Nakupenda sana Matilda

Nakupenda sana Matilda

Siwezi kuweka picha ya mkewangu mtarajiwa hapa
Mapenzi haya namshukuru Mungu nimepata mke mzuri na wife material baada ya siku mnapigana chini. Hata mimi nilishawahi kusema hivyo hivyo kama wewe na mapenzi yalikuwa moto moto. duh! sijui hata ilishaje. Kuna mwanake mmoja yeye alikuwa anatupia picha ya jamaa yake facebook baada ya siku napita kwenye account yake sioni hata picha ya jamaa hata mmoja.
KIla la kheri comrade
 
Asante mkuu
Mapenzi haya namshukuru Mungu nimepata mke mzuri na wife material baada ya siku mnapigana chini. Hata mimi nilishawahi kusema hivyo hivyo kama wewe na mapenzi yalikuwa moto moto. duh! sijui hata ilishaje. Kuna mwanake mmoja yeye alikuwa anatupia picha ya jamaa yake facebook baada ya siku napita kwenye account yake sioni hata picha ya jamaa hata mmoja.
KIla la kheri comrade
 
Nyie ndiyo watu salama humu JF hakuna mwenye shida na profile id zenu
 
Wakati naweka bandiko kule love connect kua natafuta mwanamke Mzuri, kuna watu walidhani ni masihara, lakini nashukuru mungu nimempata niliemtaka.

Sikudhani kama JF kuna wadada wazuri kiasi hichi, nashukuru umenielewa na umekubali kua wangu, nilipokuona sikuamini kama ndie mwanamke niliekua nachat nae JF, ama hakika Umzuri sana.

Asante sana JF kwani nimepata wife material na mrembo hasaaaaa.

Siku mkiachana pia uje kutupa mrejesho
 
Isije ikawa umemchukua mke wangu. .. mkuu hebu taja I'd yake basi ...Acha kunipa pressure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom