Habari zenu Wakuu,
Naitwa Augustine na miaka 28 nimefanya kazi kwenye kampuni mbili tofauti ya civil engineer na Insurance broker yote hayo ndani ya miaka mitano.
Hivi sasa na miaka 28 na nilikuwa nataka kufungua kampuni yangu binafsi nilikuwa naomba mnishauri procedure nazo takiwa kuzifata ili niweze kufanikisha kufungua kampuni .
Industry nilizo kuwa nimezilenga ni
1. Real estate
2. Waste managment
3. ICT supplies
4. Agriculutural business
5. Logistics service
Natanguliza shukrani.
Naitwa Augustine na miaka 28 nimefanya kazi kwenye kampuni mbili tofauti ya civil engineer na Insurance broker yote hayo ndani ya miaka mitano.
Hivi sasa na miaka 28 na nilikuwa nataka kufungua kampuni yangu binafsi nilikuwa naomba mnishauri procedure nazo takiwa kuzifata ili niweze kufanikisha kufungua kampuni .
Industry nilizo kuwa nimezilenga ni
1. Real estate
2. Waste managment
3. ICT supplies
4. Agriculutural business
5. Logistics service
Natanguliza shukrani.