Nakereka na watu hawa!!!!

Nakereka na watu hawa!!!!

Waache u.puuzi wao na fikra za "jf yetu zamani...." Hiyo zamani mlikuwa mnajadili nini ambacho ni tofauti na haya tunayojadili leo? Hii dhana huwa naipinga sana, kuna misemo kama " hivi vitoto vya facebook vinaharibu jukwaa",

most of the time nyie mnaojiita "vikongwe" ndio mnaharibu nyuzi kwa kuanzisha story zenu tofauti na mada.

Aaah mkubwa huwa hakosei bhana...hata wakiraribu wao si ndio wenye jeiefu yao bhana???
 
Aaah mkubwa huwa hakosei bhana...hata wakiraribu wao si ndio wenye jeiefu yao bhana???

Kumbe wana hisa humu?
Kwanza hao founders/jf admins wanachotaka ni pesa kwa hiyo wanahitaji watu wengi wajiunge(pamoja na kufata sheria), hawa "vikongwe" wa jf wanatujia na falsafa zao za "jf yetu ya zamani".
..Usipokubali changamoto za mawazo tofauti, whether mazuri au mabaya wewe ndo unaonekana kufikiri kwako kuna matatizo.
 
Waache u.puuzi wao na fikra za "jf yetu zamani...." Hiyo zamani mlikuwa mnajadili nini ambacho ni tofauti na haya tunayojadili leo? Hii dhana huwa naipinga sana, kuna misemo kama " hivi vitoto vya facebook vinaharibu jukwaa",

most of the time nyie mnaojiita "vikongwe" ndio mnaharibu nyuzi kwa kuanzisha story zenu tofauti na mada.

wanatafuta umaarufu lakini sidhani kama ni kwa style hii

mtoa mada mwenyewe namwona mgeni mimi... sijui alikuwa tungi wakati anaandika au akikuwa mzima?

mambo mengine ni ya kujitafutia uadui tu na watu humu ndani bila sababu ya msingi..
 
Kipindi nikiwa mgeni kabisa JF, kuna mtu nilicritisize mawazo yake.alichokifanya aliangalia muda wangu wa kujiunga JF, akanijibu mtu mwenyewe kumbe mgeni humu? Nilishangaa sana ukiangalia mada yenyewe ilikuwa inahusu jamii labda ingehusu sheria za JF ningekubali kuwa pengine mi sizifahamu. Eti mtu hakuruhusu u critisize mawazo yake kisa ye Kongwe!!! Nilicheka sana nkamuuliza ni wapi nimekosea? Kama hoja ni dhaifu basi ipinge kwa hoja, sikumbuki hata alikimbilia wapi.
 
Mbona hujawataja kwa id zao, au hao uliowataja ndo wanakukera. Hapa Jf watu wanapata umaarufu kwa kuwa-mention tu majina hakuna lolote.
Kibandiko kidogo tu ooh mara Cc ....
Samahani kama nimekuudhi.
 
Sijaelewa kabisa hebu ngoja nipitie comments may be naweza pata kitu
 
aiseee kuna watu sijui wanawadudu gani,jf jf kwani hapa si forum tu you share whatever,dont act superior for nonsense,hakuna cha wakongwe wala bibi zao KUNA MEMBERS TU ..
 
asante bestito ila wanakera best hawa kwanini wanafanya h ivyo wale waliojiunga 2006 tungekuwa tunawasema vibaya sisi si nao wangekereka kama siye

best wanakera sana ila asante kwa ushauri wako umenijenga
sasa ladyfurahia tufanyeje ili hao wanaoingia siku hizi wasifanye wanavofanya? tuwakataze kuja JamiiForums? sasa JamiiForums ni kwa ajili ya nani? tukiendelea kuwabeza hivo si wataona jukwaa limekuwa shubiri?

tuwaelilishe jamani sio wakongwe kuwabeza wageni kihivoo..

imagine jf ingekuwa ya wale waliojiunga 2006 tu,, tungeweza kupata elimu tunayopata hapa?

SERIOUSLY kuna viumbe vinakera lakini tujitahidi sana kujizuia kutoa hoja kwa kupitia mgongo wa HAWA WAGENI.. sio fresh..
 
mkiambiwa mnakuwa mbogo ni lazima tuwaseme kwani mnakera sana watu
unatafuta umaarufu kuipitia id za wengine lazima tuwaseme mmezidi hamjui tumetoka wapi na jf yetu hvyo lazima penye kusema tunasema ukweli
wako wanawake visebengo humu jf as mwenye uzi!!! Tatizo lenu mnajifanya ndio wenye jf kumbe ni suala fikra na mitazamo yenu ya kizamani mna hulka ya za kinazi, mna hofu gani kama watu wanatoa maoni yao!!! wako free kumuani mtu yeyote , nyie mmekuwa vigogo wa kutoa maoni kikandamiza wengine!!! ladyfurahia kajipange upya , badili mtazamo na fikra zako za kizamani huwezi fanya ujinga watu wakufumba macho!!! " watu huwasha taa nakuweka juu ya kinara si chini ya kitanda" ref injili ya luka. nasiwasilisha
 
mhm penye kusema tutasema na penye kujenga tutajenga na penye kuelimisha tutaelimisha hata kama mtu atatoa lugha chafu ujumbe umemfikia best
Becoming a great thinker is not easy! Sometimes unaweza kuambulia matusi kwa kuwa tu mtu hajaipenda post yako au uko tofauti na kile anachokiamini
 
ujaniudhi na wala usijali mkuu ni moja ya changamoto za jf
Mbona hujawataja kwa id zao, au hao uliowataja ndo wanakukera. Hapa Jf watu wanapata umaarufu kwa kuwa-mention tu majina hakuna lolote.
Kibandiko kidogo tu ooh mara Cc ....
Samahani kama nimekuudhi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom