Hpna imeanza hv karibuniNi hali ya mda mrefu?
Asipolala kwa ushauri huu basi akae aangalie kombe la DuniaAnza mazoezi mwili uchoke.
Ikifika saa 4 achana na simu pc tv
Zima taa nenda chumbani
Fumba macho waza WWIII wewe ndio steringi
Umejaribu biaHata mimi imenikuta hii jana usiku mpaka sasa, na sioni suluhisho
Circadian rhythm imeparanganyikaWeekend yaendaje waungwana?
Mimi ni mtu ninayependa majira ya usiku (night owl). Mda huo nakuwa more active dunia imetulia
Hii kitu Imenifanya vibaya sana professional wise ila siiachi.. Napenda sana usiku, hasa majira ya kuanzia saa 7.
Nikichelewa kulala usiku huwa nalala mchana, ila kwa kipindi cha hivi karibuni mambo yameenda kombo!
Ilianza kidogo ila sasa imekuwa intense.
Usiku nachelewa kulala, mchana na yenyewe silali, mwili una choka kabisa, na macho yana kuwa yanauma ila hayafumbi kulala
Wataalamu nisaidieni, nini kimenipata?
Uliandika uzi adui namba 1 ni simu ebu jaribu kupunguza matumizi ikiwezekana usiweke pesa kwenye simu ili usiku bando liishe ulaleWeekend yaendaje waungwana?
Mimi ni mtu ninayependa majira ya usiku (night owl). Mda huo nakuwa more active dunia imetulia
Hii kitu Imenifanya vibaya sana professional wise ila siiachi.. Napenda sana usiku, hasa majira ya kuanzia saa 7.
Nikichelewa kulala usiku huwa nalala mchana, ila kwa kipindi cha hivi karibuni mambo yameenda kombo!
Ilianza kidogo ila sasa imekuwa intense.
Usiku nachelewa kulala, mchana na yenyewe silali, mwili una choka kabisa, na macho yana kuwa yanauma ila hayafumbi kulala
Wataalamu nisaidieni, nini kimenipata?
Watu kivipi ? Bar pia kuna watu ujueBad idea mkuu nitasumbua watu usiku labda nikeshe baa which sio vibe zangu kabisa
It can take time, you need to be consistent, uwe na regular time table ya kulala na kuamka then Mwili uta recover ( factory reset)How do I break through mkuu.