Nakufa na CCM yangu

Nakufa na CCM yangu

VUA GAMBA

Member
Joined
May 14, 2011
Posts
26
Reaction score
0
Jamani chama changu cha magamba kiko ICU. Kina hali mbaya sana. Enzi za uhai wangu nilijaribu kukilinda kwa majini na maruhani kutoka kuzimu kwa baba yangu Shetani, lakini bado nilipata wakati mgumu.

Nilipata wakati maana nilikuwa natumia mbinu za kutisha tisha kwa mfano "ATAKAYEMPINGA JK 2010 ATAKUFA GHAFLA" na ile nyingine"UCHAGUZI MKUU UTAAHIRISHWA MAANA KUNA MGOMBEA URAIS ATAKUFA"

Watu wenye akili kama waandishi wa Mwanahalisi, RaiaMwema na TanzaniaDaima walihoji kauli zangu. Lakini wale waandishi vilaza ambao hawakwenda shule kama wa MtanzaniA na Rai au SautiHuru waliishia kunishabikia bila kujua nilikuwa natumiwa.

Nilipomtabiria JK ushindi alinipeleka India kwa matibabu.

Lakini kifo changu kitaacha pengo. Sidhani kama atapatikana Ngariba mwingine wa kuwatisha watu kama nilivyofanya. Looh! Nauona mwisho wa CCM waziwazi. Jamani nakufa lakini CCM itanifuata hivi karibuni. Ooh! Maskini mimi! NAKUFA NA CCM YANGU.

Yours sincerely,
Sheikh Mahaya ya Hussein.
P.O.BOX 000.
KUZIMU!
 
Mwalimu ndio alikufa na CCM yake, mbona kimekufa we upo hai anyway umekufa na propaganda zako:smow:
 
Duuh! Umenena ukweli mtupu eeh kijukuu cha Shetwani. Kapumzike kwa amani, CCM na magamba yake itakufuata hivi karibuni!
 
Mwalimu ndio alikufa na CCM yake, mbona kimekufa we upo hai anyway umekufa na propaganda zako:smow:

kweli we ni Pompo, meaning Kilaza. Mbona unaonekana kumkubali huyo mchawi?? Au nawe ni kijukuu cha gagula?
 
ni kweli lakini Mwalimu alikufa na CCm yake, sasa hivi ni genge la wahuni ambao wanatumia siasa kujinufaisha
 
Jamani chama changu cha magamba kiko ICU. Kina hali mbaya sana. Enzi za uhai wangu nilijaribu kukilinda kwa majini na maruhani kutoka kuzimu kwa baba yangu Shetani, lakini bado nilipata wakati mgumu.

Nilipata wakati maana nilikuwa natumia mbinu za kutisha tisha kwa mfano "ATAKAYEMPINGA JK 2010 ATAKUFA GHAFLA" na ile nyingine"UCHAGUZI MKUU UTAAHIRISHWA MAANA KUNA MGOMBEA URAIS ATAKUFA"

Watu wenye akili kama waandishi wa Mwanahalisi, RaiaMwema na TanzaniaDaima walihoji kauli zangu. Lakini wale waandishi vilaza ambao hawakwenda shule kama wa MtanzaniA na Rai au SautiHuru waliishia kunishabikia bila kujua nilikuwa natumiwa.

Nilipomtabiria JK ushindi alinipeleka India kwa matibabu.

Lakini kifo changu kitaacha pengo. Sidhani kama atapatikana Ngariba mwingine wa kuwatisha watu kama nilivyofanya. Looh! Nauona mwisho wa CCM waziwazi. Jamani nakufa lakini CCM itanifuata hivi karibuni. Ooh! Maskini mimi! NAKUFA NA CCM YANGU.

Yours sincerely,
Sheikh Mahaya ya Hussein.
P.O.BOX 000.
KUZIMU!

bora ufe tu coz hunafaida katika taifa.....watanzanzania jamani natoa wito hakuna kwenda mazishin ajizike mwenyewe.......!!!!
 
Aliwahadaa sana wa tz,wacha ufe na ccm pamoja na hao wasanii wakufuate,nasema wasanii maana nchi inaendeshwa kisanii na hao wakubwa!ulale mahala pema kuzimun
 
kweli we ni Pompo, meaning Kilaza. Mbona unaonekana kumkubali huyo mchawi?? Au nawe ni kijukuu cha gagula?

ok mie ni kilaza we kilazwa usichonielewa ni nini? siwezi andika kama shairi lako but am saying Nyerere ndio alikufa na CCM toka mwaka 91 CCm ilikosa muelekeo na mpaka kufikia kuamini wanajimu kama wewe. by the way Shekhe yahaya alikuwa nani CCM? yup! ni propagandist
we kilazwa aje aisee ama umelazwa?
 
