Nakukemea Freeman Mbowe

Nakukemea Freeman Mbowe

Maswa Yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
1,399
Reaction score
2,601
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya CHADEMA lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.

Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.

Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya.

Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lissu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
 
sasa si amestaafu, au? lissu alishamtembelea wakaongea kwa masaa matatu, mdude mawakili wanashughulikia, mwache mbowe apumzike asimamie biashara zake, hayo madai yako wapo akina heche watashughulika nayo
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya Chadema lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya. Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lisu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
ni wazi kusahau ni kitu mbaya sana.

Alie kua anapinga maridhiano alikua akitamani Freeman Aikael Mbowe aendelee kusota korokoroni wakati ule, si ndio huyu mwenyekiti wa Chadema sasa hivi ndugu zangu wadau?

Lakini hiyo haikutosha,
pamoja na fadhila zote za Mbowe kwa huyo muungwana mathalani za chakula alizomkirimia mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa, bado Mbowe aliishia kutwezwa utu wake na familia yake, kuitwa mlamba asali, kuitwa mla rushwa, lakini pia kuna wakati kiongozi huyu aliwahi kuropoka kwamba haendi tena kwenda kupiga msosi kwa mbowe kwani anaweza kumuwekea sumu kwenye chakula kiongozi huyu mpya wa Chadema ambae hakua na mahali pakula chakula alipotoka uhamishoni huko ughaibuni. Na mara zote Mbowe alikaa kimya tu.

Haya,
kulikoni tena leo mayowe na makelele dhidi ya Mbowe hali ya kua anaendelea na shughuli zake biashara zake kimya kimya? Na wengine si waendelee na mambo yao ya uongozi wa chama kwa uhuru wajemeni?

Si alidai mbowe kamtuma wenje apambane nae umakamu mwenyekiti wa Chadema Taifa?
Si amepata uenyekiti wa chadema Taifa? Si aendelee na kazi sasa bila kua na chuki binafsi dhidi ya wengine?

Si kila mtu afanye kazi yake bila kusumbua mwingine gentleman?🐒
 
ni wazi kusahau ni kitu mbaya sana.

Alie kua anapinga maridhiano alikua akitamani Freeman Aikael Mbowe aendelee kusota korokoroni wakati ule, sio ndio huyu mwenyekiti wa Chadema sasa hivi ndugu zangu wadau?

Lakini hiyo haikutosha,
pamoja na fadhila zote za Mbowe mathalani za chakula alizomkirimia mwenyekiti wa Chadema Taifa wa sasa, bado Mbowe aliishia kutwezwa utu wake na familia yake, kuitwa mlamba asali, kuitwa mla rushwa na kiongozi huyu huyu mpya wa Chadema. Na mara zote Mbowe alikaa kimya tu.

Haya,
kulikoni tena leo mayowe na makelele dhidi ya Mbowe hali ya kua anaendelea na shughuli zake biashara zake kimya kimya? Na wengine si waendelee na mambo yao ya uongozi wa chama kwa uhuru wajemeni?

Si alidai mbowe kamtuma wenje apambane nae umakamu mwenyekiti wa Chadema Taifa?
Si amepata uenyekiti wa chadema Taifa? Si aendelee na kazi sasa bila kua na chuki binafsi dhidi ya wengine?

Si kila mtu afanye kazi yake bila kusumbua mwingine gentleman?🐒
Mbowe anatakiwa atoe neno, mtu mzima anasusa
 
Mbowe anatakiwa atoe neno, mtu mzima anasusa
Mbowe aliishamshauri Lisu kwamba,
kulingana na changamoto ya utimamu wa mwili wake, aombe kuhamishiwa gereza la ukonga kutoka keko ambalo ni favorable zaidi kwa hali yake na akafanikiwa,

Je,
kuna ukarimu zaidi ya huo kweli ndrugu zango?

Mambo mengine, Lisu mwenyewe amedai atafanya mwenyewe haihitaji ushauri wala kuonewa huruma 🐒
 
Mbowe aliishamshauri Lisu kwamba,
kulingana na changamoto ya utimamu wa mwili wake, aombe kuhamishiwa gereza la ukonga kutoka keko ambalo ni favorable zaidi kwa hali yake na akafanikiwa,

Je,
kuna ukarimu zaidi ya huo kweli ndrugu zango?

Mambo mengine, Lisu mwenyewe amedai atafanya mwenyewe haihitaji ushauri wala kuonewa huruma 🐒
Mbowe anatakiwa aite waandishi wa habari akemee utekaji wa Chadema
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya Chadema lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya. Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lisu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Mbowe teeth
 
Mbowe anatakiwa aite waandishi wa habari akemee utekaji wa Chadema
Gentleman,
endapo itafanyika hivyo, itakua ni kuhujumu uongozi mpya wa Chadema Taifa uliopo.

Ikiwa chadema ina haja na hilo, basi imfuate Mbowe kwa heshima na kumuoamba awajibikie hilo, huo ndio ustaarabu 🐒
 
Umekuwa mwenyekiti wa Chadema kwa miaka 20 na ni mjumbe wa kudumu wa kamati kuu ya Chadema lakini hukuwahi kuipenda Chadema kabisa hili limegundulika.
Haiwezekani mwenyekiti wa chama ulichokiongoza kwa zaidi ya miaka 20 Tundu Lisu anakamatwa na kuwekwa ndani lakini wewe unakaa kimya.
Haiwezekani Chadema uliyoikuza na kuiongoza kwa miaka 20 wanachama wake kama Mdude wwanatekwa na kupotezwa lakini wewe uko kimya. Wewe Freeman Mbowe uliposhitakiwa kwa kufanya ugaidi na kutaka kumuuwa Sabaya na viongozi wengine wa serikali, wanachadema wote walikupigania akiwemo Tundu Lisu lakini wewe uko kimya hupiganii chochote.
Ninavyoijua mifuasi ya chadema chakavu ilivyo mizuzu na yenye mihemko, mbowe akitia neno tu basi atatupiwa maneno mengi zaidi. Hapo tayari inamshutumu kwa mambo kibao tu ikiwemo hata kuhusika kuwateka hao kina mdude. Bora mbowe aendelee kujikalia kimya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom