Alitaka kumuua Sabaya yupi?
Mmemchafua sana mheshimiwa Mbowe. Namimi nasema acha aendelee kujikalia kimya.Kwa chuki hii anayoionyesha huenda hata Ally Kibao ameuawa na Mbowe
Kukemea watu wasitekwe ni kuhujumu uongozi wa Chadema?
Una uhakika ilifutwa?Kesi ya ugaidi ya kuundwa na kingai anamaanisha mkuu, ya kupanga magogo barabarani iliyofutwa kwa aibu😛😛
Alitukanwa sana, na faraja yake pekee ni kuona mnashindwa ili mumuombe awasaidie.Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Una uhakika ilifutwa?
Kastaafu uongozi. Kawapa nafasi viongozi wapya waongoze bila kuingiliwa. Kuna shida hapo? Angejitokeza kusupport chochote hadharani mngemtusi tena ati muda wake umekwisha. Acha ikae hivyo. By the way, kwani ninyi chawa mmeshindwa kumsaidia mwenyekiti?Mbowe amesitaafu lini ujumbe wa kamati kuu?
Imewekwa kiporoIpo wapi sasa? Hata kama hatuna akili mnavyoamini
Imewekwa kiporo
tl ni mbisafisi sanaLakini hiyo haikutosha,
pamoja na fadhila zote za Mbowe mathalani za chakula alizomkirimia mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa, bado Mbowe aliishia kutwezwa utu wake na familia yake, kuitwa mlamba asali, kuitwa mla rushwa na kiongozi huyu huyu mpya wa Chadema. Na mara zote Mbowe alikaa kimya tu.
Mwache mwenyekiti apumzike. Wakati mnamtukana hamkujua kuwa kuna kesho? Mmemshushia heshima yake kwa jamii kwa sababu ya mihemuko yenu tu. Kaeni kwa kutulia.Sawa. Bei ya kulaza mgonjwa mmoja pale muhimbili ni elfu 50 kwa siku. Ccm wanajua na raisi anajua. Wewe mwenyewe unajua. Badala ya kuhoji haya unafikiri chasema ikifa ndo bei ya kitanda muhimbili itashuka????
Jitafakar, adui wa watz siyo lisu ni ccm
Kapumzika kuwapa nafasi kama mlivyotaka.Kwa hiyo amesusa?
Unamlaumu Mbowe kwani yeye ni nani? Kwani wajumbe wengine wa Kamati Kuu wamefanya nini ambacho Mbowe hajafanya? Kwanza taarifa zinasema alikwenda kumtembelea Lissu korokoroni. Nanyi mlivyo na midomo michafu, badala ya kumpongeza mkaaanza kumlaumu eti ameenda kumuhonga! Wajinga na Wapumbavu ninyi na Lissu wenu. Mwache aipate fresh!Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Kabisa halafu hii CHADEMA ya wajinga akina Lisu mbona wanahangaika na Mbowe wameshashika uongozi waachane naye waendelee na ujuaji waoNinavyoijua mifuasi ya chadema chakavu ilivyo mizuzu na yenye mihemko, mbowe akitia neno tu basi atatupiwa maneno mengi zaidi. Hapo tayari inamshutumu kwa mambo kibao tu ikiwemo hata kuhusika kuwateka hao kina mdude. Bora mbowe aendelee kujikalia kimya.
Maji yako shingoni.Lisu aliwadanganya kuwa makao makuu kuna pesa nyingi akishika atazifikisha matawiniWafuasi wa Lissu ni wapumbavu mno. Mbowe kashastaafu na alitangaza hadharani anarudi kwenye biashara zake ila nyumbu mnataka aendelee kuwa active kwenye siasa.
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.
Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Huyo ni mwanaccm mwenzakoHaya ndo matusi yanayofanya mwende jela kizembe.
Lissu ajui walio taka kumuua japo naye kwa sasa ameanza kutambua mchezo aliochezewa na ccm walio kinyume na jpm na chadema wenzie ....Lissu amemtaja aliyetaka kumuua zaidi ya mara 100, wewe bado tu unaleta chuki kwa FAM?Mzee wa watu kapumzika lakini bado mnamlilia. Mmebaki yatima eeh?