Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
Pundit my critical brother,
I guess we are doomed.
My thinking is this; it is either the multiple of us who have same perspective on critical things with our different dimension and analysis on the issue are completely wrong or the one who is the descision maker who appears to have different take on everything is right!
Mchungaji naomba uelewe ya kuwa tatizo si kutoelewa kwa viongozi wetu. tatizo ni kwamba they are paralyzed and overwhelmed. Hivi sasa katika vikao vyao wote wanazungumzia masuala haya na wameona vivuli vya farasi nne lakini bado wana mawazo ya kisiasa na wanaogopa kwenda kinyume...