Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)

Unaweza kumpa lakini sio kwa kujiombea tena mwanzoni kabisa.
Kumpa hata million sio tatizo, inategemea uwezo na hadhi, viwango vya mahusiano plus ubora wa binti.

Ubora wa binti ni hekima na busara, hatangulizi pesa mbele, anaonyesha uthamani wako kwake, binti akionyesha kuwa wewe ni bora zaidi kwake utampa hata nyumba.

Lakini binti anayetanguliza maslahi yake binafsi mpe 30,000 apite hivi.

Dunia hii kuna wanawake wenye akili na ndio wanaofaidi nyumba, magari na pesa.
Binti anaipandisha thamani yako balaa.
Kila wakati anataka kuwa nawe, ukipita muda kidogo anakujulia hali, mara hivi mara vile na anaonyesha amezama kwako balaa.

Anajifanya hataki chochote kwako zaidi ya wewe na penzi lako.
Si kuwa hataki pesa zako laah hasha bali amechagua FUNGU JEMA nalo ni kumpata mwenye vyake kwanza na mengine atazidishiwa.

Yaani anakuonyesha amezuzuka nawe kama vile duniani umebaki mwanaume peke yako

Mwanamke wa hivi si tu utampa laki 3 bali utampa maisha yako.
Hii siri nimewaibiwa .
Heaven Sent
Sky Eclat
Joannah
Mapenzi hayana kanuni Rafiki...

Wapo Wanaume wanafanyiwa yote hayo na zaidi na Bado wanawaumiza wanawake wao..

Kuna Wanawake kwa asili wameumbiwa Upendo. Mwanaume mwingine aliona anapendwa na kujaliwa anaona ndiyo fimbo ya kumchapia Mwanamke..Na kuna wanaume wengine wanapata wanawake Hawana muda nao ila namna wanawajali unaweza kushangaa....

Haya Mapenzi tuyaache tu yakae kama yalivyo.. Ukiingia yakikupenda unashukuru.. Yakikutaa unakung'uta vumbi unaangalia wapi ulikosea unasonga mbele..
 
Mapenzi hayana kanuni Rafiki...

Wapo Wanaume wanafanyiwa yote hayo na zaidi na Bado wanawaumiza wanawake wao..

Kuna Wanawake kwa asili wameumbiwa Upendo. Mwanaume mwingine aliona anapendwa na kujaliwa anaona ndiyo fimbo ya kumchapia Mwanamke..Na kuna wanaume wengine wanapata wanawake Hawana muda nao ila namna wanawajali unaweza kushangaa....

Haya Mapenzi tuyaache tu yakae kama yalivyo.. Ukiingia yakikupenda unashukuru.. Yakikutaa unakung'uta vumbi unaangalia wapi ulikosea unasonga mbele..
Huwa una akili sana ujue.
Hapa hatuko sawa 100%
Bali tunagusa vitu kwa uwingi.
Ni mara chache umjali mtu asikupende.
Nasaema ni mara chache.
 
Wewe ni wa kike au me?
Ishu sio kuomba pesa, hapa ni timing.
Huyu dem inaonyesha hawana muda tayari anajimbea pesa, kwa kifupi anauza uchi.

Mapenzi hayanaga bei.
Yaani utajikuta kwa mwezi umempa hata 2 million na hujuti.

Hapo juu nimesema "mapenzi ni sawa na uwekezaji"

Ukiwekeza sana utavuna faida kubwa.
Duniani watu hulipia vyenye thamani bora.

Onyesha upendo kwanza, sahau pesa.
Ikiwa mimi nafaidi "upendo wako"
Na "sio uchi wako" pesa yoyote nitakupa..
Narudia pesa yoyote nitakupa.
Lakini kama unakuja kwangu kunifanya mradi utaumia.
Kamsereeeeereeeeko
 
Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha

Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story
Unampangiaje mtu kitu cha ku post JF?

Hao wadangaji inabidi wajipange vizuri zaidi, mwamba kashaepukana na gharama za kijinga.

Kwangu mimi iko hivi.

Mwanamke anayejitambua hapewi hela.

Anapewa bank card ajichotee mwenyewe. Tena si mara moja, anaachiwa akae nayo.

Lakini mpaka kufikia level hiyo anahitajika kuonesha hana ulimbukeni wa kudai laki tatu kwa mwezi.

Mimi naweza kuwa interested na mtu anayenipa business plan ya mamilioni nimsaidie aweze kuji sustain au ku sustain family kuliko mtu anayeomba mshahara wa laki tatu kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom