spiritual hero
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 354
- 64
True hii kitu inakuja na nilitegemea wasiojua wangeomba msaada wa kujua ili kujiandaa na hayo mapinduzi ya nguvu za giza. Cha kushangaza wadau wanabeza. Huu ni udhaifu kiroho. Ni ishara ya kutokujitambua, maana kama unaishi kiuhalisia ni lazima umeshakutana na viashiria vya matukio aliyoyatoa mtoa uzi. Lets be serious. Mbona haya mambo yako wazi sana!... Kama ndo kwanza unasikia basi tafuta kujua zaidi ili uishi kiuhalisia.

NIMEJIFANYIA TATHMINI BINAFSI...!!!

