Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Mom Fay ananichanganya toka moyoni nasema nampenda sana ebu piga hilo gita Benteke kama santana ili nami nimuimbie mamaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nashukuru kwa kua umeweka wazi hata kama wanafiki mmeanza kutokwa na mapovu na kupaliwa ndo hivo ishakua mtoto kakubali kua na Gentleman hataki Ma boy wanao lialia , asante kwa heshima hiyo nami naahidi yafuatayo

Hahahaaaaa, kumbe wewe! Kama ndo wewe basi sawa manake 1b+1b=2b...

Mnaendana!
 
Nakupendaaaa, nasifa nakupa usifuate ya wale wasiopenda mapenzi yetu nakupenda Mom lol
 
Habari!,..

Nina Furaha Sana sanaaa na Naishukuru kipenzi changu Jf!!.Imenipatia Mme Kipenzi,laazizi anaejua nini thamani ya mwanamke!!.anaejua kujali na kupenda kweli...najisikia kupendwa,najiona mwenye bahati sana.

trust me,jf kuna wanaume wazuri sana waojua kupenda na kuwa na relationshp nzuri!!.

to yo >hubby najua umepasoma hapa,nataka ujue i love u more than yesterday..ur the reason i smile everyday,ur special hubby,love me more nizidi kupagawa!!.

mahaba ninyongeee mieeee!!,nikafie mbali kwenye kifua cha @_____ __,love u nyang'anyang'a!!.

mnaotafuta hapa wapenzi,msijali mtapata tu,na mlopata hongereni! lolz.....

thanks my love. till death do us part, will always love you.mmwaaaaa!.
 
Habari!,..

Nina Furaha Sana sanaaa na Naishukuru kipenzi changu Jf!!.Imenipatia Mme Kipenzi,laazizi anaejua nini thamani ya mwanamke!!.anaejua kujali na kupenda kweli...najisikia kupendwa,najiona mwenye bahati sana.

trust me,jf kuna wanaume wazuri sana waojua kupenda na kuwa na relationshp nzuri!!.

to yo >hubby najua umepasoma hapa,nataka ujue i love u more than yesterday..ur the reason i smile everyday,ur special hubby,love me more nizidi kupagawa!!.

mahaba ninyongeee mieeee!!,nikafie mbali kwenye kifua cha @_____ __,love u nyang'anyang'a!!.

mnaotafuta hapa wapenzi,msijali mtapata tu,na mlopata hongereni! lolz.....

malaikaaaaa nakupendaa malaikaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ndio yeye.

Mitongozo ya hapa ni kama a 1000ways to die, ni ghafla bin vuuu

Hebu nikumbushe manake kisusio na MG za wknd hadi mchana huwa zinaharibu akili yangu. Huyu ndo alifiwa na mwanaume in 6 months, akawa anashindwa kumsahau, akaanzisha sredi ya kutafuta bwana, na sasa amekuwa mume aka hubby?

where the heck is this watu8 boy when i need him?
 
Last edited by a moderator:
kwa mwendo wa tangazo la saccoss tusubir mwitikio wa sredi hii!
af bidada mjanja hajataja mtu!
enhnhenhe
 
Back
Top Bottom