Jamani chama changu cha magamba kiko ICU. Kina hali mbaya sana. Enzi za uhai wangu nilijaribu kukilinda kwa majini na maruhani kutoka kuzimu kwa baba yangu Shetani, lakini bado nilipata wakati mgumu.
Nilipata wakati maana nilikuwa natumia mbinu za kutisha tisha kwa mfano "ATAKAYEMPINGA JK 2010 ATAKUFA GHAFLA" na ile nyingine"UCHAGUZI MKUU UTAAHIRISHWA MAANA KUNA MGOMBEA URAIS ATAKUFA"
Watu wenye akili kama waandishi wa Mwanahalisi, RaiaMwema na TanzaniaDaima walihoji kauli zangu. Lakini wale waandishi vilaza ambao hawakwenda shule kama wa MtanzaniA na Rai au SautiHuru waliishia kunishabikia bila kujua nilikuwa natumiwa.
Nilipomtabiria JK ushindi alinipeleka India kwa matibabu.
Lakini kifo changu kitaacha pengo. Sidhani kama atapatikana Ngariba mwingine wa kuwatisha watu kama nilivyofanya. Looh! Nauona mwisho wa CCM waziwazi. Jamani nakufa lakini CCM itanifuata hivi karibuni. Ooh! Maskini mimi! NAKUFA NA CCM YANGU.
Yours sincerely,
Sheikh Mahaya ya Hussein.
P.O.BOX 000.
KUZIMU!
Nilipata wakati maana nilikuwa natumia mbinu za kutisha tisha kwa mfano "ATAKAYEMPINGA JK 2010 ATAKUFA GHAFLA" na ile nyingine"UCHAGUZI MKUU UTAAHIRISHWA MAANA KUNA MGOMBEA URAIS ATAKUFA"
Watu wenye akili kama waandishi wa Mwanahalisi, RaiaMwema na TanzaniaDaima walihoji kauli zangu. Lakini wale waandishi vilaza ambao hawakwenda shule kama wa MtanzaniA na Rai au SautiHuru waliishia kunishabikia bila kujua nilikuwa natumiwa.
Nilipomtabiria JK ushindi alinipeleka India kwa matibabu.
Lakini kifo changu kitaacha pengo. Sidhani kama atapatikana Ngariba mwingine wa kuwatisha watu kama nilivyofanya. Looh! Nauona mwisho wa CCM waziwazi. Jamani nakufa lakini CCM itanifuata hivi karibuni. Ooh! Maskini mimi! NAKUFA NA CCM YANGU.
Yours sincerely,
Sheikh Mahaya ya Hussein.
P.O.BOX 000.
KUZIMU!