Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Nichangie akina Mbowe? Wale akina mama waliofungwa halafu kila mwezi wanatumia vitambaa vichafu kujisitiri hedhi kwa kukosa pedi si watanilaani.
Ukute hata kuwa tembelea hujawahi…..kila mtu ana choice ya kutumia hela yake anavyotaka...wacha wanaotaka kumchangia Mbowe wafanye hivyo...