme washa mshumaa weka mziki kwa mbali (embe ndodo embe dodo limelala mchangani)
-Chukua chunvi tia taratibu kwenye kokwa lake kwa kutumia ulimi wako.
_Kula taratibu embe lako bila haraka.
Hapo sawa JF?
Kwanza tambua kuwa ili uweze kulila embe lazima uliandae kwanza. Likiwa kwenye mti lazima uende ukalichume -liangalie kama limeiva vizuri au limeharibika.
-Andaa kinywa chako na meno vizuri (sukutua meno na kinywa ) kwaajiri ya kula embe dodo.
-Kamahilo embe limeiva basi lioshe vizuri tena taratibu bila kutumia nguvu maana unaweza ukalibonyeza.
-Kama unanjaa sana usiwe mlafi punguza presha turia kidogo
-Tumia ulimi na midomo yako kulilainisha.
-Toa maganda yake kwa kutumia meno, ulimi na midomo yako.
-Limenye taratibu bila papara si unajua tena embe dodo usipotumia kisu na ukatumia meno unaweza chafua nguo.
-Andaa sahani iliyosaafi laza embe lako pale.
-Zima taa za umeme washa mshumaa weka mziki kwa mbali (embe ndodo embe dodo limelala mchangani)
-Chukua chunvi tia taratibu kwenye kokwa lake kwa kutumia ulimi wako.
_Kula taratibu embe lako bila haraka.
Hapo sawa JF?