Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,335
- 6,617
Mkuu utajiri wa kwanza duniani ni watu ... mkiona mko watu wengi halafu mmeshindwa kuliletea maendeleo taifa basi mnapaswa kujikosoa
Nyerere alisema .ili nchi iendelee inahitaji watu .ardhi .siasa safi ............. nyingine malizia mwenyew
Sent using Jamii Forums mobile app
Panya wengi hawachimbi shimo