Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
- Thread starter
- #61
Mkuu niko tiar kupigwa mawe lakin siyo kuacha kumsotea farida mtoto nampenda sana yule bora nipigwe hata shaba tu
mkuu huoni kama Iyo ni warning umepewa. ya kwamba utabadilisha msimamo lakini wpi. life ban itakuhusu. achana na moderator's, madems wamo kibao humu.