Kibanda anatumia staili walootumia akina Salva wakati ule wa Rai na Mtanzania kuwamaliza mapema wapinzani wa mtu wake (Prof Mwandosya) katika kinyang'anyiro cha Urais 2015. Anajua Sitta ana nguvu na ushawishi mkubwa hata kama yeye mwenyewe hatagombea. Maandishi ya Kibanda hata kwenye Tz Daima ya leo yana mwelekeo huo.
Akina Salva walipogundua FTS, SAS ni tishio kwa Urais wa JK mwaka 2005 waliandika hasa. YAliyobaki sasa ni historia.
Akina Salva walipogundua FTS, SAS ni tishio kwa Urais wa JK mwaka 2005 waliandika hasa. YAliyobaki sasa ni historia.