Nakerwa na masharti ya kuingia hospitali ya Bugando

Nakerwa na masharti ya kuingia hospitali ya Bugando

Bugando Hata Wanafunzi wao pale ni masharti tu Koti na ID shingoni other wise hupiti...
 
Ukaguzi wa hao walinzi getini si mzuri. Unataka kunikagua kwenye begi langu, aheri umeliweka begi langu sehemu nzuri na sio chini kama wanavyofanya pale getini.
 
pole Sana mkuu Landa kumekithiri vitendo vya uvunjifu WA amani hapo itabidi utii sheria bila shurti
 
Hata mwanaume asivae pensi pia ukienda umevaa pensi hakika huingii
 
Siyo hapo tu nenda temeke na hivyo vikondom vyako kama utaruhusiwa kuingia au uvae kimini uone. Waendelee na wangeongeza na masharti mengine ingekuwa bora zaidi.maana mnaacha kanuni na desturi mnataka uzungu. Pia nafuu umebainisha ni ya dini ambapo kazi mojawapo ya dini ki kurekebisha jamii
Nenda zako huko, we need freedom of dress!
 
Mi naona wako sawa
Wanyoa viduku
Suruali hawatakiwi
 
Mi naona wako sawa
Wanyoa viduku
Suruali hawatakiwi
Ile ni hospital ya kanisa katoliki. Viduku na nguo zisizo endana na utaratibu uliowekwa ni marufuku. Hongera baba askofu Ruaichi
 
Umeshasema ni mali ya dini, kwa nini unavaa Milegezo kwani unaenda disko? Unaleta demokrasia kwenye mali za watu!
 
Heshimu sheria na mamlaka zilizoweka,

hata pale nyumbani kwako umeweka Principles zako
 
Kichwa cha habari chahusika
Kikukweli walinzi wa pale Geti kuu la kuingia hospital ya Bugando wanakera mno hata kama wanafuata taratibu zilizowekwa na hospital
Kimsingi hospital ni sehemu ya kupeana faraja sasa linapokuja suala la kukaguana ovyo ovyo kana kwamba mtu amebeba madawa ya kulevya linakera Sana
Bugando ukienda umebeba bag unapekuliwa,Bugando mwanamke alievaa suruali au kunyoa kiduku haruhusiwi kuingia hospital
Sasa najiuliza ulinzi huu unatokana na nn wakati ni hospital ya shirika la kidini kiukweli Wanaboa na ukaguzi wao utadhani uwanja wa ndege bhana
Uongozi wa BMC taarifa iwafikie
Mkuu hiyo ni sheria kwenye referral Hosp zote,so unaamua tu like kuenda au kubaki kitaa.
 
Back
Top Bottom