OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
Naunga mkono hoja
P
Lema katualika twende ofisini ufipa ili tuone namna ya kuipata hiyo pesa ili tulipe waweze kwepa kifungo
Tuko mguu sawa MkuuNaunga mkono hoja. Wangefungwa hatungeweza kuwasaidia. Hebu wote wapenda demokrasia tujitolee kdg tulichonacho
Nasubiri uchambuzi wa kuuma na kupuuliza maalim wangu.Naunga mkono hoja
P
Acha unafiki, tangu lini ukawaonea huruma viongozi wa Chadema na Wanachama wao?Naunga mkono hoja
P
Wale aliojiunga nao kujiunga na juhudi za mheshimiwa watamchangia msijali wakuu
Nawaomba Viongozi wa Chadema Wasimtenge Comrade Mashingi wakati wa kulipa hiyo Faini Tafadhalini sana,Mungu ndie aliyetenda Miujiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nichangie akina Mbowe? Wale akina mama waliofungwa halafu kila mwezi wanatumia vitambaa vichafu kujisitiri hedhi kwa kukosa pedi si watanilaani.
Jitu hata kodi ya nyumba linashindwa kulipa kazi kukwepana na baba mwenye nyumba Leo mumchangie Mbowe, mmesahau hata mama zenu vijijini wanapata tabu hela hawana. Watakaochanga ni mazwazwa
Wapelekee hao kina mama Mungu atakubariki, huku tuachie tunaojitambua.Nichangie akina Mbowe? Wale akina mama waliofungwa halafu kila mwezi wanatumia vitambaa vichafu kujisitiri hedhi kwa kukosa pedi si watanilaani.
Umeitwa humu?Nichangie akina Mbowe? Wale akina mama waliofungwa halafu kila mwezi wanatumia vitambaa vichafu kujisitiri hedhi kwa kukosa pedi si watanilaani.
Nichangie akina Mbowe? Wale akina mama waliofungwa halafu kila mwezi wanatumia vitambaa vichafu kujisitiri hedhi kwa kukosa pedi si watanilaani.
Imeshatolewa mkuu, hakimu anawataka walipe faini ya shs 350 million au kwenda jela miezi mitano mara 12 = miezi 60, tuko tayari kuchangiaHukumu ishatolewa kwani ?
Umeitwa na nani humu ??.Nichangie akina Mbowe? Wale akina mama waliofungwa halafu kila mwezi wanatumia vitambaa vichafu kujisitiri hedhi kwa kukosa pedi si watanilaani.