Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Asee Siasa za Bongo Bila kupiga domo Hutoki.
Nape alianza hivyohivyo, Makonda, hadi Polepole na wengine wengi tu. Sasa naona ujana unakimbia bado nipo tu kwenye siasa za Mtandaoni miaka nenda rudi. Post za kazi bado zipo kuna mkuu wa mkoa wa shinyanga, Mapost ya maofisa ubalozi, Na bado kazi zipo za kutumikia wananchi na ole wao wanipe watanitambua. Nataka nimfunike hadi JPM nitapiga kazi 24/7 bila kulala.
Hahahaha Ni ndoto tu.
Nawatakia kila la kheri Vijana wote waliyoteuliwa kuchapa kazi hasahasa Mtani wangu Polepole.
Nape alianza hivyohivyo, Makonda, hadi Polepole na wengine wengi tu. Sasa naona ujana unakimbia bado nipo tu kwenye siasa za Mtandaoni miaka nenda rudi. Post za kazi bado zipo kuna mkuu wa mkoa wa shinyanga, Mapost ya maofisa ubalozi, Na bado kazi zipo za kutumikia wananchi na ole wao wanipe watanitambua. Nataka nimfunike hadi JPM nitapiga kazi 24/7 bila kulala.
Hahahaha Ni ndoto tu.
Nawatakia kila la kheri Vijana wote waliyoteuliwa kuchapa kazi hasahasa Mtani wangu Polepole.