Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,914
Hivi unakumbuka ni mara ngapi umeshawahi kulitamka hilo neno kwenye maisha yako kwenye suala la mapenzi?

Je unamkumbuka wa kwanza uliyemuambia hivyo?

Yupo wapi sasa?


Damn .......
Nikimkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo leo ni muke ya mutu na ana watoto .....

Halafu nimeshawahi kulisema kama maraaaaaaaa ......mmmhhhhhhh........ngoja niendelee kukumbuka

Kama mara 6 hivi ........

Wewew je?

Achana na zile za uongo,nataka za ukweli!
 
Za uongo hata hazihesabiki...za ukweli kabisa ni kwa wadada wawili tu..! Hopefully sitamwambia mwingine zaidi ya huyu..lol
 
siku hizi watu hawaambiani haya maneno. Wanazoeana tu then hisia hisia za mbali znajionyesa mwisho wa story wanajkuta wapenzi hata wao bila kujua
 
Dah kuna MTU huyo yani ye in kila SAA ilikuwa I love u ukimuliza upo wapi atkujibu
Nipo home I love you,
Ukimwambia pitia basi hapo dukani nletee mafuta ya nywele utaskia
Haya beby I love you
Good9t basi tena utaskia
You too i love you
Khaaa kunchoshaga miye"!!!!!
 
Nimecheka sana! Kuna siku (nilikuwa seminar morogoro, yeye nilimuacha DSM) nilimwambia yf hivi: Dear habari za mchana, I love you! Mungu wangu, zilitiririka sms za ghafla kama 50! Moja tu ndio niliielewa, zilizobaki hata sikuzielewa!
 
Nimecheka sana! Kuna siku (nilikuwa seminar morogoro, yeye nilimuacha DSM) nilimwambia yf hivi: Dear habari za mchana, I love you! Mungu wangu, zilitiririka sms za ghafla kama 50! Moja tu ndio niliielewa, zilizobaki hata sikuzielewa!

alikuwa anakufowardia msg alizotumiwa na pdidy.
 
Huwa natamka mara nyingi hata sikumbuki idadi hasa kwa wapendwa kama mama, dada, kaka, aunt ....n.k
 
Nmeltamka mara kbao tena ya kumaansha s ya uongo uongo..tena ile yenye hisia kaliiiii
Nakupenda..dah
.hatar
 
Nilishalitamka mara kibao bt wa kwanza kumtamkia ni husband wangu now
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom