Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 35
Kumbe tupo wengi JF kwa lengo hilo eeeh! Sasa watatutosha kweli? Ila mi natafuta mwanamke wa kuoa si kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi pekee.
Tatizo lenu mnatafuta wanawake na siyo ma binti! Kwahiyo kupata mwanamke wa kuoa si rahisi maana lazima awe ameachika au kufiwa na mume wake! Mabinti wapo wengi tu