Nakosa mume kwa sababu sina hela

Nakosa mume kwa sababu sina hela

Tatizo nyie mkipata hela nyumba haikaliki mnaanza kujifanya mnataka haki sawa.
 
Me natafuta mke wa 2 maana huyu wa kwanza kasema watoto 2 wanamtosha kabisa, eti ataharibika, so na mimi nataka watoto 4, so kuja inbox tuyajenge.
 
Kuolewa ni bahati na ni mpango wa Mungu, mbona kuna wengine wana hela lakini hawajaolewa?
 
Kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato? Masikini tutaenda wapi? Kwanini hamuwezi kutuendeleza? Kututafutia kazi au biashara? Mnataka mama wa familia au hela?
Usijali Mungu anakuandalia ye ambaye atakukubali Kwa jinsi ulivyo na hali yako.
 
Pole mnoo uza hata matunda utembeze kwenye beseni
 
Kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato? Masikini tutaenda wapi? Kwanini hamuwezi kutuendeleza? Kututafutia kazi au biashara? Mnataka mama wa familia au hela?

Sio kweli, kuna ukweli mwingine unauficha ila unaujua
 
Kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato? Masikini tutaenda wapi? Kwanini hamuwezi kutuendeleza? Kututafutia kazi au biashara? Mnataka mama wa familia au hela?
chura ndo kila kitu,
 
Tafuta ata kazi ya kuuza duka la nguo za kiume nafikiri shida yako kupata mwanaume wa maana kwa kazi yako unayofanya unakutana na wanaume waliochoka wewe unawakataa
 
Kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato? Masikini tutaenda wapi? Kwanini hamuwezi kutuendeleza? Kututafutia kazi au biashara? Mnataka mama wa familia au hela?
Wakati mwingine matendo yako ya nyuma yanaleta matokeo maisha ya baadae

Ulikuja hapa unaomba ushaur baada ya kubadili dini tena umetoka katika familia ya kichungaji tena ulikuwa na mpenz ukatambulishwa hadi kwao

Bahati yako ishapita, rudi tena kwa Bwana tubu tena tubu kwa kufunga na kuomba Mungu aliye mbunguni atakukumbuka,

Omba msamaha kwa wazazi wako
Maaana Bwana asema litakalofunguliwa Duniani na mbinguni litakuwa limefunguliwa
 
Hajakupenda tu,
Mbona wangu kanisomesha toka form four na kunipa mtaji kabisa
 
Kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato? Masikini tutaenda wapi? Kwanini hamuwezi kutuendeleza? Kututafutia kazi au biashara? Mnataka mama wa familia au hela?
Aisee.
Asimilia kubwa ya wanaume wanaoa wanawake hawana pesa/kipato.

Trust me!!
 
Back
Top Bottom