Nakubaliana na Manara: Karia na TFF yake wameonyesha chuki yao Kwa Yanga hadharani

Nakubaliana na Manara: Karia na TFF yake wameonyesha chuki yao Kwa Yanga hadharani

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Nimekuwa nikimpiga mawe Manara hapa jukwaani kutokana na kauli na matendo yake yasiyo na staha, ila Kwa alichokisema Yuko sahihii

Karia ana chuki na Yanga na anatumia taasisi zake kuhujumu Yanga hadharani
Karia amekaa ushabiki na mapenzi Kwa Simba na kumfanya aache weledi ana aropoke ovyo kwenye media

1. Hakuna kiongozi wa Yanga amewahi kuongea na vyombo vya habari na kuchafua TFF na bodi ya ligi
Yanga wametumika mbinu sahihi ikiwa ni kuandika barua ya malalamiko na madai Yao Kwa bodi ya ligi,
Tulitegemea bodi ya ligi na TFF kuwajibu Kwa njia rasmi

2 Karia anasemaje viongozi wa Yanga hawapaswi kuwa kwenye madaraka Yao.
Hii ni dharau kwetu Wanachama tuliowachagua Kwa kura kihalali kwamba yeye anaona tulikosea.
Eng Hersi Said na Kamati tendaji ya Yanga ipo madarakani kikatiba wala sio Kwa kupendelewa

3 Karia anasemaje viongozi wa Yanga wanafanya utoto
Sijui kama Karia yupo sawa kichwani.
Yaani viongozi wa Yanga wameandaa timu Kwa gharama, wamelipa wachezaji, wamekodi uwanja, wamealika wageni na mashabiki.
Bodi ya ligi na Simba wakasingizia mazoezi na kukimbia mechi
Yanga wakaandika barua, Leo Karia anasemaje viongozi wa Yanga wana utoto
Hii ni kashfa kubwa na dharau Kwa Yanga, kuitwa watoto
Yanga imekuwa bingwa mara 30, Yanga amecheza final CAFCC, Yanga ni timu tishio Africa
Karia acha dharau

4. Karia amedhara tasnia ya Sinema.
Karia kusema kuwa Yanga wakacheze Sinema, hii ni dharau Kwa tasnia
Sinema ni tasnia kubwa, umeajiri Watanzania wengi kuanzia wasanii, directors, managers n.k
Kwanini Karia alinganishe tasnia ya film kama jambo la ovyo

5 Karia amejipa upofu juu ya makosa ya bodi ya ligi
Uzembe uliofanywa na bodi ya ligi ana uhalalisha, hatokei kukemea

Karia wewe ndo Rais wa mpira, weka hisia na mapenzi pembeni tenda haki

Karia Kwa wadhifa wako inatakiwa uchunge kauli yako, kama umeelewa madaraka utajua

Yanga tunahitaji kuifuta TFF nzima na taasisi zake Kwa hujuma dhidi ya timu yetu

Yanga bingwa
 
Nimekuwa nikimpiga mawe Manara hapa jukwaani kutokana na kauli na matendo yake yasiyo na staha, ila Kwa alichokisema Yuko sahihii

Karia ana chuki na Yanga na anatumia taasisi zake kuhujumu Yanga hadharani
Karia amekaa ushabiki na mapenzi Kwa Simba na kumfanya aache weledi ana aropoke ovyo kwenye media

1. Hakuna kiongozi wa Yanga amewahi kuongea na vyombo vya habari na kuchafua TFF na bodi ya ligi
Yanga wametumika mbinu sahihi ikiwa ni kuandika barua ya malalamiko na madai Yao Kwa bodi ya ligi,
Tulitegemea bodi ya ligi na TFF kuwajibu Kwa njia rasmi

2 Karia anasemaje viongozi wa Yanga hawapaswi kuwa kwenye madaraka Yao.
Hii ni dharau kwetu Wanachama tuliowachagua Kwa kura kihalali kwamba yeye anaona tulikosea.
Eng Hersi Said na Kamati tendaji ya Yanga ipo madarakani kikatiba wala sio Kwa kupendelewa

