Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,586
Fake identification ni sawa,kwa kuwa hujaandika jina lako halisi.umeongea Jambo la maana sana,
hata hivyo that's not fake id, ni upotoshaji kuwaaminisha watu hivyo
Fake identification ni sawa,kwa kuwa hujaandika jina lako halisi.umeongea Jambo la maana sana,
hata hivyo that's not fake id, ni upotoshaji kuwaaminisha watu hivyo
Kwa hiyo ni mbunge wa majimbo yote?Jimbo ni ndani ya mipaka ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 🐒
Waungwana mkuu.usiwapotoshe wangwana tafadhali
Nimesema narudia tena na kwako kwamba, wapo wananchi wenye IQ kama yako Jimboni. Hali ambazo zinachochewa na uvivu, ulevi wa visungura, ugumu wa maisha ambao kule Jimboni pangu tumewawezesha vijana kimawazo, kielimu na kiuchumi ili kuondokana na tabia hiyo ambayo inamuumiza wao wenyewe 🐒Wewe ni zuzu.
Vitu unaandika ni akili za kinjani nyani.
Jiandae kuvutwa mkia leo.
Unagombea kwani Kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ww sema utaendelea kujikomba ili upitishwe na chama chako. Sio mambo ya kura kutoka kwa wananchi maana hakuna uchaguzi.Kutokana na maboresho ya sheria za uchaguzi na Tume huru ya uchaguzi nakusudia kutetea kiti ya ubunge.
Nimewiwa kufanya hivyo baada ya record yangu ya maendeleo kwa wananchi kuwa nzuri sana jimboni.
Lakini pia pressure ya wananchi kwangu kwamba niendelee na uongozi wa Jimbo, ili kusudi nimalizie na kukamilisha kazi kidogo iliyobaki katika baadhi ya maeneo machache.
Nguvu ya kutetea kiti inatoka kwa wananchi. Ninapokamilisha na kuhitimisha ziara ya kukagua kazi za maendeleo Jimboni, imekua vigumu sana kuwaaga wananchi kwamba sintagombea tena ubunge.
Kwenye hili nimepata upinzani mkali sana kutoka kwa wananchi.
Na kwahivyo baada ya kusikiliza sauti na vilio vya wananchi nimeridhika kwamba ninatosha na nimeamua kwamba nitakuombea na sintawaangusha wananchi wangu 2025🐒
Tuombeane uzima, kheri, utumishi mwema, afya na siha njema kwa Mungu, ili kwa Neema na Baraka zake, hili likapate kutokea tena, sawa sawa na Mapenzi yake mema kwetu sote.
Asanteni sana.
🤣 masuala ya vyama bado sana kamanda..Unagombea kwani Kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ww sema utaendelea kujikomba ili upitishwe na chama chako. Sio mambo ya kura kutoka kwa wananchi maana hakuna uchaguzi.
Utachaguliwa kwa uwezo uliouonyesha jimboni kwako..!!! Huko kwingine wana wabunge wao watahusika..!! Wewe taja jimbo upimwe..!!ni miongoni mwa wawakilishi wa wananchi wa eneo bunge mojawapo humu nchini, pale mjengoni lakini pia yapo majukumu ya kisekta nayaperfom mwote nchini 🐒
Wengi tu, we taja jimbo..!!nipimwe 🐒
nani wa kunipima humu?
Ataje jimbo ili azomewe.Kama huyo ni mheshimiwa ni halali ilo bunge liwe hivyo lilivyo.wala sishangai kwasababu mchango wake uku unajionyesha.Taja Jimbo Tuje kukusupport !!
na,Wengi tu, we taja jimbo..!!
wananchi wa aina kama yako wapo sana tu hata Jimboni pangu na tunasonga nao hivyo hivyo kwasabb hamna namna ingine sasa 🐒Ataje jimbo ili azomewe.Kama huyo ni mheshimiwa ni halali ilo bunge liwe hivyo lilivyo.wala sishangai kwasababu mchango wake uku unajionyesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani sana 🙏Sawa.
Nitakupambania hapa jukwaani.
Si unajua wakina CDM digital walivyo.
Buku 8. Sukari ipo juu. unajua.