Nakosa mume kwa sababu sina hela

Nakosa mume kwa sababu sina hela

kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato ?
maskini tutaenda wapi? kwani hamuwezi kutuendeleza? kututafutia kazi au biashara? mnataka mama wa familia au hela?
Pole sana. Tatizo mmeleta nyie kupenda wanaume wenye pesa. Ila kama unahitaji kuwa mke wa tatu karubu PM. Nguvu za kitandani ninazo na uwezo wa kukutunza nnao!
 
Pole. Uza maandazi ndugu yangu. Zama za kulelewa na mwanaume hazipo tena. Tafuta hela utafute kidume umuoe!
Mwanaume mario na anayemilikiwa na mwanamke namuona kama shoga tu. Mwanaume lazima uwe na umiliki wa nyumba na amri kwa mke. Iweje umilikiwe??
 
Nilikuwa napenda nijue vigezo vyako vya mwanaume unaemtaka hata hivyo nahisi tatizo unalo mwenyewe
 
kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato ?
maskini tutaenda wapi? kwani hamuwezi kutuendeleza? kututafutia kazi au biashara? mnataka mama wa familia au hela?


Fikiria wewe uwe mwanamme mwenye demu dizaini ya Wema Sepetu, yaani demu asiyejitambua na wala hajitumi ila anataka wanaume wawe wanamtunza yeye na kuwatia hasara. Unampa hela za matumizi, yeye anakwenda kuhonga wanaume wengine, utafanyaje? Nafikiri jibu umeshapata tayari hapa.
 
Pole naona una stress kuna jamaa kakutenda vibaya. Jipe moyo ndo majaribu hayo.
 
Karibu nikupe maisha acha kutangatanga ila vigezo na masharti kuzingatiwa yaani Chura muhimu sura hata mbuzi anayo!
Kaka unataka umchezee sio kumuoa wanawake wengi walio olewa hawana chura hivyo uzuri au chura sio kipaumbele cha mwanaume anaetaka kuoa
 
kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato ?
maskini tutaenda wapi? kwani hamuwezi kutuendeleza? kututafutia kazi au biashara? mnataka mama wa familia au hela?
Tatizo mkiwezeshwa mnaota mapembe kwa sababu hamjazoea kupata hela so ni vizuri kuwa na mtu aliyezoea kuwa na kipato kwa sababu unakuwa na nafasi ya kumsoma zaidi kama anatumikia kipato zaidi kiluko mume au la
 
Nyie ndiyo madini yanayotafutwa, fanya kuja pm
 
Labda kama unatafuta wale Wanaume wanaotafuta na mama zao! Kama yule wa nisha,,, tafauti na hapo Wanaume wanaangailia vitu tofauti na pesa
 
AISEEH ASANTE SANA NDG.HUYU DADA NI MALAYA HAFAI KUOLEWA RABDA ANAFAA KUWA BAMEDI.KM UNATAKA KUOLEWA UOMBE MUNGU UKAWE MKE MWENZA AU UOLEWE NA KAHABA KAMA WEWE ! UMEFANYA UZINZI NA KUFANYA UPUPU NA AINA NYINGI ZA NYUUME WEEEEH ! SAIV UNALALAMIKA ? BULL SHEEEET ! NILITAKA NIKUTAFUTE ILI KM UKIKUBALIANA NA UMASKINI WANGU BHAS TUFUNGE NDOA TUENDELEE NA MAISHA LKN KWA HILI LA KUWA UNAFANYANA NA NYUUME NYINGI, BASI NDG.UWE TUU NA MAISHA MEMA !
Mapouuuuuuvuuuuuu
 
AISEEH ASANTE SANA NDG.HUYU DADA NI MALAYA HAFAI KUOLEWA RABDA ANAFAA KUWA BAMEDI.KM UNATAKA KUOLEWA UOMBE MUNGU UKAWE MKE MWENZA AU UOLEWE NA KAHABA KAMA WEWE ! UMEFANYA UZINZI NA KUFANYA UPUPU NA AINA NYINGI ZA NYUUME WEEEEH ! SAIV UNALALAMIKA ? BULL SHEEEET ! NILITAKA NIKUTAFUTE ILI KM UKIKUBALIANA NA UMASKINI WANGU BHAS TUFUNGE NDOA TUENDELEE NA MAISHA LKN KWA HILI LA KUWA UNAFANYANA NA NYUUME NYINGI, BASI NDG.UWE TUU NA MAISHA MEMA !
Hehe umemuokoa huyu
Inabidi anisamehe tu haki......
Maana hapakua na namna.....
 
Back
Top Bottom