3 Karia anasemaje viongozi wa Yanga wanafanya utoto
Sijui kama Karia yupo sawa kichwani.
Yaani viongozi wa Yanga wameandaa timu Kwa gharama, wamelipa wachezaji, wamekodi uwanja, wamealika wageni na mashabiki.
Bodi ya ligi na Simba wakasingizia mazoezi na kukimbia mechi
Yanga wakaandika barua, Leo Karia anasemaje viongozi wa Yanga wana utoto
Hii ni kashfa kubwa na dharau Kwa Yanga, kuitwa watoto
Yanga imekuwa bingwa mara 30, Yanga amecheza final CAFCC, Yanga ni timu tishio Africa
Karia acha dharau

4. Karia amedhara tasnia ya Sinema.
Karia kusema kuwa Yanga wakacheze Sinema, hii ni dharau Kwa tasnia
Sinema ni tasnia kubwa, umeajiri Watanzania wengi kuanzia wasanii, directors, managers n.k
Kwanini Karia alinganishe tasnia ya film kama jambo la ovyo

5 Karia amejipa upofu juu ya makosa ya bodi ya ligi
Uzembe uliofanywa na bodi ya ligi ana uhalalisha, hatokei kukemea

Karia wewe ndo Rais wa mpira, weka hisia na mapenzi pembeni tenda haki

Karia Kwa wadhifa wako inatakiwa uchunge kauli yako, kama umeelewa madaraka utajua

Yanga tunahitaji kuifuta TFF nzima na taasisi zake Kwa hujuma dhidi ya timu yetu

Yanga bingwa
viongozi wana akili ndio maana wamekaa kimya sasa wew mbugila na ropo ropo manara mnajiona mna akili
 
Nimekuwa nikimpiga mawe Manara hapa jukwaani kutokana na kauli na matendo yake yasiyo na staha, ila Kwa alichokisema Yuko sahihii

Karia ana chuki na Yanga na anatumia taasisi zake kuhujumu Yanga hadharani
Karia amekaa ushabiki na mapenzi Kwa Simba na kumfanya aache weledi ana aropoke ovyo kwenye media

1. Hakuna kiongozi wa Yanga amewahi kuongea na vyombo vya habari na kuchafua TFF na bodi ya ligi
Yanga wametumika mbinu sahihi ikiwa ni kuandika barua ya malalamiko na madai Yao Kwa bodi ya ligi,
Tulitegemea bodi ya ligi na TFF kuwajibu Kwa njia rasmi

2 Karia anasemaje viongozi wa Yanga hawapaswi kuwa kwenye madaraka Yao.
Hii ni dharau kwetu Wanachama tuliowachagua Kwa kura kihalali kwamba yeye anaona tulikosea.
Eng Hersi Said na Kamati tendaji ya Yanga ipo madarakani kikatiba wala sio Kwa kupendelewa

3 Karia anasemaje viongozi wa Yanga wanafanya utoto
Sijui kama Karia yupo sawa kichwani.
Yaani viongozi wa Yanga wameandaa timu Kwa gharama, wamelipa wachezaji, wamekodi uwanja, wamealika wageni na mashabiki.
Bodi ya ligi na Simba wakasingizia mazoezi na kukimbia mechi
Yanga wakaandika barua, Leo Karia anasemaje viongozi wa Yanga wana utoto
Hii ni kashfa kubwa na dharau Kwa Yanga, kuitwa watoto
Yanga imekuwa bingwa mara 30, Yanga amecheza final CAFCC, Yanga ni timu tishio Africa
Karia acha dharau

4. Karia amedhara tasnia ya Sinema.
Karia kusema kuwa Yanga wakacheze Sinema, hii ni dharau Kwa tasnia
Sinema ni tasnia kubwa, umeajiri Watanzania wengi kuanzia wasanii, directors, managers n.k
Kwanini Karia alinganishe tasnia ya film kama jambo la ovyo

