Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Waache u.puuzi wao na fikra za "jf yetu zamani...." Hiyo zamani mlikuwa mnajadili nini ambacho ni tofauti na haya tunayojadili leo? Hii dhana huwa naipinga sana, kuna misemo kama " hivi vitoto vya facebook vinaharibu jukwaa",
most of the time nyie mnaojiita "vikongwe" ndio mnaharibu nyuzi kwa kuanzisha story zenu tofauti na mada.
Aaah mkubwa huwa hakosei bhana...hata wakiraribu wao si ndio wenye jeiefu yao bhana???