wanapata raha kutomasahao walinzi wana maana yao labda..mimi siijui mkuu
wanapata raha kutomasahao walinzi wana maana yao labda..mimi siijui mkuu
ya kuvaa nguo au kwenda hospital???I hope siku hizi umeacha tabia hiyo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wanapata raha kutomasa
huyo siyo mgonjwa, mgonjwa una maumivu uwe na ashiki kweli!wanawatia "ashiki" wagonjwa, hahahaha
Asante kwa kutuhabarisha nduguMnawalaumu bure,kuna kipindi kulikua na mapigano tarime wakajeruhiana wengi,majeruhi wengi wakapelekwa bugando sasa vile visasi wakahamishia hospital kisa hamna ukaguzi wakawa wanaingia na visu nia kuwajeruhi maadui zao humo wodini.
Ndo chanzo cha utaratibu wa ukaguzi mkali.
Pia mavazi mengine hayafai hospitalini. Suruali za kuchanika,vimini,modo au viatu vya kupiga kelele hospital vya nini sasa?
Acha tu uongo mdada.Mnawalaumu bure,kuna kipindi kulikua na mapigano tarime wakajeruhiana wengi,majeruhi wengi wakapelekwa bugando sasa vile visasi wakahamishia hospital kisa hamna ukaguzi wakawa wanaingia na visu nia kuwajeruhi maadui zao humo wodini.
Ndo chanzo cha utaratibu wa ukaguzi mkali.
Pia mavazi mengine hayafai hospitalini. Suruali za kuchanika,vimini,modo au viatu vya kupiga kelele hospital vya nini sasa?
Tomboyish in general.ya kuvaa nguo au kwenda hospital???
heeeeee! siku ukipata muda ongea na waauguzi watakuambia visa vya wagonjwa hasa wanaume! unakuta mwanamme anatatizo amefanyiwa operation anatakiwa kumuwekea kile kidude cha kukojolea kwenye uume, lakini kila muuguzi wa kike akimgusa ili akivalishe, mtu anasimamisha kiasi kwamba ina bidi amuache kwanza hadi ipoe, au wanakuwa wakali ndio inalalahuyo siyo mgonjwa, mgonjwa una maumivu uwe na ashiki kweli!
Teh, may be.Tomboyish in general.
Mhhhhh,, basi huyo anakuwa anakaribia kupona, Malaria ya nguvu kanafemea sembuse kuchomeka catheterheeeeee! siku ukipata muda ongea na waauguzi watakuambia visa vya wagonjwa hasa wanaume! unakuta mwanamme anatatizo amefanyiwa operation anatakiwa kumuwekea kile kidude cha kukojolea kwenye uume, lakini kila muuguzi wa kike akimgusa ili akivalishe, mtu anasimamisha kiasi kwamba ina bidi amuache kwanza hadi ipoe, au wanakuwa wakali ndio inalala
Hahahaha what I get is you are still on it.Teh, may be.
tehe tehe tehe tehe hahahaahMhhhhh,, basi huyo anakuwa anakaribia kupona, Malaria ya nguvu kanafemea sembuse kuchomeka catheter
Safi sana poti, na kuhusu wanaovaa suruali sijui tuwaite wanaume wakati ni wanawake. Tutawanyoosha tu pale BUGANDO kama wameshindikana kwao.Hao walionyoa viduku waende kwenye singeli na viduku vyao mengine inabidi muwe wastaarabu tu kuna watu wasipowekea sheria wataenda uchi huko hospital.
Kama umenyoa kiduku beba mtandio ukifika pale unafunika kichwa ukimaliza kumuona mgonjwa wako unaendelea kukaa na kiduku chao. Sheria lazima zifuatwe mura.
whooo! hii mada pana ujue,Hahahaha what I get is you are still on it.
Nasikia wavaa style hizi na wao wanajionaga wanaume, mpaka wanajikuta wametoa tongozo kwa jinsia nyenzao.
Haina haja ya kukuelimisha tayari unajiona mjuaji.Acha tu uongo mdada.
Huo utaratibu ulianza baada ya kuwepo tishio la kuvamiwa hospitali ilikua mwaka 2001. Kulikua na tishio la watu kuingia hospitali na silaha kutokea Uganda (nakubali kukosolewa) baada ya sheria hiyo, hata watoto 18- hawakuruhusiwa kuingia. Tuache kufanya ushabiki usio na maana. Wakurya wanahospitali wanazofanya fujo na sio Bugando
Ukijibiwa kistaarabu na wewe uliza kistaarabu. Kuna ulazima gani utoe maneno ya kejeli namna hiyo. Kwa leo nafumba macho. UtarudiaDaaah kama nakuona unavyonshushua kwa style ya vidole vya rusha roho hahaa
Haina haja ya kukuelimisha tayari unajiona mjuaji.
Ukijibiwa kistaarabu na wewe uliza kistaarabu. Kuna ulazima gani utoe maneno ya kejeli namna hiyo. Kwa leo nafumba macho. Utarudia