Namna Wikileaks wanavyofanya kazi zao!!

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,136
27,083
Wakuu kwa muda mrefu sasa huyu Bwana anayejulikana kama Jullian Assange amekuwa akianika maovu ya serikali nyingi duniani, toka aanzishe mtandao wake wa Wikileaks karibu miaka 10 iliyopita, ameweza kupata misukosuko mbalimbali ikiwemo kupewa kesi ya ubakaji!!

Swali langu, ni vipi Assange anaweza kupata taharifa toka serikali zenye mifumo madhubuti kama Marekani? Ni kwamba huyu mtu ana akili sana au amekuwa akipenyezewa habari toka watu wa ndani wa serikali husika?
 
WikiLeaks offers award for [HASHTAG]#LabourLeaks[/HASHTAG]
23 September 2016

Wikileaks offers £20,000 reward for [HASHTAG]#LabourLeaks[/HASHTAG] with information on how the Labour Party’s top officials have attempted to stop Jeremy Corbyn becoming and staying on as leader.

With our [HASHTAG]#DNCleaks[/HASHTAG], Wikileaks exposed how those at the top of the US Democratic Party had worked tirelessly to tilt the scales in favour of Hillary Clinton as she faced off against Bernie Sanders in the race to be the Democrat presidential candidate. Our revelations eventually prompted the resignation of five of the most senior members of the Democratic Party in the aftermath of the Democratic Convention, including DNC Chair Debbie Wasserman Schultz.

Wikileaks is now moving on to the machinations of top officials in the UK Labour Party to tilt the scales against the membership-elected leader Jeremy Corbyn in favour of his challengers.

The first leadership election saw Corbyn win by a landslide in September 2015. Tens of thousands of people, assumed to be Corbyn supporters, were purged from the party and were unable to vote. With the latest leadership election, similar reports have surfaced, with over 3,000 members or supporters - assumed to be predominantly Corbyn supporters - being refused the right to vote for the party leader. Over 1,500 are currently being investigated.

On top of this, around one quarter (130,000) of the party membership were disenfranchised when the party’s National Executive Committee disallowed party members who had joined after 12 January 2016 from voting in the leadership election. Like officials at the top of the Democratic Party, those in the Labour Party apparatus are meant to be neutral in the process of electing leadership candidates. But it is clear this has not been the case. The scales are being tilted.

Wikileaks is offering a £20,000 reward for information which will help Labour Party members understand how their top party officials are attempting to undermine their democratic will. We are particularly interested in [HASHTAG]#LabourLeaks[/HASHTAG] information about strategising at the highest levels of the Labour Party and its National Executive Committee.

Our secure and anonymous submission system can be found here: WikiLeaks
 
Hii ni business tu kati ya wikileaks hayo mataifa makubwa na wajinga wengine wa duniani
 
Wiki leaks siyo kwamba wao ndio wanadukua

Kwa mfano mm nikipata nyaraka za siri za taasisi Fulani nawapelekea wikileaks na wao wanachapisha na dunia yote husoma yaliyojiri

Mtu yeyote aliye na nyara aidha kadukua au kapata kwa namna anavyojua yy huwapelekea wiki leaks

Mfano snowden aliwapelekea wiki leaks

Emails za Hillary ,wanaoshutumiwa ni warusi

Ukitaka kuwapelekea taarifa wiki leaks inabidi ufuate taratibu za kiusalama ili usijulikane

Assange yy kaasisi,katengeneza wiki leaks ili kuwarahisishia ummah wajue ukweli kwa mambo yanayofanyika kwahy yy na team yke hupokea nyaraka na kupublish
 
Wiki leaks siyo kwamba wao ndio wanadukua

Kwa mfano mm nikipata nyaraka za siri za taasisi Fulani nawapelekea wikileaks na wao wanachapisha na dunia yote husoma yaliyojiri

Mtu yeyote aliye na nyara aidha kadukua au kapata kwa namna anavyojua yy huwapelekea wiki leaks

Mfano snowden aliwapelekea wiki leaks

Emails za Hillary ,wanaoshutumiwa ni warusi

Ukitaka kuwapelekea taarifa wiki leaks inabidi ufuate taratibu za kiusalama ili usijulikane

Assange yy kaasisi,katengeneza wiki leaks ili kuwarahisishia ummah wajue ukweli kwa mambo yanayofanyika kwahy yy na team yke hupokea nyaraka na kupublish
Ooh kumbe kama mange tu anavyofanya kazi, kumbe mange akikaza anaanzisha wikileaks yake, tatizo yeye kakalia umbea tu angeanza kupokea habari nyeti ingekuwa poa
 
Mimi najiuliza hivi kwanini marekani au hawa google, au CIA wasiublock website yake isionekane US au hata dunia nzima???
USA haimiliki dunia na wiki leaks hawafanyi makosa na wala siyo pirate bay

Japo kuwa wao wanamiliki internet lkn hawana uwezo wa kuzima private server mpk wapate kibali

Server ya wiki leaks ipo uswizi sehemu ambayo USA hawana mamlaka ,uswizi wenyewe hawataki kuizima na pia wiki leaks haina server nchi moja inayo zaidi ya nchi 8 kwahyo ni vigumu sana
 
Wiki leaks siyo kwamba wao ndio wanadukua

Kwa mfano mm nikipata nyaraka za siri za taasisi Fulani nawapelekea wikileaks na wao wanachapisha na dunia yote husoma yaliyojiri

Mtu yeyote aliye na nyara aidha kadukua au kapata kwa namna anavyojua yy huwapelekea wiki leaks

Mfano snowden aliwapelekea wiki leaks

Emails za Hillary ,wanaoshutumiwa ni warusi

Ukitaka kuwapelekea taarifa wiki leaks inabidi ufuate taratibu za kiusalama ili usijulikane

Assange yy kaasisi,katengeneza wiki leaks ili kuwarahisishia ummah wajue ukweli kwa mambo yanayofanyika kwahy yy na team yke hupokea nyaraka na kupublish
Lakini am sure sio bure bure ukiwapelekea zenye uzito lazima watakuwa wanakulipa
 
Ooh kumbe kama mange tu anavyofanya kazi, kumbe mange akikaza anaanzisha wikileaks yake, tatizo yeye kakalia umbea tu angeanza kupokea habari nyeti ingekuwa poa
Nafikiri Kubenea naye kuna kipindi alikuwa anakamata habari nyeti kabisa!!
 
USA haimiliki dunia na wiki leaks hawafanyi makosa na wala siyo pirate bay

Japo kuwa wao wanamiliki internet lkn hawana uwezo wa kuzima private server mpk wapate kibali

Server ya wiki leaks ipo uswizi sehemu ambayo USA hawana mamlaka ,uswizi wenyewe hawataki kuizima na pia wiki leaks haina server nchi moja inayo zaidi ya nchi 8 kwahyo ni vigumu sana

Hata Haifa labda zipo
 
Wiki leaks siyo kwamba wao ndio wanadukua

Kwa mfano mm nikipata nyaraka za siri za taasisi Fulani nawapelekea wikileaks na wao wanachapisha na dunia yote husoma yaliyojiri

Mtu yeyote aliye na nyara aidha kadukua au kapata kwa namna anavyojua yy huwapelekea wiki leaks

Mfano snowden aliwapelekea wiki leaks

Emails za Hillary ,wanaoshutumiwa ni warusi

Ukitaka kuwapelekea taarifa wiki leaks inabidi ufuate taratibu za kiusalama ili usijulikane

Assange yy kaasisi,katengeneza wiki leaks ili kuwarahisishia ummah wajue ukweli kwa mambo yanayofanyika kwahy yy na team yke hupokea nyaraka na kupublish

unafauta taratibu gani sasa ili wasikujue?
 
unafauta taratibu gani sasa ili wasikujue?
Siyo wa kujue wiki leaks ,NSA au hata kwa wale uliowavujishia siri zao sabb wakiamua kumtafuta aliyevujisha siri yao na wakikujua basi utakuwa matatizoni

Kwanza tumia open source OS na os inayopendekezwa ni Tails sabb ipo secured na haiachi trace yeyote,pia whistle blower nayo inapendezwa,browser tumia Tor browser sabb ipo secured nayo ,.nyaraka nyingi wikileaks hupewa kupitia darkweb huko ndio kificho cha wanaharakati,wezi nk sabb security ya huko ipo vzr sabb kila mtu yupo anonymous huko

Hzo ni baadhi ya key steps.lkn ukiwa na VPN utakuwa ulinzi unajiongezea vzr zaidi..
 
Siyo wa kujue wiki leaks ,NSA au hata kwa wale uliowavujishia siri zao sabb wakiamua kumtafuta aliyevujisha siri yao na wakikujua basi utakuwa matatizoni

Kwanza tumia open source OS na os inayopendekezwa ni Tails sabb ipo secured na haiachi trace yeyote,pia whistle blower nayo inapendezwa,browser tumia Tor browser sabb ipo secured nayo ,.nyaraka nyingi wikileaks hupewa kupitia darkweb huko ndio kificho cha wanaharakati,wezi nk sabb security ya huko ipo vzr sabb kila mtu yupo anonymous huko

Hzo ni baadhi ya key steps.lkn ukiwa na VPN utakuwa ulinzi unajiongezea vzr zaidi..
zinapatikana google play au?

hizo secure sites kama Tor
 
Wakuu kwa muda mrefu sasa huyu Bwana anayejulikana kama Jullian Assange amekuwa akianika maovu ya serikali nyingi duniani, toka aanzishe mtandao wake wa Wikileaks karibu miaka 10 iliyopita, ameweza kupata misukosuko mbalimbali ikiwemo kupewa kesi ya ubakaji!!

Swali langu, ni vipi Assange anaweza kupata taharifa toka serikali zenye mifumo madhubuti kama Marekani? Ni kwamba huyu mtu ana akili sana au amekuwa akipenyezewa habari toka watu wa ndani wa serikali husika?
Ni wamarekani wanacheza na akili za watu, hata yule Snowden ni mtu wao ktk system yao.
 
Back
Top Bottom