FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,826
- 109,111
Six park haitengenezwi kwa kunyunyua vyuma boss ni seat ups, maji ya kunywa na chakula cha kutosha hasa protini
= pack
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Six park haitengenezwi kwa kunyunyua vyuma boss ni seat ups, maji ya kunywa na chakula cha kutosha hasa protini
Piga puxhapu za kotoxha daily axubuh na jion
Weeee mdanganye aote kitambi, tumbo litafumuka balaa kama wanasiasa wa bongoSix park haitengenezwi kwa kunyunyua vyuma boss ni seat ups, maji ya kunywa na chakula cha kutosha hasa protini
Asante kwa masahihisho. Shuleni huwezi kusomea ujinga na siamini kama kukosea herufi ndiyo ujinga wenyewe.= pack
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hebu nieleweshe chuma unapiga vipi kutengeneza six park? Zaidi ya mikono, kifua, trapezium, miguu, tako, na shoulders.
Asante kwa masahihisho. Shuleni huwezi kusomea ujinga na siamini kama kukosea herufi ndiyo ujinga wenyewe.
we pack six mi nafanya makeke nipark ndinga ya gharama!!!!
Unapo kosoa kwa kumkashifu mtu inakuwa haina maana yoyote....itaonekana ww huyo unae kosoa ni pimbi na elimu yako haikusadii chochote...= pack
"six pack" huwa tumboni tu, huko kwengine ni mengineyo. Na jina hilo lilipatikana kutokana na mfungo wa vinywaji vya chuoa au kopo sita sita ulipoanza, watengeneza miili (body builders) wakaifananisha na misuli yao inavyojengeka tumboni ndiyo ukawa msemo wa "six pack" kwenye kutengeneza tumbo (abs). Ingawa ukiltengeneza vizuri kunawezekana kuonekana mpaka packs nane.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hukukosea herufi tu, umekosea mpaka eti kutaka six pack "Zaidi ya mikono, kifua, trapezium, miguu, tako, na shoulders.".
"trapezium" kwenye mwili wa binadam nijuavyo ni mfupa ulio kwenye kiganja chini ya kidole gumba, sasa unataka "six pack" kwenye mfupa huo?
Na hizo "six pack" za kwenye tako ulizianzisha wewe?
Mkiambiwa shule mmesomea ujinga mnabisha.
Unapo kosoa kwa kumkashifu mtu inakuwa haina maana yoyote....itaonekana ww huyo unae kosoa ni pimbi na elimu yako haikusadii chochote...
Mkosoe mtu vizur na umuelekeze pale alipo kosoa sio kumtukanisha na shule alipo somea.....
Naeza nkawa punguani wahed ila ww ukawa mpuuz mmoja usie taka kuelewa na kujifanya wajua sanaaa...acha ufoloWapi nimekashifu, unajuwa maana ya kukashifu?
Punguani wahed.
Heheheheeee nadhani tumeshindwa kuelewana ndugu. Nazungumzia kutengeneza misuli nikipingana na swala la kunyanyua vyuma kitengeneza misuli ya tumbo= pack
"six pack" huwa tumboni tu, huko kwengine ni mengineyo. Na jina hilo lilipatikana kutokana na mfungo wa vinywaji vya chuoa au kopo sita sita ulipoanza, watengeneza miili (body builders) wakaifananisha na misuli yao inavyojengeka tumboni ndiyo ukawa msemo wa "six pack" kwenye kutengeneza tumbo (abs). Ingawa ukiltengeneza vizuri kunawezekana kuonekana mpaka packs nane.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hukukosea herufi tu, umekosea mpaka eti kutaka six pack "Zaidi ya mikono, kifua, trapezium, miguu, tako, na shoulders.".
"trapezium" kwenye mwili wa binadam nijuavyo ni mfupa ulio kwenye kiganja chini ya kidole gumba, sasa unataka "six pack" kwenye mfupa huo?
Na hizo "six pack" za kwenye tako ulizianzisha wewe?
Mkiambiwa shule mmesomea ujinga mnabisha.