ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #41
halafu wewe eeee nakuangalia tu
Kumbe wana hisa humu?
Kwanza hao founders/jf admins wanachotaka ni pesa kwa hiyo wanahitaji watu wengi wajiunge(pamoja na kufata sheria), hawa "vikongwe" wa jf wanatujia na falsafa zao za "jf yetu ya zamani".
..Usipokubali changamoto za mawazo tofauti, whether mazuri au mabaya wewe ndo unaonekana kufikiri kwako kuna matatizo.