Hama huko Buza bado una nguvu zakoHahahah
Hio ni kama huku ninakokaa...ukimwambia mtu tu, anakufikiria tofauti
Hama huko Buza bado una nguvu zakoHahahah
Hio ni kama huku ninakokaa...ukimwambia mtu tu, anakufikiria tofauti
Waziri wa afya na maendeleo ya jamii watakufikiliaWazo lako nimelipenda sana.
Tutafutiwe eneo zuri ambalo tunaweza lipia mapato ili tufanye biashara vizuri na kwa faida.
Siishi DarHama huko Buza bado una nguvu zako
AminaWaziri wa afya na maendeleo ya jamii watakufikilia
Samahani.Siishi Dar
Kwa kweliiii....Samahani.
Nilidhani unaishi kwa Mpalange.
Hicho kieneo kimepata sifa mbaya sana hata ukitaja Hilo jina watu lazima wakuangalie.
Huyo waziri ukimuambia Hilo wazo atakukata jicho utamani ardhi ipasukeWaziri wa afya na maendeleo ya jamii watakufikilia
Aha samba chuwini!Kuna waziri mmoja wa wizara fulani hivi, (ubini wake unaanza na jina la mnyama mkali Sana mla nyama porini) yeye ndo mteja mzuri Sana wa hao madada powa! Hupendelea Hadi "Threesome"
Ibada??? Acha hizo..Sex ni ibada pia na unapo sex unaingia agano na huyo unae sex nae ndio maana ukikaanza ako kamchezo kuacha si rahisi maana si rahis kuyavunja hayo maagano.
Mkuu unauza tufanye biashara yenye viwangoWazo lako nimelipenda sana.
Tutafutiwe eneo zuri ambalo tunaweza lipia mapato ili tufanye biashara vizuri na kwa faida.
Ukimzoea yule mchumba tu, ni jicho lake ni pozi la kinyaru niangusage!!!Huyo waziri ukimuambia Hilo wazo atakukata jicho utamani ardhi ipasuke
Upo sahihi mkuuUsiwape majina ya ajabu waite wajasiriamali inatosha.
AMOSI MAKALA KAAGIZA POLISI WAWAKAMATE, MI NAFIKILI ATAFTE NJIA NYINGINEsasa ni mpaka wao wenyewe waamue kufanya ki-PRo
Samahani.
Nilidhani unaishi kwa Mpalange.
Hicho kieneo kimepata sifa mbaya sana hata ukitaja Hilo jina watu lazima wakuangalie.
Atakuwa simba huyoKuna waziri mmoja wa wizara fulani hivi, (ubini wake unaanza na jina la mnyama mkali Sana mla nyama porini) yeye ndo mteja mzuri Sana wa hao madada powa! Hupendelea Hadi "Threesome"
Sasa wao kama wanakula huko Dom makahaba wa bei mbaya, hawaoni kuwazuia hawa wa hali ya chini ni kuwanyima watu haki ya msingi?Atakuwa simba huyo
i like that!!Usiwape majina ya ajabu waite wajasiriamali inatosha.
Hapo anaehusika zaidi ni WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII full stopMkuu wa mkoa angemtaka waziri wa MAMBO YA NDANI ndio ashughulikie hili