5 Karia amejipa upofu juu ya makosa ya bodi ya ligi
Uzembe uliofanywa na bodi ya ligi ana uhalalisha, hatokei kukemea

Karia wewe ndo Rais wa mpira, weka hisia na mapenzi pembeni tenda haki

Karia Kwa wadhifa wako inatakiwa uchunge kauli yako, kama umeelewa madaraka utajua

Yanga tunahitaji kuifuta TFF nzima na taasisi zake Kwa hujuma dhidi ya timu yetu

Yanga bingwa
Karia ni dictator mwenye wivu wa kike sana yan🚮🚮
 
Nyie mnapotaka kusema yenu kama Yanga mnatumia vibaraka kama Jeri Muro na H.Manara kumsema Karia na Bodi ya Ligi,

Kama sio kauli ya Yanga mbona hamtoki hadharani kukanusha hizi maneno za hawa vibaraka wenu wanaowatusi nankushutumu bodi ya Ligi wajiuzuru?

Karia ameamua kujibu utoto wenu mnakua tena wakali,endeleeni kushinikiza Karia Ajihudhuru kama ilivyo ajenda yenu.

Mlipaswa kuona Tatizo katika kuongozi wenu kurubusu uhuni na mabaunsa wawatawale.
 
Nyie mnapotaka kusema yenu kama Yanga mnatumia vibaraka kama Jeri Muro na H.Manara kumsema Karia na Bodi ya Ligi,

Kama sio kauli ya Yanga mbona hamtoki hadharani kukanusha hizi maneno za hawa vibaraka wenu wanaowatusi nankushutumu bodi ya Ligi wajiuzuru?

Karia ameamua kujibu utoto wenu mnakua tena wakali,endeleeni kushinikiza Karia Ajihudhuru kama ilivyo ajenda yenu.

Mlipaswa kuona Tatizo katika kuongozi wenu kurubusu uhuni na mabaunsa wawatawale.
Manara na Muro ni Wanachama na mashabiki wa Yanga, uongozi wa Yanga haiwezi kuwapangia mashabiki cha kuzungumza

Yanga haina mabaunsa wala hawakumtuma yoyote kuzuia Simba kufanya mazoezi

Mabaunsa gani watawazuia Simba yenye escort ya police na polisi wakubali kurudishwa nyuma na mabaunsa

Simba walitumia watu wao kujizuia wenyewe, Yanga hausiki na chochote
 
Manara na Muro ni Wanachama na mashabiki wa Yanga, uongozi wa Yanga haiwezi kuwapangia mashabiki cha kuzungumza

Yanga haina mabaunsa wala hawakumtuma yoyote kuzuia Simba kufanya mazoezi

Mabaunsa gani watawazuia Simba yenye escort ya police na polisi wakubali kurudishwa nyuma na mabaunsa

Simba walitumia watu wao kujizuia wenyewe, Yanga hausiki na chochote

Unaona ulivyo jibu hoja kama mtoto w darasa la pili? Yaan Simba itumie escort kisha itume watu waizuie kuingia uwanjani kufanya mazoezi? Non sence!

Kama wanazungumza kama wanachama mbona Yanga hawatoki adharani kusema kusem huo sio msimamo ya club?

Huna Imani na bodi ya ligi alafu at the samw time unaandika barua kwa bodi hiyo hiyo ikujibu?
Then unatuma watu wako waje waipe presha kuwaambia wajiudhuru.

Manara sasa anaomba Yanga iitishe mkutano wa chama kisha uchangishe pesa kwenda CAS na yeye atasimamia,

Anakili hadharani kuwa Yanga haina mfuko huo ,unataka kusema Yanga wanakosa Dola elfu 45?

Anajua mpaka hali ya fedha ya team,huyu Manara ni mtu wa propaganda wenu ila hamjui mcheze nae vipi

Sasa mpo katikati na hamjui mnataka nini?
 
