Namba ya siri inayotawala dunia

Namba ya siri inayotawala dunia

Ni mada ya kufikirisha na inahitaji uelewa mpaka la sivyo michango itakuwa ya kukejeli na kujitoa ufahamu kama wachangiaji waliongulia kuchangia, siwalaumu kwakuwa tumezoea vitu rahisi visivyofikirisha

Wewe ndo umezoe ngonjera za mitaani zinazodumaza akili yako....

Hebu google kitu inaitwa Great Disappointment uone watabiri wenzako ambao walikuwa wanafikiri sana jinsi wslivyoumbuka.....
 
wenye uelewa na hili watakuja na constructive ideas! Wapumbavu wasiojua na wavivu wa kujifunza watakuja na michango ya kijinga

Ulichokiandika ni ujinga namba moja....Endekea kuishi kama panya....Na akili yako ina maji badala ya ubongo maana unasubiri wajinga wenzako waje wakujaze ujinga zaidi...
 
We unafikiri mada kama zinajadiliwa na watu wa dhehebu gani kama si Wasabato...????

Lessoni zimewaharibu hawa viumbe wamekuwa kama panya hawajiamini kabisa...

Kwa waandishi wa MYTH OF THE CAVE-PLATO, HOW IT WORKS NA WORLD SECRETS nao ni wasabato?
 
Ni kweli mambo haya yapo waliosema yanaendelea dunia nzima sio kupinga kristo ni dini zote tunaoamini Mungu. Mwaka 98 walianzisha mpango wa kuwawekea microchip watu ili wapate data zako zote kama finance, health, na hata allergy, lakini nia kubwa ni kuwa control tu kama ukichukua mkopo ni lazima utalipa badala ya kutuma watu kukusanya madeni wanachukuwa kutoka kwenye data zako, hakuna kuuwa tena watu kwa risasi na gas ila they will damage your pockets and leave you to starve. Hawatafanikiwa kwani miaka ya nyuma ilikuwa ni siri zao kubwa lakini hawakutegemea hizi computer zitaficha uchafu wao na sasa unaona watu kama kina snowden wakitoa siri kila kukicha,

Mwaka 98 sijui hata kama kilikuwa na redio wachilia mbali hizo chip unazoongelea...

Ndio maana mada kama hizi nimesema ni wajinga tuu watajadili.....Na wewe ni mmoja wao..
 
Ulichokiandika ni ujinga namba moja....Endekea kuishi kama panya....Na akili yako ina maji badala ya ubongo maana unasubiri wajinga wenzako waje wakujaze ujinga zaidi...

duu shida ninini mbona unahemkwa kama changu aliyekopwa? you are not my headache, to me u r just a cocroach!
 
Tena yupo azuiaye ambaye ni kanisa alishanyakuliwa ndipo huyo asi yaani mpinga Kristo anatakapofunuliwa. Hivyo unyakuo wa kwanza ni wa muhimu sana tusiukose wapendwa hasa kwa wale wanaomwamini Kristo Yesu ndo watakaonyakuliwa na kwenda mbinguni.

Hili lilikuwa somo la Lessoni namba ngapi..??
 
wewe ndo umezoe ngonjera za mitaani zinazodumaza akili yako....

Hebu google kitu inaitwa great disappointment uone watabiri wenzako ambao walikuwa wanafikiri sana jinsi wslivyoumbuka.....

sikujua kama kitakuuma kiasi hiki!
 
Miaka kama 20 hivi iliyopita jarida la x-factor lilitoa makala ya mpinga kristo atakavyotawala kupitia namba ya siri, wengi hawakumwelewa yule mwandishi ambaye alisema kuwa dunia yote itatawaliwa na hiyo namba hakuna muamaka utakaofanyika bila kuwa na hiyo namba ya siri na watu hawatatembea na pesa tena, leo hii nguvu ya mpinga kristo kupitia namba ya siri imejidhihisisha kwenye kila kona ya maisha yetu, kila kitu ni password, na hii imeathiri mpaka watumishi na nyumba za ibada!

"Password" si lazima iwe namba.
 
unadhani mada kama hizi zinaletwa na mtu mwenye akili timamu...?

mbona sasa unachangia? Basi kama ni uchizi tunashare! Shusha pressure matusi na kashfa havitakusaidia, hujaipenda post yangu tambaa kimya kimya
 
Maandiko matakatifu yameshasema,,, ila si binadamu tuna malizana wenyewe kwa wenyewe
 
Ingekuwa jukwaa la intelligence poa sana haya mambo mazito sana yanahitaji critical thinking
kwa kweli..kwa hili kwa mtu anaye/atakaye changia lazima awe na uelewa mpana kuhusu mambo hayo ya 666 na antichrist.. lakin kwa mtu wa juu juu 2 utaishia kutoa pointless mixa povu.
 
namba ya siri ni namba 6 .imetawala kila mahali na bila kujijua tunaitumia kila cku. kwa mfano mfupi tu kwenye mfumo wa masaa.saa moja asubuhi ,saa za zetu zinaonyesha 7 .7 toa 1 unapata 6.saa 2 asubuhi .saa zetu zinaonyesha saa 8 . 8 toa 2 ambaye ni mlekwa , unapata 6 ,hata kwenye masaa 24 ,kwa mfano saa 7mchana saa zetu kwenye masaa 24 zinaonyesha 13 .but toa 7 ambaye ni mlekwa ,13 to 7 utapata 6.hii ndiyo moja ya namba siri ya shetani soma ufunuo wa Yohana 13:17-18
 
wenye uelewa na hili watakuja na constructive ideas! Wapumbavu wasiojua na wavivu wa kujifunza watakuja na michango ya kijinga

Vipi tena unawatusi wa wachangiaji wa thread yako, baeleweshe tu, banataka kujua tatizo la password, kwani kristo hapendi tutumie password?
 
Back
Top Bottom