Nalivua pendo...


Duh...haya majina/maneno mengine hata sijui yana maanisha nini

Kuna mtu mwenyen kamusi karibu aniazime?
 
JAMANI MBONA MNACHANGIA BILA YA KUJUA LILILOMSIBU?au kaaambiwa aruke ukuta kashindwa?au kafumaniwa anapiga kinanda chobingo?hatumjui mwenye kosa kama ni yeye au mwenziwe. kaka weka wazi tujangie mawazo.uyani unataka kulivua pendo hivihiviiiiiiiiiiiii?POLEEEEEEEEEE!
 
Usiogope weka mada mezani kakaaaaaaaaa! Penye wengi hakiharibiki kitu!
 
Duh...haya majina/maneno mengine hata sijui yana maanisha nini

Kuna mtu mwenyen kamusi karibu aniazime?
hahahhaha well kishanshuda ni kududu mtu kinachosababisha ufukunyuku kwa wapendanao ......
 
Utakuwa mmachame.......kaam sio basi M meru
 
hahahhaha well kishanshuda ni kududu mtu kinachosababisha ufukunyuku kwa wapendanao ......


mmh! leo naona umaniamulia...haya ngoja nipumzike. yaani mtu ukiomba mkate unapewa jiwe?🙁
 
mmh! leo naona umaniamulia...haya ngoja nipumzike. yaani mtu ukiomba mkate unapewa jiwe?🙁

...😀 Kaizer ha ha haaa... pole sana kaka, kubwa kuliko hayo ni maneno yanayoendana na lafudhi za pwani!
 
...😀 Kaizer ha ha haaa... pole sana kaka, kubwa kuliko hayo ni maneno yanayoendana na lafudhi za pwani!

Mkuu, asante ndo najipoza hapa...hahahahah sasa unaweza 'kusense' hiyo lafudhi kwenye maneno au sio!duh
 
mmh! leo naona umaniamulia...haya ngoja nipumzike. yaani mtu ukiomba mkate unapewa jiwe?🙁
Kaizer,
sio hivyo kaka yangu ila nilikuwa na jazba tu maana hao watu siwapendi kwenye maisha yangu, ila vishanshuda ni wale vizabizabina wanaoleta kero kwenye mahusiano ya watu.
 
Kaizer,
sio hivyo kaka yangu ila nilikuwa na jazba tu maana hao watu siwapendi kwenye maisha yangu, ila vishanshuda ni wale vizabizabina wanaoleta kero kwenye mahusiano ya watu.

Usijalia, nimekupata sasa asante. ndo kusema ni the likes za nyumba ndogo au ni wafitini tu (haijalishi kama wana mahusiano ya kimapenzi au la)
 

Mimi sidhani kama Mwanajamii1 analalamika, amekuja hapa kuomba mchango wa mawazo kwa wale wanaojisikia kumshauri then watamshauri kwa wale wasioweza wakae kimya waende kwenye threads nyingine, mbona ziko nyingi tu.

Ushauri kwa Josm, uvumilivu una mwisho wake ndugu yangu, utavumilia hadi lini kaka. Lazima ifike sehemu mtu aseme nimechoka kuvumilia naamua kwenda kushoto ama kulia.

Ni-PM best(MJ1) tulonge mama
 
atapekua na nini na viganja vina superglue?

Wengine wanapekuwa kwa midomo siku hizi, husije danganyika kuona vinganja vina superglue ukafikiri hawezi kupekua
 
Usijalia, nimekupata sasa asante. ndo kusema ni the likes za nyumba ndogo au ni wafitini tu (haijalishi kama wana mahusiano ya kimapenzi au la)
mhhhh hapo mwana namaanisha viconcubine ,ze nyumba ndogo bwana weee acha tuuu. ndo maana kwenye vi-chicken party vya siku hizi wanasema sometimes mke watakiwa uwe ashakum si matusi jamani 'malaya' kwa mumeo umpe mapigo yote usimbbanie ukimbbania vinshashuda wataaachia ndo hapo utapolia na mito weeee mpaka inalowa
 
Wengine wanapekuwa kwa midomo siku hizi, husije danganyika kuona vinganja vina superglue ukafikiri hawezi kupekua


oooh...salute salute! hili nalo neno!
 

Ahaa sasa hapa tupo ukurasa mmoja agika......wengine wanadhani waume zao ni kaka zao....lol
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…