Nimekuwa nikimpiga mawe Manara hapa jukwaani kutokana na kauli na matendo yake yasiyo na staha, ila Kwa alichokisema Yuko sahihii

Karia ana chuki na Yanga na anatumia taasisi zake kuhujumu Yanga hadharani
Karia amekaa ushabiki na mapenzi Kwa Simba na kumfanya aache weledi ana aropoke ovyo kwenye media

1. Hakuna kiongozi wa Yanga amewahi kuongea na vyombo vya habari na kuchafua TFF na bodi ya ligi
Yanga wametumika mbinu sahihi ikiwa ni kuandika barua ya malalamiko na madai Yao Kwa bodi ya ligi,
Tulitegemea bodi ya ligi na TFF kuwajibu Kwa njia rasmi

2 Karia anasemaje viongozi wa Yanga hawapaswi kuwa kwenye madaraka Yao.
Hii ni dharau kwetu Wanachama tuliowachagua Kwa kura kihalali kwamba yeye anaona tulikosea.
Eng Hersi Said na Kamati tendaji ya Yanga ipo madarakani kikatiba wala sio Kwa kupendelewa

3 Karia anasemaje viongozi wa Yanga wanafanya utoto
Sijui kama Karia yupo sawa kichwani.
Yaani viongozi wa Yanga wameandaa timu Kwa gharama, wamelipa wachezaji, wamekodi uwanja, wamealika wageni na mashabiki.
Bodi ya ligi na Simba wakasingizia mazoezi na kukimbia mechi
Yanga wakaandika barua, Leo Karia anasemaje viongozi wa Yanga wana utoto
Hii ni kashfa kubwa na dharau Kwa Yanga, kuitwa watoto
Yanga imekuwa bingwa mara 30, Yanga amecheza final CAFCC, Yanga ni timu tishio Africa
Karia acha dharau

4. Karia amedhara tasnia ya Sinema.
Karia kusema kuwa Yanga wakacheze Sinema, hii ni dharau Kwa tasnia
Sinema ni tasnia kubwa, umeajiri Watanzania wengi kuanzia wasanii, directors, managers n.k
Kwanini Karia alinganishe tasnia ya film kama jambo la ovyo

5 Karia amejipa upofu juu ya makosa ya bodi ya ligi
Uzembe uliofanywa na bodi ya ligi ana uhalalisha, hatokei kukemea

Karia wewe ndo Rais wa mpira, weka hisia na mapenzi pembeni tenda haki

Karia Kwa wadhifa wako inatakiwa uchunge kauli yako, kama umeelewa madaraka utajua

Yanga tunahitaji kuifuta TFF nzima na taasisi zake Kwa hujuma dhidi ya timu yetu

Yanga bingwa
Sio chuki Yanga Wana mambo kitoto mengi ambayo kwa Akili zao mdogo wao wanaita fitna za Mpira. Katika sakata hili wao ndio watakaoaibika. Muda ni hakimu mzuri
 
Nimekuwa nikimpiga mawe Manara hapa jukwaani kutokana na kauli na matendo yake yasiyo na staha, ila Kwa alichokisema Yuko sahihii

Karia ana chuki na Yanga na anatumia taasisi zake kuhujumu Yanga hadharani
Karia amekaa ushabiki na mapenzi Kwa Simba na kumfanya aache weledi ana aropoke ovyo kwenye media

1. Hakuna kiongozi wa Yanga amewahi kuongea na vyombo vya habari na kuchafua TFF na bodi ya ligi
Yanga wametumika mbinu sahihi ikiwa ni kuandika barua ya malalamiko na madai Yao Kwa bodi ya ligi,
Tulitegemea bodi ya ligi na TFF kuwajibu Kwa njia rasmi

2 Karia anasemaje viongozi wa Yanga hawapaswi kuwa kwenye madaraka Yao.
Hii ni dharau kwetu Wanachama tuliowachagua Kwa kura kihalali kwamba yeye anaona tulikosea.
Eng Hersi Said na Kamati tendaji ya Yanga ipo madarakani kikatiba wala sio Kwa kupendelewa

