miss wa kinyaru
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 542
- 356
Hapa ulichangia kipindi cha Mwanajamiione, kwasababu leo anaehusika ni charminglady ndo jina limebadilika likaandikwa la mhusika wa leo, maana kuna kitu niliona Mwanajamiione aliandika irudishe ulikoitoa na wewe ndo ulimjibu nadhani kipindi hicho,Jamani, sielewi hapa imekuwaje, mbona mie sijaandika haya?
Hapa ulichangia kipindi cha Mwanajamiione, kwasababu leo anaehusika ni charminglady ndo jina limebadilika likaandikwa la mhusika wa leo, maana kuna kitu niliona Mwanajamiione aliandika irudishe ulikoitoa na wewe ndo ulimjibu nadhani kipindi hicho,
Unajua hata mie nilipoona nilishangaa, ila nikapotezea. make hiyo ilikuw 2012 ila sijui uliquote nini au ulimaanisha nini??
hehehe, wewe wewe! natafutaje sasa nikusome umekurupukia wapi kujibu hivyo sikupati.
I am not pyschic kujua utaanzisha sred hii, nisaidie kushangaa na kupotezea kwa kweli.
Eti wamebadili niliyemmensheni, sasa si watakuwa wana-edit post zetu bila sie kujua?
Hahahaaa...
Au unavaa huku una la spea mahali....yaani unavua gamba unavaa gwanda...:becky:
Pole mpenzi!!
mu hali gani wanajukwaa....
Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.
Wakati huo mkuu bak akitupia ma-youtube.
Kisha tutaendelea na mada.......
i am fed up!!!!
wengine wanaita backup ,tanesco wakikata tu umeme wao fasta automatic generator linawaka.........
Dah teknologia nzuri sana
habari
leo naungana na dada yangu mwasity katika kile alichokiimba.....
Leo nalivua pendo, nililopenda zamani
nabadili wangu mwendo, nami niwe furahani
nimechoshwa na vitendo, visa na purukushani
kweli mapenzi uvundo, apendwapo hathamini (by mwasiti)
hivi unapofikia hatua kama hii
1. Nini cha kufanya ili uendelee kuwa strong?
2. What to do ili isikusumbue (the quilty concious)
3. Ufanyeje ikusahaulishe mapema
nauliza tu ndugu zangu maana...................mh
Wengine wanaita backup ,tanesco wakikata tu umeme wao fasta automatic generator linawaka.........
dah teknologia nzuri sana
Mu hali gani wanajukwaa....
Kichwa cha topic kinahusika..... Kuna huu wimbo wa Mwasiti huwa naupenda sana "hasa katika nyakati kama hizi" Naomba mwenye lyrics zake anitupie hapa.
Wakati huo mkuu BAK akitupia Ma-Youtube.
Kisha tutaendelea na mada.......
I AM FED UP!!!!
Hujambo nemic4u ......
Sasa ushavua?? Kuvua pendo.......yaani uvae tu...yaani!!!
Asee sasa kwa hii makitu ya MwanajamiiOne imeibuka leo....
kWANINI TUNAKUWA WEPESI WA KUFIKIA MAAMUZI YA kULIVUA pENDO? Imagine wazazi wetu wangekuwa wepesi kama kizazi hiki leo hii sisi tungekuwa wapi? Na kwanini ulikimbilia kumpa pendo lako mapema kabla ya kumfahamu vizuri alikotoka? Do you think ukishalivua Pendo huko uendako ndio mambo yatakua mazuri? Wanaume wote wana tabia moja the same to wanawake wote wana tabia hio hio moja. Kikubwa Muombe MUNGU na learn to deal with your own business.
Nakuomba sana usilivue Pendo hata kama uko na Kibaka au Jambazi
Siwezi vua kamwe mpnz.......wajua kwako nimefika .......
hujambo lakini.....
umenena vyema sana kuu! Kitufe cha like mbona kama sikioni!