Nashukuru kwa kua umeweka wazi hata kama wanafiki mmeanza kutokwa na mapovu na kupaliwa ndo hivo ishakua mtoto kakubali kua na Gentleman hataki Ma boy wanao lialia , asante kwa heshima hiyo nami naahidi yafuatayo
leo mmetongozwa
kesho mmelalwa
kesho kutwa mmefiwa
kheeeeee na mnawatoa wapi wanaume wasiowakunja vizuri mkawa na akili hata za vicoba?
Hahaaaaa! Mtu chake yakheeeee! Nimekolezwa!
Habari!,..
Nina Furaha Sana sanaaa na Naishukuru kipenzi changu Jf!!.Imenipatia Mme Kipenzi,laazizi anaejua nini thamani ya mwanamke!!.anaejua kujali na kupenda kweli...najisikia kupendwa,najiona mwenye bahati sana.
trust me,jf kuna wanaume wazuri sana waojua kupenda na kuwa na relationshp nzuri!!.
to yo >hubby najua umepasoma hapa,nataka ujue i love u more than yesterday..ur the reason i smile everyday,ur special hubby,love me more nizidi kupagawa!!.
mahaba ninyongeee mieeee!!,nikafie mbali kwenye kifua cha @_____ __,love u nyang'anyang'a!!.
mnaotafuta hapa wapenzi,msijali mtapata tu,na mlopata hongereni! lolz.....
thanks my love. till death us do part, will always love you.mmwaaaaa!.
Habari!,..
Nina Furaha Sana sanaaa na Naishukuru kipenzi changu Jf!!.Imenipatia Mme Kipenzi,laazizi anaejua nini thamani ya mwanamke!!.anaejua kujali na kupenda kweli...najisikia kupendwa,najiona mwenye bahati sana.
trust me,jf kuna wanaume wazuri sana waojua kupenda na kuwa na relationshp nzuri!!.
to yo >hubby najua umepasoma hapa,nataka ujue i love u more than yesterday..ur the reason i smile everyday,ur special hubby,love me more nizidi kupagawa!!.
mahaba ninyongeee mieeee!!,nikafie mbali kwenye kifua cha @_____ __,love u nyang'anyang'a!!.
mnaotafuta hapa wapenzi,msijali mtapata tu,na mlopata hongereni! lolz.....
Humu humu jei efu....
umeanza kujipendekeza sio? Kwendraaaaaaaaa toa usiku hapa kuingilia mapenzi ya watu
atakua kampata leo.,maana juzi alikua anatafuta hata alieachwa,..ulimpata lini??
heee! wa wapi weweee!
Jf kuna machangudoa wengi sana siku hizi.
.
atakua kampata leo.,maana juzi alikua anatafuta hata alieachwa,
Hebu nikumbushe manake kisusio na MG za wknd hadi mchana huwa zinaharibu akili yangu. Huyu ndo alifiwa na mwanaume in 6 months, akawa anashindwa kumsahau, akaanzisha sredi ya kutafuta bwana, na sasa amekuwa mume aka hubby?
where the heck is this watu8 boy when i need him?