Naliona anguko la Kibanda

Naliona anguko la Kibanda

Nami binafsi nasema mleta mada kachemka. Kwani kama alitishiwa kweli ni kosa kuandika? Kwa hiyo kama ikitokea nyaraka zimepatikana zina sahihi ya Rostam ndio ijulikane kuwa zimeghushiwa? Kwani Rostam ana usafi gani hadi tuamini kuwa hizo nyaraka zitakuwa zimeghushiwa? Mbona Mwakyembe alishasema kuwa huto RA ndio inzi anayetusumbua?
 
Huyu muiran anatapatapa, hana adui ambaye anaweza kuwa mjinga kiasi hicho. Nadhani kuna kitu anahisi kitamuumbua/kishamuumbua karibuni kwa hiyo anatafuta sympathy, si ajabu hata akazusha kavamiwa nyumbani kwake.

Kama kweli kuna watu wanataka sahihi yake waende BRELA wakapewe miongoni mwa mafaili ya makampuni yake kwa 2000/- tu kila search ya faili ukipenda waweza kutoa photocopy. Au kwa kufuata utaratibu wanaweza kuiona hata tume ya maadili.

Hiyo strategy imeshindwa kabla ya utekelezaji!
 
Huyu muiran anatapatapa, hana adui ambaye anaweza kuwa mjinga kiasi hicho. Nadhani kuna kitu anahisi kitamuumbua/kishamuumbua karibuni kwa hiyo anatafuta sympathy, si ajabu hata akazusha kavamiwa nyumbani kwake.

Kama kweli kuna watu wanataka sahihi yake waende BRELA wakapewe miongoni mwa mafaili ya makampuni yake kwa 2000/- tu kila search ya faili ukipenda waweza kutoa photocopy. Au kwa kufuata utaratibu wanaweza kuiona hata tume ya maadili.

Hiyo strategy imeshindwa kabla ya utekelezaji!

check your words..hakuna muiran anayeweza kuwa mbunge???
usitake kutubagua sisi wenye asili tofauti...
 
hili gazeti linaendeshwa kibiashara na Mbowe sio mmiliki peke yake ila anahisa na wamemkabizi jamaa aliendeshe kibiashara sasa naona jamaa keshavuta za mafisadi na mshikaji wake zito anataka kuliharibu gazeti na akorofishane na wamiliki ili ahame kampuni au anzishe lakwake akiwa ameliuwa TZ daima, tusubri muone atakapo onywa atahama,
 
Hivi nyie hamjui kuwa kuna makundi mawili ya waandshi wa habari? Liko kundi linalopinga ufisadi; halafu lile linalowaunga mkono watuhumiwa wa ufisadi. Makundi yote mawili yanapata mshiko. Sasa akili kwenu wanaJamii . Ninachoweza kuwaambieni ni kuwa nchi yetu kwa sasa inapotoshwa na vyombo vya habari ingawa kwa hakika vyombo hivi vinafanya kazi kubwa 'positively' ndani ya jamii. Lakini wapo waandishi wa habari ambao pamoja na kuchukia ufisadi wamewekwa mkononi na mafisadi kwa sababu ya fedha. Aidha, wale nao wanaochukia ufisadi wanapewa fedha kupinga ufisadi. Kazi kubwa kweli kweli. Wako waandishi wa habari waliojengewa majumba na kununuliwa magari, katika pande zote mbili.

Mkuu observation yako ni material ila kwa maoni yangu hakuna mwandishi wa habari anayejazwa noti na wapinga ufisadi ili aandike kuhusu ufisadi na mafisadi kwa sababu watu hao wanaopinga ufisadi hawana sababu yoyote ya kufanya hivyo tofauti na mafisadi wanaohitaji ulinzi kwa tuhuma dhidi yao. Ukweli ni kwamba waandishi wa misimamo yote miwili wanapokea mkwanja toka kwa watuhumiwa wa ufisadi tu. Wale wa upande wa wanaowaunga mkono wanawapa pesa ili kuwalinda huku upande wa wanaowapinga wanawapa pesa ili kuwafanya wabadili msimamo kimaandishi au kupunguza makali. Pande zote zinavuta toka kwa mafisadi tu.
 
Kwa kweli sioni umuhimu wa hii habari,wala uwepo wake JF na sizani kam inamsaada wowote kwa mtanzania, kuna matatizo mengi sana tanzania ya kujadili kulikomboa taifa other than kukaa na kujadili kutishiwa kwa msaidizi wa RA who is he by the way, hata huyu RA hana uzalendo na nchi wala raia wake yuko kazini kuvuna kadri ya uwezo wake kwa wizi, tusiangalie nyoka kaingiaje swala ni kumsulubisha kwanza mengine yatajulikana badae na jinsi ya kuzuia watu wa aina yake...
 
check your words..hakuna muiran anayeweza kuwa mbunge???
usitake kutubagua sisi wenye asili tofauti...