3 Karia anasemaje viongozi wa Yanga wanafanya utoto
Sijui kama Karia yupo sawa kichwani.
Yaani viongozi wa Yanga wameandaa timu Kwa gharama, wamelipa wachezaji, wamekodi uwanja, wamealika wageni na mashabiki.
Bodi ya ligi na Simba wakasingizia mazoezi na kukimbia mechi
Yanga wakaandika barua, Leo Karia anasemaje viongozi wa Yanga wana utoto
Hii ni kashfa kubwa na dharau Kwa Yanga, kuitwa watoto
Yanga imekuwa bingwa mara 30, Yanga amecheza final CAFCC, Yanga ni timu tishio Africa
Karia acha dharau

4. Karia amedhara tasnia ya Sinema.
Karia kusema kuwa Yanga wakacheze Sinema, hii ni dharau Kwa tasnia
Sinema ni tasnia kubwa, umeajiri Watanzania wengi kuanzia wasanii, directors, managers n.k
Kwanini Karia alinganishe tasnia ya film kama jambo la ovyo

5 Karia amejipa upofu juu ya makosa ya bodi ya ligi
Uzembe uliofanywa na bodi ya ligi ana uhalalisha, hatokei kukemea

Karia wewe ndo Rais wa mpira, weka hisia na mapenzi pembeni tenda haki

Karia Kwa wadhifa wako inatakiwa uchunge kauli yako, kama umeelewa madaraka utajua

Yanga tunahitaji kuifuta TFF nzima na taasisi zake Kwa hujuma dhidi ya timu yetu

Yanga bingwa
Mjinga akiambiwa ukweli, anaona anadharauliwa na kutukanwa.

Hamna mwenye akili pale Utopoloni isipokuwa wawili tu, hata wao Utopolo hawajawahi kubisha na Haji aliewafikishia taarifa kajiunga nao.
 
Sio chuki Yanga Wana mambo kitoto mengi ambayo kwa Akili zao mdogo wao wanaita fitna za Mpira. Katika sakata hili wao ndio watakaoaibika. Muda ni hakimu mzuri
Ngoja tarehe ipangwe wasipeleke timu tuone nini kitatokea.

Wao si wamecheza tarehe 18 March.
 
Manara na Muro ni Wanachama na mashabiki wa Yanga, uongozi wa Yanga haiwezi kuwapangia mashabiki cha kuzungumza

Yanga haina mabaunsa wala hawakumtuma yoyote kuzuia Simba kufanya mazoezi

Mabaunsa gani watawazuia Simba yenye escort ya police na polisi wakubali kurudishwa nyuma na mabaunsa

Simba walitumia watu wao kujizuia wenyewe, Yanga hausiki na chochote
Ndio hivyo. Mechi ilishaahirishwa, jiandaeni upya. Majini yenu kama mliyaseti basi yabembelezeni hayajamaliza kazi
 
Unaona ulivyo jibu hoja kama mtoto w darasa la pili? Yaan Simba itumie escort kisha itume watu waizuie kuingia uwanjani kufanya mazoezi? Non sence!

Kama wanazungumza kama wanachama mbona Yanga hawatoki adharani kusema kusem huo sio msimamo ya club?

Huna Imani na bodi ya ligi alafu at the samw time unaandika barua kwa bodi hiyo hiyo ikujibu?
Then unatuma watu wako waje waipe presha kuwaambia wajiudhuru.

Manara sasa anaomba Yanga iitishe mkutano wa chama kisha uchangishe pesa kwenda CAS na yeye atasimamia,

Anakili hadharani kuwa Yanga haina mfuko huo ,unataka kusema Yanga wanakosa Dola elfu 45?

Sasa mpo katikati na hamjui mnataka nini?
Toka lini msimamo wa club ya Yanga ukatangazwa na Manara na Muro?
Yanga ina Rais, makamu wa Rais, CEO, kamati tendaji, Afsa habari Ali Kamwe hawa ndo wanatangaza maazimio ya Yanga.

Yanga ina mashabiki zaidi ya million 40 itakuwa ikiwajibu wangapi.
 
Back
Top Bottom