Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,228
Weka ndani hiyo hela inatosha msosi mwezi
Dah k umeishika mkononi?
Ujue hiyo sio jasho lako
Mapenzi hayana kanuni Rafiki...Unaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.
Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.
Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.
Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.
Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.
Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako
Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah
😂 😂 😂 😂Sina kitu
Niko mie na Kei yangu tu
Huwa una akili sana ujue.Mapenzi hayana kanuni Rafiki...
Wapo Wanaume wanafanyiwa yote hayo na zaidi na Bado wanawaumiza wanawake wao..
Kuna Wanawake kwa asili wameumbiwa Upendo. Mwanaume mwingine aliona anapendwa na kujaliwa anaona ndiyo fimbo ya kumchapia Mwanamke..Na kuna wanaume wengine wanapata wanawake Hawana muda nao ila namna wanawajali unaweza kushangaa....
Haya Mapenzi tuyaache tu yakae kama yalivyo.. Ukiingia yakikupenda unashukuru.. Yakikutaa unakung'uta vumbi unaangalia wapi ulikosea unasonga mbele..
Mmmmmh!!!! Kwamba ni mara chache umjali mtu asikupende?? Hujawahi kupigwa matukio Rafiki yangu?Baby;
Huwa una akili sana ujue.
Hapa hatuko sawa 100%
Bali tunagusa vitu kwa uwingi.
Ni mara chache umjali mtu asikupende.
Nasaema ni mara chache.
Hahaha sina list hiyoMmmmmh!!!! Kwamba ni mara chache umjali mtu asikupende?? Hujawahi kupigwa matukio Rafiki yangu?
Rafiki yangu.Mmmmmh!!!! Kwamba ni mara chache umjali mtu asikupende?? Hujawahi kupigwa matukio Rafiki yangu?
Wewe unayo ?We mpe hela kama we ni mwanaume, kama pesa huna na uvulana bado unakusumbua kuwa na wa level yako...laki3 kitu gan kwani
KamsereeeeereeeekoWewe ni wa kike au me?
Ishu sio kuomba pesa, hapa ni timing.
Huyu dem inaonyesha hawana muda tayari anajimbea pesa, kwa kifupi anauza uchi.
Mapenzi hayanaga bei.
Yaani utajikuta kwa mwezi umempa hata 2 million na hujuti.
Hapo juu nimesema "mapenzi ni sawa na uwekezaji"
Ukiwekeza sana utavuna faida kubwa.
Duniani watu hulipia vyenye thamani bora.
Onyesha upendo kwanza, sahau pesa.
Ikiwa mimi nafaidi "upendo wako"
Na "sio uchi wako" pesa yoyote nitakupa..
Narudia pesa yoyote nitakupa.
Lakini kama unakuja kwangu kunifanya mradi utaumia.
Hahaha cha nini?Kamsereeeeereeeeko
Kama nawe umemuelewa we kubali....
Katika hiyo laki 3 unatoa P.A.Y.E unajumlisha na tozo nyingine utakuta imebaki elf 43 hiyo ndio utampa usisahau kuwa na fire extinguisher wakati wote.
Hebu toa maoni yako kuhusu huyu binti anayetaka mshahara wa laki 3/ mwezi kwa kukazwa nut beibeMmmmmh!!!! Kwamba ni mara chache umjali mtu asikupende?? Hujawahi kupigwa matukio Rafiki yangu?
NitarudiiHebu toa maoni yako kuhusu huyu binti anayetaka mshahara wa laki 3/ mwezi kwa kukazwa nut beibe
😂😂😂😂
Udongo uliotumika kukufinyanga nina uhitaji nao
Unampangiaje mtu kitu cha ku post JF?Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha
Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story
Ndo zenu.Hahaha cha nini?
Mmhj nafkiri hujaelewa.Ndo zenu.