Achilia mbali mbunge, bongo tulishawahi kuwa na mkuu wa mkoa, wilaya, mwenyekiti CCM Mkoa na gavana asiye raia. Kwa hiyo bongo hakuna kisichowezekana.

Au wewe ni mgeni hapa Tanzania?
 
What if the episode is fabricated! Hivi bado kuna wato wana underestimate uwezo wa rostam nchi hii?

My own assumption, based on precedence of-course: Tabu akielekezwa na rostam ametunga story, ameenda police, amevitaarifu vyombo vya habari. Lengo ionekane rostam anatendewa husda na tuhuma zote dhidi yake nichuki binafsi
 
Nyaraka muhimu bila kuzitaja nasi tuone umuhimu wake. Sikubali. Na kwa ujumla tabu nae ana taabu tu hamjui RA.
 
Nilipoona hiyo habari kwenye hilo Gazeti niliona kinyaa sana.Yaani Tz Daima linashindwa kuandika habari kuhusu ripoti ya uchaguzi ya EU kwa kuipa uzito badala yake wahariri wake wanaona kutishiwa kwa mlinzi wa Rostam ni habari.Kwa kweli siamini kama Ngurumo yuko kwenye media hii vinginevyo kuna usaliti wa hali ya juu.Mh.Mbowe liangalie hili suala kwa umakini sana vinginevyo chombo hiki cha habari kimegeuka kuwa Rai,Mtanzania na Habari Leo
 
one scenari or side of a coin inaweza kuwa hivi
ra mwenyewe ndo anatuma watu wake wawatest wafanyakazi wake kuona kama wanaweza kutoa siri. Am baised here but this is very possible.

If u judge and weigh things, ukazingatia na on going current issue jumlisha na knowlege ya forensic science kama huwa unatazama movies zake .

Kwa nini nasema ni ra mwenyewe katuma watu.?
Mtu yeyote makini anayetaka copy ya singature ya ra the last place to go ni office ya ra.

conclusion
this is movie and scene created by the sterling himself.

zing we kichwa, haka ni kamchezo ili kupata public sympathy
 
What if the episode is fabricated! Hivi bado kuna wato wana underestimate uwezo wa rostam nchi hii?

My own assumption, based on precedence of-course: Tabu akielekezwa na rostam ametunga story, ameenda police, amevitaarifu vyombo vya habari. Lengo ionekane rostam anatendewa husda na tuhuma zote dhidi yake nichuki binafsi

ni chuki binafsi bana.shutuma lukuki ushahidi NIL.kila siku rostam,rostam like we are idiot retard parrots brainwashed to the point of nausea.if people have evidence why dont they take this matter to the law.
Talking about egypt revolution .just know that it stand for revolving ,going arround again and again repeating the same mistake.
Wale wamisri they jumped from the frypan into the fire(militarydictotar).
So from today on i prönounce RA not guilt untill proved otherwise. I ELUNGATA HAVE SAID SO
 
Nilipoona hiyo habari kwenye hilo Gazeti niliona kinyaa sana.Yaani Tz Daima linashindwa kuandika habari kuhusu ripoti ya uchaguzi ya EU kwa kuipa uzito badala yake wahariri wake wanaona kutishiwa kwa mlinzi wa Rostam ni habari.Kwa kweli siamini kama Ngurumo yuko kwenye media hii vinginevyo kuna usaliti wa hali ya juu.Mh.Mbowe liangalie hili suala kwa umakini sana vinginevyo chombo hiki cha habari kimegeuka kuwa Rai,Mtanzania na Habari Leo

cant you see it ,there is no SUBSANTIAL EVIDENCE TO SUSTAIN THOSE ALLEGATION agaisnt RA thas is why mbowe cant fire kibanda .NO PROVE get that in your mind N.O. P.R.O.V.E.
All this episode could have been stage managed.
 
Nilipoona hiyo habari kwenye hilo Gazeti niliona kinyaa sana.Yaani Tz Daima linashindwa kuandika habari kuhusu ripoti ya uchaguzi ya EU kwa kuipa uzito badala yake wahariri wake wanaona kutishiwa kwa mlinzi wa Rostam ni habari.Kwa kweli siamini kama Ngurumo yuko kwenye media hii vinginevyo kuna usaliti wa hali ya juu.Mh.Mbowe liangalie hili suala kwa umakini sana vinginevyo chombo hiki cha habari kimegeuka kuwa Rai,Mtanzania na Habari Leo

cant you see it ,there is no SUBSANTIAL EVIDENCE TO SUSTAIN THOSE ALLEGATION agaisnt RA thas is why mbowe cant fire kibanda .NO PROVE get that in your mind N.O. P.R.O.V.E.
All this episode could have been stage managed.
 
ni chuki binafsi bana.shutuma lukuki ushahidi NIL.kila siku rostam,rostam like we are idiot retard parrots brainwashed to the point of nausea.if people have evidence why dont they take this matter to the law.
Talking about egypt revolution .just know that it stand for revolving ,going arround again and again repeating the same mistake.
Wale wamisri they jumped from the frypan into the fire(militarydictotar).
So from today on i prönounce RA not guilt untill proved otherwise. I ELUNGATA HAVE SAID SO

Elungata usitufanye mafala hapa, au niseme siyo wote mafala kama unavyofikiria. Ushahidi upo kibao lakini amewaweka akina JK, Hosea na wakuu wengime mfukoni. Chukua Kagoda kwa mfano, kwa nini Hosea hataki kwenda kuchukuwa ushahidi kutoka matawi ya CRDB yalipopitia yale mabilioni yaliyoibwa kutoa EPA? Tulielezwa kwamba hela zilipotoka BoT ziliingia katika akaunti sita (namba za akaunti zilitajwa) kwa hivyo ilikuwa ni rahisi tu Hosea kwenda pale na kuomba kumbukumbu CRDB walimlipa nani? Majina na sahihi za walipwaji au mlipwaji na anuani ziko katika kumbukumbu pale CRDB, lakini inavyoonekana JK alimkataza Hosea kuchunguza zaidi kwani RA ni swahiba wa JK.

Tunasema ni RA ndiye aliyeiba hizo hela na sehemu yake kuipa CCM ili kufanikisha kumuingiza JK Ikulu. Lau sivyo CRDB waseme walimlipa nani -- kwa maana mtu/watu halisi (tangible) na siyo watu hewa.

Na ndiyo maana Hosea alimbuliwa na Wikileaks ilipomnukuu akisema kwamba anakatazwa kuchunguza wizi wa watu fulani wakubwa.

Acha huu Elungata RA ni mtu asiyeguswa na hivi sasa Watz wengi wanafahamu janja yenu -- kila kukicha mnatafuta upenyo wa kutetea wezi. Kuna siku hata hela zenu mlizoiba hazitawasaidia mtazikimbia nyumba zenu na chupi tu. Hamjui kazi nyingine isipokuwa kuwaibia Watz na kutafuta kila namna kujilinda.
 
cant you see it ,there is no SUBSANTIAL EVIDENCE TO SUSTAIN THOSE ALLEGATION agaisnt RA thas is why mbowe cant fire kibanda .NO PROVE get that in your mind N.O. P.R.O.V.E.
All this episode could have been stage managed.
Kaka ukiandika english in capital letters ambayo nia ni njema ya kuonyesha msisitizo..patia basi ..sio NO PROVE mkuu...NO PROOF..
 
hAPO UMECHEMKA KWANI SIJAONA KOSA LA KIBANDA

Inategemea sana uwezo wako wa kuiangalia habari critically!!!!Sio suala la kusoma tu angalia na upande wa pili utaona kwa nini mhariri anasemekana anatumiwa. Rostam ana magazeti yake kwanini habari hii isitoke huko kwenye RAI etc?

Tiba
 
Ikiwa mwanahalisi linapinga kwa nguvu zote downs. Gazeti mama la chadema, mdomo wa chadema na msemaji wa chadema.media ya chaema yaani tanzaniadaima linapiga filimbi downs iwashwe, inakazania ilipwe .huu ni utani na kiini macho kwa watanzania wanchotumia chadema ni utani wa kisiasa.
Nadhani umefika wakati kubenea kuachana na nguvu za kuinadama downs huku msemaji wa chadema tzdaima akiwa opposite
 
Sikuelewi unamaanisha nini?? Mbona unashindwa kutenganisha taasisi na mtu binafsi?? Nijuavyo mimi mpaka sasa CDM hawana media kama uhuru na Mzalendo, T.Daima ni la mbowe binafsi na sio CDM kama ulivyokurupuka.

muache kubenea aendeleze uzalendo usimptoshe kwani kama T.Daima wanaenda kinyume na yeye awaige kwenye upotofu?? Keep it up Kubebenea na Mwanahalisi, huyu jamaa ni ndugu yake na Rai wanajaribu kuwarudisha nyuma.
 
Back
Top Bottom