Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 2,922
- 5,857
Kunywa bia 3 halafu usioge usiku oga asubuhiBad idea mkuu nitasumbua watu usiku labda nikeshe baa which sio vibe zangu kabisa
Kunywa bia 3 halafu usioge usiku oga asubuhiBad idea mkuu nitasumbua watu usiku labda nikeshe baa which sio vibe zangu kabisa
Fanya meditation ya kulala na mgongo , utakua unalalaDaah yani bar huwa ni mara moja sana, sio mpenzi wa bia, huwa zinanifanya ni act weird. Alaf si umeona napenda utulivu so bar is not my place
Hauko peke yako mkuu jitahidi mchana utafute kazi ambayo itakupa uchovuDaah yani bar huwa ni mara moja sana, sio mpenzi wa bia, huwa zinanifanya ni act weird. Alaf si umeona napenda utulivu so bar is not my place
Acha kulala mchana kabisa then ikifika usiku by saa mbili chukua kitabu Anza kusoma kwenye mwanga wa kawaida .Weekend yaendaje waungwana?
Mimi ni mtu ninayependa majira ya usiku (night owl). Mda huo nakuwa more active dunia imetulia
Hii kitu Imenifanya vibaya sana professional wise ila siiachi.. Napenda sana usiku, hasa majira ya kuanzia saa 7.
Nikichelewa kulala usiku huwa nalala mchana, ila kwa kipindi cha hivi karibuni mambo yameenda kombo!
Ilianza kidogo ila sasa imekuwa intense.
Usiku nachelewa kulala, mchana na yenyewe silali, mwili una choka kabisa, na macho yana kuwa yanauma ila hayafumbi kulala
Wataalamu nisaidieni, nini kimenipata?
Hata hii pia lakini kusoma ni hobby je atajilazimisha huku akijua anafanya yote ili apate usingizi sleeping ni involuntary actionAcha kulala mchana kabisa then ikifika usiku by saa mbili chukua kitabu Anza kusoma kwenye mwanga wa kawaida .
Automatically utasinzia2.
Kipindi nipo advance nlkuwa nikitaka kulala nachukua kitabu cha Somo gumi nafungua naanza kusoma by 2 min tayari nishatera😂😂
Mm huwa nalala mchana ku compensate muda wa usiku kuanzia saa 6 mpk saa 8 huwa ni free time so napumzikaAcha kulala mchana kabisa then ikifika usiku by saa mbili chukua kitabu Anza kusoma kwenye mwanga wa kawaida .
Automatically utasinzia2.
Kipindi nipo advance nlkuwa nikitaka kulala nachukua kitabu cha Somo gumi nafungua naanza kusoma by 2 min tayari nishatera😂😂
Yes Sleeping is involuntary but can be learnedHata hii pia lakini kusoma ni hobby je atajilazimisha huku akijua anafanya yote ili apate usingizi sleeping ni involuntary action
TrueMambo ya mwanga wa simu au TV pia husababisha Sana kuliko inavyofikiri, blue lights inaharibu Sana usingizi....
Enhee! jaga kwi soko!Gakalenaga bujingiji? Genayo? Naguyapandika kinehe mudalisalamu mwenumu?
bei e 500 duhu!!Kwi soko unene? Kisa bujingiji Ndoho mayuu
Kwandya mabilinganya kwenuku Gali na bei ng'ali saana😂
Hamo nize unizugile mwanike