Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,357
- 100,374
leo mmetongozwa
kesho mmelalwa
kesho kutwa mmefiwa
jana mlitaka kuanzisha saccoss ya wapweke
juzi kati mahb sijui kufanyaje!
kheeeeee na mnawatoa wapi wanaume wasiowakunja vizuri mkawa na akili hata za vicoba?
Umeua....nimefurahi sana kwa hiii comment yako. Imesimama