Kufa mwenyewe kudadadeki! Hicho si chama tena bt genge la mafisadi na wajinga!
 
Taifa litapata muelekeo pindi genge la wahuni litakapo achia madaraka kwa wananchi. Vipi moto wa huko akhera una uhimili vipi Shehe Mahaya?
 
ok mie ni kilaza we kilazwa usichonielewa ni nini? siwezi andika kama shairi lako but am saying Nyerere ndio alikufa na CCM toka mwaka 91 CCm ilikosa muelekeo na mpaka kufikia kuamini wanajimu kama wewe. by the way Shekhe yahaya alikuwa nani CCM? yup! ni propagandist
we kilazwa aje aisee ama umelazwa?

kweli tohara kwa wanawake ni mbaya. Kumbe toka wakukekete umepoteza memory kabisa. Eti Nyerere alikufa na ccm yake, alafu unatoa refference ya mwaka 91. Nani alikuambia nyerere alikufa 91?. Tena inavyoonekana wewe ni mkimbizi, maana hata tarehe muhimu za nchi huzijui. Pole!!
 
Jamani chama changu cha magamba kiko ICU. Kina hali mbaya sana. Enzi za uhai wangu nilijaribu kukilinda kwa majini na maruhani kutoka kuzimu kwa baba yangu Shetani, lakini bado nilipata wakati mgumu.

Nilipata wakati maana nilikuwa natumia mbinu za kutisha tisha kwa mfano "ATAKAYEMPINGA JK 2010 ATAKUFA GHAFLA" na ile nyingine"UCHAGUZI MKUU UTAAHIRISHWA MAANA KUNA MGOMBEA URAIS ATAKUFA"

Watu wenye akili kama waandishi wa Mwanahalisi, RaiaMwema na TanzaniaDaima walihoji kauli zangu. Lakini wale waandishi vilaza ambao hawakwenda shule kama wa MtanzaniA na Rai au SautiHuru waliishia kunishabikia bila kujua nilikuwa natumiwa.

Nilipomtabiria JK ushindi alinipeleka India kwa matibabu.

Lakini kifo changu kitaacha pengo. Sidhani kama atapatikana Ngariba mwingine wa kuwatisha watu kama nilivyofanya. Looh! Nauona mwisho wa CCM waziwazi. Jamani nakufa lakini CCM itanifuata hivi karibuni. Ooh! Maskini mimi! NAKUFA NA CCM YANGU.

Yours sincerely,
Sheikh Mahaya ya Hussein.
P.O.BOX 000.
KUZIMU!

kufa tu ewe mchawi wa JK. Ulitisha wengi kwa hadaa zako zilizojaa siasa za maji taka.

Lakini hufi na ccm maana ccm ilishakufa kitambo. Unakufa na kikundi cha wasanii ulichokuwa unakitumikia.! Buriani Shehe Mahaya...
 
Taifa litapata muelekeo pindi genge la wahuni litakapo achia madaraka kwa wananchi. Vipi moto wa huko akhera una uhimili vipi Shehe Mahaya?

Kama mbuyu umeanguka matawi yake yatawezaje kubaki? Wahuni na wasanii waliojifanya viongozi kwa nguvu za fedha za wizi, mabingwa wa ushirikina, kamanda wao hayupo tena. Kifuatacho ni nini? Matawi ya mti yako chini..u will see soon
 
Jamani eeh, leteni hoja jamvini. Hakuna maslahi yoyote kwa kumjadili mtu aliyefahamu fika ya kuwa atakapokufa makazi yake kuzimu. Tujadili ni jinsi gani jf itawafikia watu wa vijijini ili waweze kupata wengi wetu tunachofikria. Huyo jamaa tayari yuko kuzimu.
 
Jamani eeh, leteni hoja jamvini. Hakuna maslahi yoyote kwa kumjadili mtu aliyefahamu fika ya kuwa atakapokufa makazi yake kuzimu. Tujadili ni jinsi gani jf itawafikia watu wa vijijini ili waweze kupata wengi wetu tunachofikria. Huyo jamaa tayari yuko kuzimu.

u are right bro. Bt we cn not predict our future if we cn not correct da previous mistakes. Amehadaa watanzania na kutukwamisha sn kimaendeleo. So, tunadiscuss coz still wapo viongozi wetu wanatumikishwa kwny ushirikina.
 
Back
Top Bottom