Namba ya siri inayotawala dunia

Namba ya siri inayotawala dunia

This is neither hither nor thither.

Dr. Pauli would say it is not even wrong.
 
Ni kweli mambo haya yapo waliosema yanaendelea dunia nzima sio kupinga kristo ni dini zote tunaoamini Mungu. Mwaka 98 walianzisha mpango wa kuwawekea microchip watu ili wapate data zako zote kama finance, health, na hata allergy, lakini nia kubwa ni kuwa control tu kama ukichukua mkopo ni lazima utalipa badala ya kutuma watu kukusanya madeni wanachukuwa kutoka kwenye data zako, hakuna kuuwa tena watu kwa risasi na gas ila they will damage your pockets and leave you to starve. Hawatafanikiwa kwani miaka ya nyuma ilikuwa ni siri zao kubwa lakini hawakutegemea hizi computer zitaficha uchafu wao na sasa unaona watu kama kina snowden wakitoa siri kila kukicha,

Unajua Mkuu kuna watu wanasubili wabandikiwe namba kwenye paj la uso,hawajuhi kuwa system ya maisha inayoendelea kwa sasa ndo namba yenyewe na kwa kias kikubw ni kwa sabab ya uviv wa kufikiri.
 
Ni kweli kabisa ndugu,kama vp moderators waihamishe!
Unaona watu wameanza ku attack madhehebu ya watu. Mtoa mada hajataja dhehebu lolote lakini watu wameanza kukashifu madhehebu ya watu kwenye lile jukwaa hizi mada zipo sana lakini sijawahi ona watu wakishambulia madhehebu ya wengine ndo maana naona haikustahili kuwa hapa
 
Ndio tulioogopa kuwa Freemasons wanamuabudu shetani na wanatoa kafara???

Mwisho wa dunia utatokana na binadamu mwenyewe, maendeleo ndio yatakua chazo cha dunia kutoweka au kutokua mahali salama pa kuishi.
 
Mtoa mada naye hajui kuhusu anachokiandika...amesikia tu kama sisi wengine,vinginevyo angeandika vizuri kusaidia watu waelewe..anasingizia tu eti watu wavivu kufikiri..
 
Mwisho wa dunia utatokana na binadamu mwenyewe, maendeleo ndio yatakua chazo cha dunia kutoweka au kutokua mahali salama pa kuishi.[/QUOTE]

da kama ndio hivyo ngoja nitangulie zangu kabulini..
 
Naomba nieleweshe kidogo

Kila wanapotaka kuweka order mpya wanatafuta njia ya ku implement, hii ni kuongezea tu kwani ni tofauti kidogo na mada,
Miaka ya nyuma watt walikuwa wanaibiwa sana especially Europe na kuuwawa na kutupwa hapo serikali ikataka kupitisha bill ya kuwawekea chip wtt wote wanaozaliwa ili eti wakipotea wajulikane walipo ndipo wananchi wakapinga na kusema watakuwa hawana Uhuru kwani watakuwa wanawaangalia mienendo yao
 
Kila wanapotaka kuweka order mpya wanatafuta njia ya ku implement, hii ni kuongezea tu kwani ni tofauti kidogo na mada,
Miaka ya nyuma watt walikuwa wanaibiwa sana especially Europe na kuuwawa na kutupwa hapo serikali ikataka kupitisha bill ya kuwawekea chip wtt wote wanaozaliwa ili eti wakipotea wajulikane walipo ndipo wananchi wakapinga na kusema watakuwa hawana Uhuru kwani watakuwa wanawaangalia mienendo yao

Enhe......endelea kdg mkuu
 
Wasabato wanamatatizo makuu sana...

Hawajakoma na ile Great Disappointment yao..
 
Unajua Mkuu kuna watu wanasubili wabandikiwe namba kwenye paj la uso,hawajuhi kuwa system ya maisha inayoendelea kwa sasa ndo namba yenyewe na kwa kias kikubw ni kwa sabab ya uviv wa kufikiri.

Wewe unayo hiyo namba..
 
Unaona watu wameanza ku attack madhehebu ya watu. Mtoa mada hajataja dhehebu lolote lakini watu wameanza kukashifu madhehebu ya watu kwenye lile jukwaa hizi mada zipo sana lakini sijawahi ona watu wakishambulia madhehebu ya wengine ndo maana naona haikustahili kuwa hapa

We unafikiri mada kama zinajadiliwa na watu wa dhehebu gani kama si Wasabato...????

Lessoni zimewaharibu hawa viumbe wamekuwa kama panya hawajiamini kabisa...
 
Kila wanapotaka kuweka order mpya wanatafuta njia ya ku implement, hii ni kuongezea tu kwani ni tofauti kidogo na mada,
Miaka ya nyuma watt walikuwa wanaibiwa sana especially Europe na kuuwawa na kutupwa hapo serikali ikataka kupitisha bill ya kuwawekea chip wtt wote wanaozaliwa ili eti wakipotea wajulikane walipo ndipo wananchi wakapinga na kusema watakuwa hawana Uhuru kwani watakuwa wanawaangalia mienendo yao

Kizazi za myths na hisia...Ipo siku utakimbilia msituni wewe....

Miaka ya nyuma ni.miaka gani hiyo...??? Hebu tupe huo mwaka tuufuatilie usituletee pirojo hapa...

We unauhakika watoto walikuwa wanapotea...??
 
Sasa hivi bado haijadhihirika wazi... Ila itafika kipindi itakuwa waziwazi....

Tena yupo azuiaye ambaye ni kanisa alishanyakuliwa ndipo huyo asi yaani mpinga Kristo anatakapofunuliwa. Hivyo unyakuo wa kwanza ni wa muhimu sana tusiukose wapendwa hasa kwa wale wanaomwamini Kristo Yesu ndo watakaonyakuliwa na kwenda mbinguni.
 
Back
Top Bottom