Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe juu yenu wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nakuzimikia sana mrembo moderator farida wa jf Mimi kwako nimkufa nikaoza sina ujanja kabisa farida juu yako
Toka nijiunge macho yangu na masikio yangu huwa ni juu yako wewe ni asali juu yangu, wewe ni malikia wangu, your one in billions
Nielewe mrembo kwako nimefika nifungulie mlango wa upendo nikuonesho mahaba na malavi Davi
Moyo wangu unauma sana juu yako
Sina maneno mengi sana ila nakukabidhi moyo wangu chukua
Sitojali una umri kias gan wala sitojali ushatembea na wangapi wala sitojali hata ukiwa tasa Nina iman utanizalia mapacha wala sitojali hata kama ukiwa huna CHURA nakuomba achana na mamburula njoo kwangu LONDON BOY BEIRA BOY ROCK CITY BOY
Nakuzimikia sana farida
BOY FROM LONDON
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nakuzimikia sana mrembo moderator farida wa jf Mimi kwako nimkufa nikaoza sina ujanja kabisa farida juu yako
Toka nijiunge macho yangu na masikio yangu huwa ni juu yako wewe ni asali juu yangu, wewe ni malikia wangu, your one in billions
Nielewe mrembo kwako nimefika nifungulie mlango wa upendo nikuonesho mahaba na malavi Davi
Moyo wangu unauma sana juu yako
Sina maneno mengi sana ila nakukabidhi moyo wangu chukua
Sitojali una umri kias gan wala sitojali ushatembea na wangapi wala sitojali hata ukiwa tasa Nina iman utanizalia mapacha wala sitojali hata kama ukiwa huna CHURA nakuomba achana na mamburula njoo kwangu LONDON BOY BEIRA BOY ROCK CITY BOY
Nakuzimikia sana farida
BOY FROM LONDON
Sent using Jamii Forums mobile app